Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

Hata Zanzibar Mara kadhaa Seif amekuwa akisema JK ndio aliamuru uchaguzi urudiwe sio Dr. Shein ila salam aliyokataa ilikuwa ya Dr. Shein.

Kutetea Matendo ya Mwanasiasa ni miongoni mwa kazi kubwa sana Duniani sasa la Lowassa mnalitafutia uhalali

Well said mkuu
 
Hahahahaaa!mimi naeleza mambo kwa kina wewe unaeleza mambo ya vijiwe vya kahawa hatutaelewana kama wamefungua kesi itasikilizwa lini? nauliza swali hili hamnipi majibu je wapi viongozi wa chadema wamesema hawamtambui rais maana kama unapinga matokeo maana yake hata rais hutamtambua tatizo lenu mkisikia maneno ya kwenye kahawa mnaleta kwa GREAT THINKER
katika usomaji wa matokeo ya Urais mliingia mitini, akabakia Anna Mghwira. Wakati huo huo Babu Duni alikuwa anahangaika kufungua kesi !
 
Kufuatia kitendo cha maalim Seif kugoma kumpa Shain mkono kuna kamtindo kalianzishwa kakupiga picha za kuigiza tukio hilo huku ikishabikiwa kuwa ni kitendo cha kishujaa.
View attachment 388825 View attachment 388828
Usichanganye matukio mawili ambayo yamewahusu viongozi hawa wawili kwa kuwa hayafanani wala kushabihiana
1. Tukio la Zanzibar limehusisha viongozi wawili ambao hawatambuani;mmoja (Seif) anamuona (Shein)kuwa sio Rais halali wa Zanzibar.Ikumbukwe pia kuwa Seif alitangaza rasmi kuwa hamtabui na wala hatompa ushirikiano. Seif sio tu alikataa kupokea mkono lakini hata kusimama!
2.Kwa mujibu wa taratibu na sheria za kiislamu maziko hayana mualiko na kuhudhuria kwa muislamu ni faradhi (lazima).Hivyo Seif ilimbidi ahudhurie bila kujali yatakayotokea.
3.Kwanza Lowassa amealikwa na mwenye shughuli na akakubali mwaliko.Pili,Lowassa amemtambua Magufuli kama Rais halali wa Tanzania na kukubali matokeo ya uchaguzi hadharani. Hivyo hakuna sababu ya kuukataa mkono na hata kubusiana na viongozi wengine!
 
Usichanganye matukio mawili ambayo yamewahusu viongozi hawa wawili kwa kuwa hayafanani wala kushabihiana
1. Tukio la Zanzibar limehusisha viongozi wawili ambao hawatambuani;mmoja (Seif) anamuona (Shein)kuwa sio Rais halali wa Zanzibar.Ikumbukwe pia kuwa Seif alitangaza rasmi kuwa hamtabui na wala hatompa ushirikiano. Seif sio tu alikataa kupokea mkono lakini hata kusimama!
2.Kwa mujibu wa taratibu na sheria za kiislamu maziko hayana mualiko na kuhudhuria kwa muislamu ni faradhi (lazima).Hivyo Seif ilimbidi ahudhurie bila kujali yatakayotokea.
3.Kwanza Lowassa amealikwa na mwenye shughuli na akakubali mwaliko.Pili,Lowassa amemtambua Magufuli kama Rais halali wa Tanzania na kukubali matokeo ya uchaguzi hadharani. Hivyo hakuna sababu ya kuukataa mkono na hata kubusiana na viongozi wengine!
Usichanganye matukio mawili ambayo yamewahusu viongozi hawa wawili kwa kuwa hayafanani wala kushabihiana
1. Tukio la Zanzibar limehusisha viongozi wawili ambao hawatambuani;mmoja (Seif) anamuona (Shein)kuwa sio Rais halali wa Zanzibar.Ikumbukwe pia kuwa Seif alitangaza rasmi kuwa hamtabui na wala hatompa ushirikiano. Seif sio tu alikataa kupokea mkono lakini hata kusimama!
2.Kwa mujibu wa taratibu na sheria za kiislamu maziko hayana mualiko na kuhudhuria kwa muislamu ni faradhi (lazima).Hivyo Seif ilimbidi ahudhurie bila kujali yatakayotokea.
3.Kwanza Lowassa amealikwa na mwenye shughuli na akakubali mwaliko.Pili,Lowassa amemtambua Magufuli kama Rais halali wa Tanzania na kukubali matokeo ya uchaguzi hadharani. Hivyo hakuna sababu ya kuukataa mkono na hata kubusiana na viongozi wengine!
Unafiki utatufikisha pabaya washabiki wa wanasiasa.
 
Nimechoka...kwa post yako hii wewe ni MATAPISHI mkubwa kuliko wote niliokwisha kukutana nao.
By the way, na hoja ilikuwa uongo wa kufungua kesi ICC na ICJ, na sasa ushapinga tena kuwa kina Chadema waligomea matokeo na kumtambua JPM.
Tunawaona tu mnavyomnyekekea kimya kimya.. na mwingine huyu hapa..picha hii ni zaidi ya maneno mengi.View attachment 388996
Siasa ina unafiki sana.Muone Msigwa anavyojichekesha.
 
Usichanganye matukio mawili ambayo yamewahusu viongozi hawa wawili kwa kuwa hayafanani wala kushabihiana
1. Tukio la Zanzibar limehusisha viongozi wawili ambao hawatambuani;mmoja (Seif) anamuona (Shein)kuwa sio Rais halali wa Zanzibar.Ikumbukwe pia kuwa Seif alitangaza rasmi kuwa hamtabui na wala hatompa ushirikiano. Seif sio tu alikataa kupokea mkono lakini hata kusimama!
2.Kwa mujibu wa taratibu na sheria za kiislamu maziko hayana mualiko na kuhudhuria kwa muislamu ni faradhi (lazima).Hivyo Seif ilimbidi ahudhurie bila kujali yatakayotokea.
3.Kwanza Lowassa amealikwa na mwenye shughuli na akakubali mwaliko.Pili,Lowassa amemtambua Magufuli kama Rais halali wa Tanzania na kukubali matokeo ya uchaguzi hadharani. Hivyo hakuna sababu ya kuukataa mkono na hata kubusiana na viongozi wengine!
Umesahau hata Kubenea alipotangaza kununia,kunyima mapenzi na kutowagusa wana CCM mtu wa kwanza kuvunja mwiko alikuwa ni Lowassa kwa kukumbatiana na Sendeka.
 
Unafiki ndio umetufanya tusihoji hata kilichotokea ICC baada ya kugundua lilikuwa igizo la wapendwa wetu.
 
watanzania tujifunze kuweka akiba ya maneno angalia vijana ufipa wanaumbuka
 
Umesahau hata Kubenea alipotangaza kununia,kunyima mapenzi na kutowagusa wana CCM mtu wa kwanza kuvunja mwiko alikuwa ni Lowassa kwa kukumbatiana na Sendeka.
No Comment -Usichanganye matukio mawili ambayo yamewahusu viongozi hawa wawili!
 
Back
Top Bottom