Tumwapa dhamana mmeshindwa.....

Topical

JF-Expert Member
Dec 3, 2010
5,173
935
1. David Mattaka (ATC):

Hakuna ndege, hakuna safari za ndege ndani na nje zinazoeleweka, hatuoni kama una program sahihi kufufua shirika letu. kuna ugumu gani kusema nimeshindwa ideas zimeniishia na uachie wengine watanzania watafute solution kwenye hili shirika?

2. Justin Mwandu (NIC):

Shirika lenye mtandao mkubwa kuliko zote Tanzania, imeshindwa kulipa wadeni wake wakiwemo walimu wa shule za msingi, umeshindwa kubuni mkakati wa kuokoa, umekuwa mwoga kupita kiasi kufanya chochote. Kuna ugumu gani kusema creativity yangu imeiishia hapo watafutwe watu wengine kutoa solution kwa shirika hili? kwanini wasijumuishiwe kule kwa Emanuel Humba (NHIF) walau kila mtanzania awe na bima ya afya ya lazima?

3. Mustafa Mkullo (MoF):

Wizara yenye dhamana ya kutoa mwelekeo wa uchumi na ukusanyaji wa pato la serikali pamoja na kuthibiti mapato imekuwa chanzo cha upotevu wa pesa za serikali, tumeishiwa na mawaziri yenye uwezo hadi uendelee kubakia wewe?

4. William Mhando (TANESCO):

Ulipoiingia tu kitu cha kwanza kufanya ni kuwaudhi wateja eti unaomba kupandisha bei ya umeme badala ya kupunguza, umeongeza gharama za kuunganisha umeme, umeshindwa kudhibiti wafanyakazi wabadirifu na wezi kwenye shirika. Hicho ndicho tulichokutuma sisi wananchi? badala ya kutoa huduma mnatukomoa? hivi unajua kwamba ukitaka kuunganisha umeme lazima ununue nguzo mwenyewe? halafu hizo nguzo mnaziita za Tanesco bila aibu? watu wote waliounganisha umeme kwa kununua nguzo wakizitoa wanapohama mtabakiwa na nini? hii aina gani ya huduma mkuu?

5. William Ngeleja (Madini na Nishati):

Umekuwa mwongo, wizara yako haijasaidia wananchi ku sera wala kiutendaji bado tunanyongwa kwenye madini hakuna udhibiti wa mapato na pia kwenye umeme kila mtu ni shahidi. Kwani lazima uongoze wewe kama huna maarifa si uache? unatutesa wananchi?

6. William Urio (PPF):

Ulitakiwa kusaidia wastaafu waliochangia sio wastaafu (bodi members). Kila mwaka wanachama rejea mikutano kule Arusha, wanakuomba ujitahidi kuwasiliana na serikali ili sheria za kukokotoa pension irekebishwe lakini wapi? husikie wahadhiri wa chuo kikuu wamekuandikia barua na mchanganuo wao hujawasikiliza. tumekupa dhamana umeshindwa..

Mmepewa dhamana na wananchi badilikeni au mjitoe?
 
At least david mattaka ameondoka ..tunasubiri na hao wengine muondoke ikiwezekana
 
1. David Mattaka (ATC):

Hakuna ndege, hakuna safari za ndege ndani na nje zinazoeleweka, hatuoni kama una program sahihi kufufua shirika letu. kuna ugumu gani kusema nimeshindwa ideas zimeniishia na uachie wengine watanzania watafute solution kwenye hili shirika?

2. Justin Mwandu (NIC):

Shirika lenye mtandao mkubwa kuliko zote Tanzania, imeshindwa kulipa wadeni wake wakiwemo walimu wa shule za msingi, umeshindwa kubuni mkakati wa kuokoa, umekuwa mwoga kupita kiasi kufanya chochote. Kuna ugumu gani kusema creativity yangu imeiishia hapo watafutwe watu wengine kutoa solution kwa shirika hili? kwanini wasijumuishiwe kule kwa Emanuel Humba (NHIF) walau kila mtanzania awe na bima ya afya ya lazima?

