Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

But still walio arrange hii move
wamemuona Magufuli 'hana busara'
wametumia church kumlainisha
ujumbe uko very clear 'siasa sio uadui' fanyeni siasa zenu kwa amani
Mkuu kubali hili tukio la leo linamaslai zaidi kwa CCM kuliko Chadema.

Kumbuka viapo vya wafuasi wa Chadema ......Na wabunge wao toka matokeo ya uchaguzi yalipotangazwa hadi Bungeni.

Lazima mkubali Lowasa anawavuta shati kwenye harakati za UKAWA, Lowasa hana mihemuko kama ya Lisu,Msigwa au Sugu.

Mbowe hana mihemuko ila ni mtu wa upepo, hajawahi kwenda tofauti na majira ya siasa.

Lazima mkubali Lowasa anawafundisha siasa, Lowasa Na Chadema ni sawa Na Baba Na Mwana.!
 
Seif alipogoma kutoa hata mkono wa salamu wale wafia chama wa UKAWA wakasifia kwa mapambio yote ingawa tulisema si hekima. Leo kipenzi chao picha zake zinazunguka then wanapiga propaganda kuwa ana hekima sana! Hii nchi tunaiharibu wenyewe wala si zimwi la CCM! Ujinga na ushabiki unatupeleka pabaya sana.
Haswaa...umenena
 
Kuna kuibiwa kura na kupokwa ushindi,huku tuliibiwa kura kule zanz walipokwa ushindi kwa hiyo ni mambo mawili tofauti ndio maana chadema hawakusema hawamtambui rais lakini cuf hawamtambui rais wa zanz hapo umeelewa
Teh Teh naona mmeanza kubadili gear ardhini na kuanza kucheza na maneno ooh kuporwa ushindi oooh kuibiwa kura...

Naomba mtujibu tumuige nani Lowasa au Seif?
 
Sibirini lowasa aibiwe kama mara mbili tatu iv .ndio mtajua kama vipi .seif ameshaibiwa mara 5 anajua uchungu wake lowasa bado kipya kinyemi
 
Nataka nione kwenye hili la fisadi Lowasa watasema nini?

Makamanda tumuige nani? Lowasa au Maalim Seif?
Hahahhaha
mkuu,huoni kuwa Magufuli kaifutilia mbali ajenda yenu ya Ufisadi wa Lowasa?Hv JPM Atampeleka ktk Mahakama ya Mafisadi!?
 
Teh Teh naona mmeanza kubadili gear ardhini na kuanza kucheza na maneno ooh kuporwa ushindi oooh kuibiwa kura...

Naomba mtujibu tumuige nani Lowasa au Seif?
Wote wa kuigwa kulingana na mazingira kwani kila mtu anasababu yake ya muhimu ndio maana unaweza kuja mpira wa kupiga kwa kichwa lakini ukaupiga kwa mguu kulingana na ulivyo kaa.
 
mkuu,huoni kuwa Magufuli kaifutilia mbali ajenda yenu ya Ufisadi wa Lowasa?Hv JPM Atampeleka ktk Mahakama ya Mafisadi!?
Hivi umemsikia akizungumzia swala la mafisadi pale? Lowasa ni fisadi na agenda ipo pale pale... Hata alipo mvua uwaziri kitwanga walikutana na kusalimiana kama ni hivyo basi angemrudishia uwaziri.

JPM ni mtu wa misimamo.
 
Unafiki ni kuamini kuwa ilikuwa sahihi kwa Seif Sharif Hamad kukataa salam ya Dr. Ali Mohamed Shein na pia kuamini ilikuwa sahihi kwa Edward Lowassa kushiriki na kusalimiana na kuzungumza na Rais Magufuli na Comrade Kinana japo wote madai yao ni kuibiwa kura zao za Urais
 
Seif alipogoma kutoa hata mkono wa salamu wale wafia chama wa UKAWA wakasifia kwa mapambio yote ingawa tulisema si hekima. Leo kipenzi chao picha zake zinazunguka then wanapiga propaganda kuwa ana hekima sana! Hii nchi tunaiharibu wenyewe wala si zimwi la CCM! Ujinga na ushabiki unatupeleka pabaya sana.
Kwahiyo kumbe na Magu alishinda kwa magumashi kama Shein
 
