Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Tumwamini Nani? Hayati Magufuli au Polepole?
Wezi wote hao
Kwenye vikao vya ma tall unafanya nini ndugu short achana na maguWezi wote hao
Ukweli utabaki kua ukweli. Kikwete alilazimika kukubali baada ya kete zake kushindwa. Mwamba kampamba ki protocal, tu ila kila mtu anajua kua Kikwete ndio deal maker.
MIMI SIO TALL NIPO KAMA TAUSI HOMOLO.Kwenye vikao vya ma tall unafanya nini ndugu short achana na magu
Pole sana hater wa Kikwete. Ndo hivyo hamumuwezi huyo JK hata mfanye niniUkweli utabaki kua ukweli. Kikwete alilazimika kukubali baada ya kete zake kushindwa. Mwamba kampamba ki protocal, tu ila kila mtu anajua kua Kikwete ndio deal maker.
Huyu Polepole hana ufisadi wowote na Huyu alikua mtu wa itikadi atafanya kitu huku anajua nn matokeo yake. Mimi kwangu natakakujua tuu ule mchakato wa uchaguzi 2020 na yeye Alishindwa Kumshauri boss wake au WAHUNI Ndio walipendekezaWezi wote hao
Aliqutomber hakukulipa fweza ?Pole pole mtu wa hovyo sana