3. Mustafa Mkullo (MoF):

Wizara yenye dhamana ya kutoa mwelekeo wa uchumi na ukusanyaji wa pato la serikali pamoja na kuthibiti mapato imekuwa chanzo cha upotevu wa pesa za serikali, tumeishiwa na mawaziri yenye uwezo hadi uendelee kubakia wewe?

4. William Mhando (TANESCO):

Ulipoiingia tu kitu cha kwanza kufanya ni kuwaudhi wateja eti unaomba kupandisha bei ya umeme badala ya kupunguza, umeongeza gharama za kuunganisha umeme, umeshindwa kudhibiti wafanyakazi wabadirifu na wezi kwenye shirika. Hicho ndicho tulichokutuma sisi wananchi? badala ya kutoa huduma mnatukomoa? hivi unajua kwamba ukitaka kuunganisha umeme lazima ununue nguzo mwenyewe? halafu hizo nguzo mnaziita za Tanesco bila aibu? watu wote waliounganisha umeme kwa kununua nguzo wakizitoa wanapohama mtabakiwa na nini? hii aina gani ya huduma mkuu?

5. William Ngeleja (Madini na Nishati):

Umekuwa mwongo, wizara yako haijasaidia wananchi ku sera wala kiutendaji bado tunanyongwa kwenye madini hakuna udhibiti wa mapato na pia kwenye umeme kila mtu ni shahidi. Kwani lazima uongoze wewe kama huna maarifa si uache? unatutesa wananchi?

6. William Urio (PPF):

Ulitakiwa kusaidia wastaafu waliochangia sio wastaafu (bodi members). Kila mwaka wanachama rejea mikutano kule Arusha, wanakuomba ujitahidi kuwasiliana na serikali ili sheria za kukokotoa pension irekebishwe lakini wapi? husikie wahadhiri wa chuo kikuu wamekuandikia barua na mchanganuo wao hujawasikiliza. tumekupa dhamana umeshindwa..

Mmepewa dhamana na wananchi badilikeni au mjitoe?

tatizo siyo watu; ni sera mbovu za CCM; sera ambazo baadhi ya watu wanaamini "zinatekelezeka" wakati ni rahisi kuona "hazitekelezi". Tatizo ni utawala wa CCM. Ukishalijua hili utajua kwanini Said Mwema hawezi kusimamia jeshi la polisi, au Rashid Othman usalama wa taifa; utaona ni tatizo lile lile kwenye kila kona.
 

Mkuu Waongeze Kikwete na Pinda katika list yako.

Hao hado 2015 kwenye kura..sasa hivi tudeal na hao ambao wanatuumiza kwa karibu zaidi

CEO ni cheo kikubwa unaweza kuleta mabadiliko mbona NHC wameweza?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
tatizo siyo watu; ni sera mbovu za CCM; sera ambazo baadhi ya watu wanaamini "zinatekelezeka" wakati ni rahisi kuona "hazitekelezi". Tatizo ni utawala wa CCM. Ukishalijua hili utajua kwanini Said Mwema hawezi kusimamia jeshi la polisi, au Rashid Othman usalama wa taifa; utaona ni tatizo lile lile kwenye kila kona.

Wewe una interest zako na ccm..ambazo hutaki ku-declare

Tatizo ni watu si CCM
 
mwjj

Ile campign yako ya Idrisa must Go, Mkullo Must go, Haji Mponda must go..ilikuwa inalenga watu au ccm..
 
Inasababishwa na serikal dhaifu kuanzia raisi mpaka mwenyekiti wote wezi
 
At least wameondoka wengi wao; Bado kichwa ngumu Erio wa PPF na Justin Mwandu

Kichwa ngumu ni Erio William Mkapa, ameliibia shirika (PPF) kwa kushirikiana na Martin Mmari (DF), Hosea Kashimba (Chief Internal Auditor-Chief Thief), na Julius KAM Mganga(Utawala-Chief witch Doctor)

Kama Mkulo, Ngereja, na Dr. Kaparata (wa TUCTA kwa Mgaya) aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya PPF wameondoka na hawa wahesabu masaa tu wataondoka kwa aibu.


