Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Umesahau kua Lowasa alijitangaza kua ameshinda. Au ndo umepigwa upofu na mahaba ya chama
Kujitangaza haina maana alishinda kweli.
Hata leo hathubutu kuonyesha zile fomu za matokeo (za mawakala wake mwenyewe) zinazoonyesha alishinda.
 
Naamini wewe ndo mjinga zaidi ya hao unaosema.
Kwa post yako umekiri wazi kuwa ile kauli kuwa Lowassa aliibiwa kura ni ya uongo.
Anyway, uongo wenu tumeuzoea manake mlituongopea lia kuhusu kufungua kesi kubwa kubwa ICC na ICJ kupinga matokeo. Hamna aibu hata kidogo.
Hizi akili za mapovu sijui huwa mnazitoa wapi. Yaani unaongea ili tu ubishie hoja.
Na tangu lini (ukiondoa huo upuuzi mnaouita upinzani) watu wakasusiana salaam na misiba katika jamii yetu???
Wajinga wakubwa....
Hahahahaaa!mimi naeleza mambo kwa kina wewe unaeleza mambo ya vijiwe vya kahawa hatutaelewana kama wamefungua kesi itasikilizwa lini? nauliza swali hili hamnipi majibu je wapi viongozi wa chadema wamesema hawamtambui rais maana kama unapinga matokeo maana yake hata rais hutamtambua tatizo lenu mkisikia maneno ya kwenye kahawa mnaleta kwa GREAT THINKER
 
Hahahahaaa!mimi naeleza mambo kwa kina wewe unaeleza mambo ya vijiwe vya kahawa hatutaelewana kama wamefungua kesi itasikilizwa lini? nauliza swali hili hamnipi majibu je wapi viongozi wa chadema wamesema hawamtambui rais maana kama unapinga matokeo maana yake hata rais hutamtambua tatizo lenu mkisikia maneno ya kwenye kahawa mnaleta kwa GREAT THINKER
Wewe unaongoza katika hilo genge la bongo lala.
Bado unaendelea kulamba matapishi hadharani.

Nimekwambia mshatudanganya hapa kuwa kesi imefunguliwa ICC na ICJ, makamanda wanawataka Ukawa wawe wapole, na picha za mwanasheria akiongea na "wazungu" zikiwepo...threads zimo humu au mpaka tusute? Sasa hivi wasema usharuka na kunywea kwa kisingizio kuwa ni maneno ya vijiweni.
Ndo maana tunawaona wapuuzi na msio na maana
 
Wewe unaongoza katika hilo genge la bongo lala.
Bado unaendelea kulamba matapishi hadharani.

Nimekwambia mshatudanganya hapa kuwa kesi imefunguliwa ICC na ICJ, makamanda wanawataka Ukawa wawe wapole, na picha za mwanasheria akiongea na "wazungu" zikiwepo...threads zimo humu au mpaka tusute? Sasa hivi wasema usharuka na kunywea kwa kisingizio kuwa ni maneno ya vijiweni.
Ndo maana tunawaona wapuuzi na msio na maana
mbona hujibu? wapi viongozi wa chadema wamesema hawamtambui rais, ndio maana nasema maneno ya kwenye kahawa
 
Lissu atakuja sema Magufulli ni rais mwenye busara, hekima na maono na aliyefanikiwa sana, still watu watafanya mapambio.
 
mbona hujibu? wapi viongozi wa chadema wamesema hawamtambui rais, ndio maana nasema maneno ya kwenye kahawa
Nimechoka...kwa post yako hii wewe ni MATAPISHI mkubwa kuliko wote niliokwisha kukutana nao.
By the way, na hoja ilikuwa uongo wa kufungua kesi ICC na ICJ, na sasa ushapinga tena kuwa kina Chadema waligomea matokeo na kumtambua JPM.
Tunawaona tu mnavyomnyekekea kimya kimya.. na mwingine huyu hapa..picha hii ni zaidi ya maneno mengi.
1472361619613.jpg
 

