Well, nadhani kila ofisi ina utaratibu wake, na according to the story inaonyesha hiyo ofisi wako obliged kufanya hivyo, ndio maana wamemuahidi watamjibu na wameshajadili namna ya kumjibu pia.
Ningependa nijue hiyo ni ofisi gani inayo entertain ujinga kama huu. Mume wa huyo mama ni third party kwenye hiyo kampuni na hivyo hawawajibiki kuijibu hiyo barua. Huyo mume akitaka sababu amuulize mkewe after all aliposimamishwa kazi alipewa barua. Amuulize mke wake amuonyeshe hiyo barua. HR anayejua taratibu za kazi hawezi kukubali kufanya ujinga eti wa kujibu kwa maandishi. Yaani mpaka nasikia kichefuchefu na huyo mleta mada hiyo kazi ya HR haimfai kabisa.
Tiba
Hr asiyejua cha kufanya
Huyo mumewe amewahoji kwa barua yeye akiwa kama nani? Mliingia makataba na mke au mume? ??
Anyway mwambieni alivunja kanuni na taratibu za ofs.....mengine hayawahusu
Barua ya kumsimamisha kazi (heading yake) inasemaje? Kwa sababu usije ukamdanganya Mr. wake akadai kopi au wanoko wameshampa kopi sasa anataka uthibitisho kutoka kwako maelezo yakapishana au mmewasimamisha bila maandishi? Eleza Mkuu
Ni kweli. Ila pia Kisheria mwajiri ana obligation ya kusema ukweli na kutoa sababu za msingi za kumsimamisha kazi mwajiriwa. Nadhani pia mume ana haki ya kufuatilia haki za mkewe kisheria, kama atahisi uonevu. Labda wao kwa kutaka kutoleta matatizo katika hiyo ndoa, waliamua ku-cover ukweli katika barua ya kumsimamisha kazi huyo mama, na mzee kawapa nafasi ya kusema ukweli kabla hajachukua hatua yoyote.
Wakimpotezea na akaenda mbele na uchunguzi ukafanyika, ikagundulika walidanganya, there will be consequences kwa upande wa ofisi.
atanieleza leo nikifika nyumbani,yaani anafanya umalaya ofisini kwake alafu ananidanganya mimi
Ndugu yangu nakusgauri kuwa kama mtu kakupigia magoti na kukuomba msamaha halafu bado ukamwambia mumeo utakuwa umemuhukumu na neno la Mungu linasema usimuhukumu mwenzako nawewe hutohukumiwa kupiga magoti niishara ya unyenyekevu na hali ya kujishusha chini na mpaka anakupigia magoti n kweli kabsaa ndoa yake ipo mikononi mwako hvyo wewe ndo mtu wa pekee wa kuangamiza au kuiokoa ndoa yake hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi na hakuna dhambi Mdogo na kubwa zote zipo sawa na inasameheka isipokuwa ya kumkashifu roho mtakatifu .Kumbuka yule mwanamke mzizi aliyeshikwa watu wakatala kumpiga mawe hadi kufa Yesu akawaambia anayejijua hana dhambi na awe Wa kwanza kumrudishia huyu mwanamke jiwe wote wakaondo bila kusema neno. Usihukumu na wewe usije ukahukumiwa
Situation ni very tricky na mwisho sijui EXCOM itaamua nini kuhusu hawa watu wawili
huyu mzee aende akalalmke kama nan?? what if yule mama akienda kuwashtak kwa kutoaNi kweli. Ila pia Kisheria mwajiri ana obligation ya kusema ukweli na kutoa sababu za msingi za kumsimamisha kazi mwajiriwa. Nadhani pia mume ana haki ya kufuatilia haki za mkewe kisheria, kama atahisi uonevu. Labda wao kwa kutaka kutoleta matatizo katika hiyo ndoa, waliamua ku-cover ukweli katika barua ya kumsimamisha kazi huyo mama, na mzee kawapa nafasi ya kusema ukweli kabla hajachukua hatua yoyote.
Wakimpotezea na akaenda mbele na uchunguzi ukafanyika, ikagundulika walidanganya, there will be consequences kwa upande wa ofisi.
Boss, Sina utaalamu na mambo ya HR, na sijaajiriwa bado. Nimejaribu kuongea kulingana na story ilivyo. Naweza kutokuwa sawa.Mkuu sina uhakika na utaalamu wako kwenye mambo ya HR lakini mume wake na huyo Mama hana uhusiano wowote na hiyo kampuni kiasi cha kufikia kutaka maelezo kwa maandishi. Mke ni independent legal entity na mume hana nafasi ya kwenda kuhoji ni kwa nini mke wake alisimamishwa. Kwa nini asimuulize mkewe? Mkewe ni bubu hawezi kuongea? Na wakati anasimamishwa si alipewa barua? Apewe hiyo barua na mkewe asome period.
Tiba
Tiba