Sasa hivi DG Erio ni billionea kuliko hata mama yake mlezi Anna Bejamin Mkapa(Kibaka wa Kiwira). Amua mradi wa nyumba Mwanza amepeleka kijijini kwa Rais Mstaafu ambaye ni mjomba wake Umachingani Mtwara. Na ili kufanikisha kafungua na kanda ya Mtwara yenye wanachama wasiozidi 2000
 
Inasababishwa na serikal dhaifu kuanzia raisi mpaka mwenyekiti wote wezi

Ndio maana tunamshauri atumie mamlaka yake ya kikatiba awatimue hawa ma CEO

Maana wameshindwa kukidhi matarajio ya wananchi na madhumuni ya mashirika waliyopewa

Wameshindwa kuwa wabunifu, na kutumia dhamana walizopewa vizuri

Tushiriki katika kuwafichua ili watimuliwe..au wajiondoe wenyewe..

Taifa litajengwa na wewe.
 
Kichwa ngumu ni Erio William Mkapa, ameliibia shirika (PPF) kwa kushirikiana na Martin Mmari (DF), Hosea Kashimba (Chief Internal Auditor-Chief Thief), na Julius KAM Mganga(Utawala-Chief witch Doctor)

Kama Mkulo, Ngereja, na Dr. Kaparata (wa TUCTA kwa Mgaya) aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya PPF wameondoka na hawa wahesabu masaa tu wataondoka kwa aibu.


Sasa hivi DG Erio ni billionea kuliko hata mama yake mlezi Anna Bejamin Mkapa(Kibaka wa Kiwira). Amua mradi wa nyumba Mwanza amepeleka kijijini kwa Rais Mstaafu ambaye ni mjomba wake Umachingani Mtwara. Na ili kufanikisha kafungua na kanda ya Mtwara yenye wanachama wasiozidi 2000

Yeye ni bilionea lakini ameshindwa hata kupambana ili kubadili sheria za kukutoa pension za wastaafu.

Sijui anajisikiaje pensioner PPF kupewa 21,000/- kwa mwezi???

Pensioners ndio clients wake..ameshindwa kukidhi matarajio ya clients wake.
 
Yeye ni bilionea lakini ameshindwa hata kupambana ili kubadili sheria za kukutoa pension za wastaafu.

Sijui anajisikiaje pensioner PPF kupewa 21,000/- kwa mwezi???

Pensioners ndio clients wake..ameshindwa kukidhi matarajio ya clients wake.

Akipandisha pension ya wastaafu PPF inakufa maaana mihela wamegawana yote. Kama kila miaka mitatu toka 2008, wakurugenzi hulipwa group endowment an gratuity ya zaidi ya shs. 220M kila mmoja na wapo 9. Mishahara yao ni Tshs 12M kwa mwezi na DG Erio ni Tshs 15M kabla hujaweka marupurupu ya mafuta, simu, umeme, maji na pia hawatulii ofisini kila siku safari.

DG akiwa Bagamoyo analipwa Tshs 450,000 kwa kutwa na nje ya nchi ni Usd1012 (Tshs. 1,600,000 kwa kutwa moja)

Sasa apandishe pension yeye akale wapi?
 
Akipandisha pension ya wastaafu PPF inakufa maaana mihela wamegawana yote. Kama kila miaka mitatu toka 2008, wakurugenzi hulipwa group endowment an gratuity ya zaidi ya shs. 220M kila mmoja na wapo 9. Mishahara yao ni Tshs 12M kwa mwezi na DG Erio ni Tshs 15M kabla hujaweka marupurupu ya mafuta, simu, umeme, maji na pia hawatulii ofisini kila siku safari.

DG akiwa Bagamoyo analipwa Tshs 450,000 kwa kutwa na nje ya nchi ni Usd1012 (Tshs. 1,600,000 kwa kutwa moja)

Sasa apandishe pension yeye akale wapi?

Pesa za PPF wamezifanya kuwa ni viongozi wa PPF na si za wanachama?? pathetic

JK fanya vitu ondoa hawa viumbe wawili waliobakia
 
Back
Top Bottom