Hawa ni wababe,miamba,mabingwa wa Battle Tanzania

Sheikh23

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,128
1,842
Orodha hiini mtazamo binafsi wa watu ambao ukianzisha nao mgogoro (battle) basi itakubidi jeshi lako ulipange vizuri,la sivyo utasalimu amri,au kuomba msaada (poo) au kusubiri huruma za wananchi kwako,maana mapambano yao ni 'weka ugoko,niweke jiwe' ni nondo baada ya nondo,nadhani mlipata kusikia yule mwandishi alipofunguliwa(ga) kesi ya uchafuzi wa jina (defamation) akaombwa fidia ya Millions of Money,pia utakuwa ulisikia Bi_dada aliyetishiwa kuitishiwa Press baada ya kujichomoa kwenye ndoa,sidhani kama ulipitwa na mgao wa chapisho la matokeo kwa waumini likimhusu kiongozi aliyesemekana kupata Div 0 enzi za usomaji wake
Vita ya Daktari kudai kuonyeshwa Billions of money za mwekezaji ndani ya club kubwa ya mpira ambayo nayeye ni mwanachama,vita hii ilikuwa kali kiasi cha kumfanya muwekezaji kuvua nyadhifa ndani ya club
Ila waswahili wanasema muosha huoshwa,Daktari nayeye hatosahau alipouvaa mziki wa Dokta,battle ilikuwa kubwa,mpaka Dada wa Taifa alinunua kesi,baada ya Dada wa Taifa ku_join upande wa Dokta, kwa kuepuka kuchafuka na vyeo alivyonavyo kwa Gavoo Daktari ilibidi asalimu amri ili vita iishe

1. Membe
2. Gwajima
3. Mange
4. Manara
5. Kigwa
6. Mwaka
7. Ndugai
8. Lema
9.Makonda
10. Mbilinyi Sugu
...............................
Hizo ni baadhi ya stori za miamba hiyo na namna battle zao na mahasimu wao zilivyokuwa.
Nafasi ni yako,ongeza mwamba mwengine ambaye battle zake huwa ni kali na zinateka hisia za watu
#Uzi tayari


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Orodha hiini mtazamo binafsi wa watu ambao ukianzisha nao mgogoro (battle) basi itakubidi jeshi lako ulipange vizuri,la sivyo utasalimu amri,au kuomba msaada (poo) au kusubiri huruma za wananchi kwako,maana mapambano yao ni 'weka ugoko,niweke jiwe' ni nondo baada ya nondo,nadhani mlipata kusikia yule mwandishi alipofunguliwa(ga) kesi ya uchafuzi wa jina (defamation) akaombwa fidia ya Millions of Money,pia utakuwa ulisikia Bi_dada aliyetishiwa kuitishiwa Press baada ya kujichomoa kwenye ndoa,sidhani kama ulipitwa na mgao wa chapisho la matokeo kwa waumini likimhusu kiongozi aliyesemekana kupata Div 0 enzi za usomaji wake
Vita ya Daktari kudai kuonyeshwa Billions of money za mwekezaji ndani ya club kubwa ya mpira ambayo nayeye ni mwanachama,vita hii ilikuwa kali kiasi cha kumfanya muwekezaji kuvua nyadhifa ndani ya club
Ila waswahili wanasema muosha huoshwa,Daktari nayeye hatosahau alipouvaa mziki wa Dokta,battle ilikuwa kubwa,mpaka Dada wa Taifa alinunua kesi,baada ya Dada wa Taifa ku_join upande wa Dokta, kwa kuepuka kuchafuka na vyeo alivyonavyo kwa Gavoo Daktari ilibidi asalimu amri ili vita iishe

1. Membe
2. Gwajima
3. Mange
4. Manara
5. Kigwa
6. Mwaka
7. Ndugai
8. Lema
9.Makonda
10. Mbilinyi Sugu
...............................
Hizo ni baadhi ya stori za miamba hiyo na namna battle zao na mahasimu wao zilivyokuwa.
Nafasi ni yako,ongeza mwamba mwengine ambaye battle zake huwa ni kali na zinateka hisia za watu
#Uzi tayari


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hao wote mbele ya rais ni kuku tu

USSR
 
ngoja kije kikosi kazi

najua kitaanza na swali la kwanza "wewe ni Me au Ke?"

kwenye battle hapo umemsahau mzee wa msoga,muulize babu seya au muulize Edu boy
 
Kuna mwamba mstaafu Edward Lowassa, wapo ambao hawatakaa wamsahau. Siasa za leo na hata Rais wa Sasa ni upepo wake enzi zile. Bila kumsahau Marehemu Magufuli alitokana na upepo wake. EDWARD LOWASSA ugua pole Mzee.
 
Dr Pimbi ni kiboko palikua na battle yake na Mzee Kigwa na Kigwa alichafukwa balaa...Kigwa kila akiamka ni ishu ya Doctor Pimbi
 
Battle zao wote hao uliowataja wanaushaushi mkubwa pia wanajuana na watu wengi walio na ngazi serikalini,hakuna mtu kwenye hii dunia ubabe wake haukuisha kuna vyuma vipikuwaga sio powah,wakina iddi amini ,Adolf Hitler,vasco dagama hao wote wamefukiwa ardhini,battle ambala uwezi kushindana nalo ni MUNGU pekee
 
Lisu vs Magu , hii bato hakukua na namna ilibidi tu Lisu anyamazishwe kwa njia nyingine

Dr Slaa vs Mafisadi wa kijani
 
Back
Top Bottom