Wote wa kuigwa kulingana na mazingira kwani kila mtu anasababu yake ya muhimu ndio maana unaweza kuja mpira wa kupiga kwa kichwa lakini ukaupiga kwa mguu kulingana na ulivyo kaa.
Ushamba wa siasa, Mihemuko na double starndad ndiyo inawasumbua vijana hasa wa ufipa. Vitendo kama hicho alichokifanya lowassa kingefanywa na mtu mwingine kama Nassari watu wangekuwa wanasema msaliti ooh hajielewi.
Pamoja na mambo mengine, kitu kilichomponza Zitto akiwa chadema ni kuwa karibu na viongozi wa serikali.
Vijana hasa chadema acheni ushamba wa siasa muwe mnafikiria .
 
Wabongo tunashindwa kuwa objective katika kutoa mawazo kwa kuwa tunapenda saaana vyama..saaa mnalazima personalities za lowasa na seif zifanane kwakuwa wote ukawa bila kujua kuwa hawa n watu wawil tofauti na wamekuwaraised katka mazngira tofauti.....they can't have the same reaction when it comes to personal reaction towards events.....kwakuwa wote wapo Ukawa basi wawe na reaction sawa in personal matters.......... Si kweli na haiwezekani
 
lowassa kapunguza makali ya UKUTA..
sidhan kama kuna watu watakuwa bado na mzuka wa kuandamana..

na nnavyo mjua mtukufu, atatumia vizuri hiyo kete.
ni vigumu kukataa mkono kanisani,
Ingekuwa heri asingeenda kabisa.

viva seif viva..
Yao yao yetu yetu lila na fila havichangamani
 
Wabongo tunashindwa kuwa objective katika kutoa mawazo kwa kuwa tunapenda saaana vyama..saaa mnalazima personalities za lowasa na seif zifanane kwakuwa wote ukawa bila kujua kuwa hawa n watu wawil tofauti na wamekuwaraised katka mazngira tofauti.....they can't have the same reaction when it comes to personal reaction towards events.....kwakuwa wote wapo Ukawa basi wawe na reaction sawa in personal matters.......... Si kweli na haiwezekani
Hivi unaelewa effects za personal reaction na party politics? Unajua propaganda uchwara ni short term weapons ambazo madhara yake hayabebeki kama unajitambua?
 
Hivi unaelewa effects za personal reaction na party politics? Unajua propaganda uchwara ni short term weapons ambazo madhara yake hayabebeki kama unajitambua?
Acha taaarabu elezea babu
 
Mkuu kubali hili tukio la leo linamaslai zaidi kwa CCM kuliko Chadema.

Kumbuka viapo vya wafuasi wa Chadema ......Na wabunge wao toka matokeo ya uchaguzi yalipotangazwa hadi Bungeni.

Lazima mkubali Lowasa anawavuta shati kwenye harakati za UKAWA, Lowasa hana mihemuko kama ya Lisu,Msigwa au Sugu.

Mbowe hana mihemuko ila ni mtu wa upepo, hajawahi kwenda tofauti na majira ya siasa.

Lazima mkubali Lowasa anawafundisha siasa, Lowasa Na Chadema ni sawa Na Baba Na Mwana.!
Hebu tuambie lini viongozi wa chadema walitamka hawamtambui rais acheni siasa za kitoto kama hujui pale ccm wameangukia pua kwa lowassa kupeana mkono na rais kulingana na kauli zake za wasijaribu sasa leo kafundishwa kuwa siasa si uadui bali mnaweza kufanya mazungumzo yakaisha
 
EL hana sababu ya kutokutoa mkono kwa JPM kwani anamtambua kama raisi, hajawahi kusema kuwa hamtambui, kule kwa kina shain hawatambuani na mikono wameona wasipeane. Mazingira ni tofauti.
 
Hebu tuambie lini viongozi wa chadema walitamka hawamtambui rais acheni siasa za kitoto kama hujui pale ccm wameangukia pua kwa lowassa kupeana mkono na rais kulingana na kauli zake za wasijaribu sasa leo kafundishwa kuwa siasa si uadui bali mnaweza kufanya mazungumzo yakaisha
Kwanini walisusa hotuba ya JPM bungeni?
 
Back
Top Bottom