Tumwambie mumewe ukweli au?

ni mambo ya kiofisi hayamuhusu huyo mume wala ofisi hailazimiki kumjibu barua yake. sana unaweza kumwambie ni utovu wa nidhamu details amuulize mkewe.

By 'fuata utaratibu wa ofisi', i basically meant ya ofisini yabaki ofisini. Hii issue iko sensitive balaa, sio tu kwa ndoa ya huyo Mama ila hata kwa ofisi, ni aibu kubwa na ofisi yoyote makini wangepambana ibaki confidential. Now, Chief hapa kamwaga karibu details zote za muhimu

1. Kataja race ya Boss na uraia wake.

2. Kaelezea tukio zima.

3. Kanukuu mpaka vifungu vya barua ya Mume wa huyo Mama.

Kama huyo Mume, au watuhumiwa, au hata wafanyakazi wengine waliokuwa hawaijui hii issue kiundani, na hata watu wa karibu wa familia husika wamo humu na wameisoma, wanaweza kuunganisha hizo dots na kupata mchezo mzima. Halafu Chief kamaliza kwa kuomba samahani kwa wahusika kama wapo humu na wataiona hii story, are you serious man??

Sijui bana, ila kwangu this is just another story, he had me mwanzo.
 

Mkuu we unaifahamu kampuni inayozungumziwa hapa?

Huyu hr unamfahamu hata kwa jina au sura?

Makampuni mengi hivi visa vipo kwa ma hr wengi tu
Kuna makampuni zaidi ya 1000 dar peke yake

That's why kaja jf na sio insta au fb
 


Ndugu ofisa rasimali watu,

Tayari umeshavujisha siri za kiofisi. Pili kama wadau walivyokwisha sema hapo awali kwamba mwajiri na mwajiriwa ndiyo sehemu ya mkataba kati yao. Mume ni mtu wa tatu na hana mamlaka ya kutaka kujua kuhusu masuala ya kiofisi yanayomuhusu mumewe.

Siku nyingine, as per HR ethos, wasiliana na wanasheria wa ofisini kwako kupata ushauri na muongozo pindi unapokutana na masuala kama haya na si kukimbilia vyombo vya kijamii kama hiki.



Wasalaam,

Shadow.
 
Mkuu we unaifahamu kampuni inayozungumziwa hapa?

Huyu hr unamfahamu hata kwa jina au sura?

Makampuni mengi hivi visa vipo kwa ma hr wengi tu
Kuna makampuni zaidi ya 1000 dar peke yake

That's why kaja jf na sio insta au fb


Kwa taarifa yako kuna vitu vinavyoonyosha ni taasisi gani inayoongelewa hapa.
 

Rudi kwenye post yake tena amejibu kwa nn kaja hapa mkuu
 

Labda mmewe lawyer/advocate?
 
Aibu kubwa sana kwa office mwambie ukweli mr ili iwefundisho kwa wengne hujui mr amepitia mangap mpaka kufkia walipo af leo mke anamsalit mpe ukweli huyo mwanamke akajifunse
 
Ushauri wa mwisho na wakufanyiwa kazi ni huo
 
Labda mmewe lawyer/advocate?

Hiyo barua kutoka kwa huyo mama itaeleza kama anamwakilisha kama mume au lawyer. Lakini take my words, she cannot write such a letter.

Tiba
 


Wewe Ni Muongo!

 

una kau-genious flani wewe! vizuri.
 
mi naona umjibu shortly. " hafanyi kazi kwakuzingatia taratibu zilizoweka na ufanisi unaohitajika". kama ni malaya atamkamata tu. kumbuka hyo ni familia mkuu kuitenganisha sio issue sana tumia busara kama wazee wetu wa zamani

hahaha, busara ya kutanguliza mboga nyumbani, Afu we unafika baada ya nusu saa!
 
Mkuu we unaifahamu kampuni inayozungumziwa hapa?

Huyu hr unamfahamu hata kwa jina au sura?

Makampuni mengi hivi visa vipo kwa ma hr wengi tu
Kuna makampuni zaidi ya 1000 dar peke yake

That's why kaja jf na sio insta au fb
Boss, Si lazima wote tuwe Sherlock Holmes ila ni muhimu wote tukijaribu kutumia common sense, all i'm saying.
 
I dont care about kilichotokea kwa huyo dada na mahitaji ya mumewake kwasababu najua taratibu husika zitafuata na haki itapatkana, kimaadili na kisheria. Mi shida yangu iko kwako HR. Ushapoteza sifa yakuwa HR wa hiyo kampuni. Walaahi ningekuwa bosi wako ningeshakufuta kazi wewe kwanza hata kabla ya hao wazinzi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi za u-HR. Pumbavu.
 
Pole kwa huu mtihani mgumu. Hilo la kumwambia ukweli mume liepuke hasa ukitilia maanani mke kishakupigia magoti umsitiri kwenye ndoa yake. Ila kama mume yumo humu ndio siri ya mkewe kuhusu kusimamishwa kazi imeshavuja.

Na vipi huyo mzee naye akimpigia magoti na kumwomba kuwa amwambie ukweli kilichomfukuzisha kazi mkewe?
 

To my understanding Nafikiri case ya mshahara ni tofauti kabisa na hiyo scenario iliyotokea hapo...u want to tell us kuna uwezekano mtu akafukuzwa kazi baada ya kujieleza kimaandishi pasipo kupewa sababu ya kufukuzwa?

Kwahiyo, Kokote atakapoulizwa huyo mama kwanini amefukuzwa kazi...Je hakutakuwa na hiyo sababu?

Kosa ni lipi hasa la kufukuzwa kazi?
 

Well said mkuu
 
Akili mkichwa, haijulikani ni reaction gani atakayokuwa nayo mume. Anaweza kabisa kumuua mkewe watu wengine wivu wao umepitiliza. Hapo aliyemwambia mume atabaki na majuto mjukuu kwa miaka mingi katika maisha yake.

Na vipi huyo mzee naye akimpigia magoti na kumwomba kuwa amwambie ukweli kilichomfukuzisha kazi mkewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…