Attachments

  • 1472361590477.jpg
    1472361590477.jpg
    28.4 KB · Views: 28
Kufuatia kitendo cha maalim Seif kugoma kumpa Shain mkono kuna kamtindo kalianzishwa kakupiga picha za kuigiza tukio hilo huku ikishabikiwa kuwa ni kitendo cha kishujaa.
View attachment 388825 View attachment 388828
Wanne hawa wana imani tofauti. Kundi moja linaamini jino kwa jino wakati lingine linaamini mpende audui yako, akikupiga kulia mgeuzie na kushoto.
 
lowassa kapunguza makali ya UKUTA..
sidhan kama kuna watu watakuwa bado na mzuka wa kuandamana..

na nnavyo mjua mtukufu, atatumia vizuri hiyo kete.
ni vigumu kukataa mkono kanisani,
Ingekuwa heri asingeenda kabisa.

viva seif viva..
Kaingizwa mkenge kajaa
Kamanda mkuu kanywa mvinyo na wakuu wa ccm,Lema na mwalimu wananyea debe
Kosa la kimkakati,hakuna mwenye akili timamu atakaethubutu kutia mguu barabarani
 
Wanne hawa wana imani tofauti. Kundi moja linaamini jino kwa jino wakati lingine linaamini mpende audui yako, akikupiga kulia mgeuzie na kushoto.
Asante kwa ushahidi wa picha, ndio maana hakuna kiongozi wa chadema aliesema kuwa hamtambui rais,hayo maswala ya kesi ni mambo ya kwenye kahawa wakati wanasubiri ipoe kidogo kwenye kikombe,wenzio hayo maneno wanasema hapohapo na kuyaacha hapohapo sasa wewe unayabeba na kuyafanya ndio nukuu yako
 
LOWWASA NA HUYO MAALIM WOTE NI VIBARAKA WA CCM!! KAMA MNAVYOSEMA SIASA HAZINA UADUI MBONA MNAANDAMANA AU HAMJUI KUWA KTK MAANDAMANO LOLOTE LAWEZA TOKEA mfano wakatokea vijana wakavaa jezi za ukuta then wakaanza kuiba ktk maduka ya watu je huo sio uadui? kama huo sio uadui sawa lakini kama mtakubali kuwa huo ni uadui kwa nini muufanye?Hivi mnajua kwa nini vyombo vya dola haviwasupport? Haviwasupport kwa sababu nyinyi ni vigeu vigeu mkikutana na viongozi wakubwa wa ccm mnaanza kusema siri za vyama vyenu bila kuulizwa!! pia wengi wenu mnatumika na serikali ..........mwaka huu haandamani mtu kama vipi waandamane lowwasa , maalim na huyo mbilicanas wananchi tushawachoka haiwezekani utushawishi kuandamana alafu ww umekaa na rais unakenua kenua tu na ndo maana mungu kakupa sembe za kichwa kabla hujazeeka kwa ukigeu geu wako
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE
Lowassa pia aisema kaibiwa na aliamua kunyamaza ili damu isimwagike ! ........nyie sijui kama mnajitambua !
 
Tanzania haina dini ILA viongozi wetu wana dini so John na Edward wameonyesha unyenyekevu wa kiimani LAKINI pia Seif alitenda kile anachoamini ni sahihi mbele ya Mola kama ulivyokuwa WOSIA wa Aboud aliyekataa kufuru
 
kufananisha sababu za lowassa na seif ni ujinga kwani vitu hivi ni tofauti.
kule zanzibar seif kaibiwa kisha mwizi anakuja kukupa mkono lazima ukatae
magufuli amekataza maandamano huku wanaotaka kufanya hayo maandamano bado hawajafanya kwani muda ambao wamepanga kufanya bado haujafika anakupa mkono kwanini usipokee kwani baba akichukia anakwambieni leo humu ndani hamli lakini akitoka zake huko jioni anarudi na fuko la mizagazaga mnakula kwa hiyo tusubiri 1UKUTA2 UPO PALEPALE
mkuu, good analysis
 
Back
Top Bottom