Uchaguzi 2020 Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kumpa kura John Pombe Magufuli

Nicodemas Tambo Mwikozi

JF-Expert Member
Aug 13, 2016
663
1,047
Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini.

Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo ya kumuondoa Kaburu na sera zake za ubaguzi wa Rangi ili waweze kujitawala.

Vijana hao walifika kuona na kujifunza Historia ya wapigania Uhuru wa Taifa lao na kuziona nyayo walizopitia, Historia inatukumbusha tulipotoka ili Tujue Tulipo na Wapi Tunakwenda. vijana hao walitaka kujua yaliopita.

Katika Mazungumzo yetu walionekana Kutoridhishwa na hatua za Maendeleo tulizofikia Kama taifa, Katika fikra zao picha ya jiji waliokua nayo kichwani Mwao ilikua ni jiji la aina Capetown, Johannesburg au Pretoria waliyayozoea kwao.

Hivyo walipotua dar na kuona jijini hakuna flyover,hakuna barabara sita sita zinazopishana, hakuna train za umeme , hakuna Mataa barababarani, na maudambwiudambwi Mengi waliyoyaona ni ishara za maendeleo katika jiji kutokuwepo jiji la Dar es Salaam walionekana kushanga.

Wakaanza kunihoji kwa utani ambao kwangu niliuchukulia kama dharau kwa taifa langu, mbona hamna hiki mbona hatujaona hiki mbona hakuna kile. Muda mwingi nilijibu hicho tunatarajia kujenga muda sio mrefu , hicho bado kabisa, hilo lipo kwenye Mchakato.

Baada ya kuona maswali yamekua Mengi niliamua kufipisha maswali yote kwa jibu Moja Fupi.

Sikilizeni Tungeweza Kua na vyote hivyo mnavyoulizia lakini fedha ambayo tungejengea miradi yote hiyo mnayoulizia Mlikula nyie wakati tunawasaidia mpate uhuru . Tuliwapa fedha zetu na nguvu kazi yetu kubwa, kuja kumwaga damu zetu kwa ajili yenu. Ukimya ukatawala Nidhamu ikarudi. Nikasema Dozi imeingia moyoni nikatabasamu.

Leo Tunaadhimisha Miaka kadhaa Tangu Baba wa taifa letu afariki lakini kiuhalisia Baba wa taifa hajafa bado anaishi nasi katika matendo mema na fikra zake njema ambazo zinadumu mpaka kesho.

Zipo namna zaidi ya milioni ambavyo Mtu anaweza kumuelezea na kumsimulia mwalimu, Mwalimu hakinai wala hachoshi Kumuelezea kwa namna yoyote ile.

Binafsi leo Namkumbuka kwa Falsafa yake ya "sisi Tanzania hatupo huru kama nchi jirani wenzetu hawapo huru"
Kauli hii iliamsha harakati za ukombozi kusini mwa Jangwa la sahara ambapo sera zetu za nje ilikua ni kuhakikisha nchi za kiafrica zinapata uhuru.

Kupitia sera hiyo Taifa letu lilipoteza fedha nyingi na damu nyingi za askari wetu kuhakikisha majirani wanakua huru. Uhuru ambao sasa wote tunafrahia.

Zipo ndoto zake kadhaa wa kadhaa ambazo Alitamani kuzitimiza lakini hakuzitimiza Alitamani kuona taifa letu likiwa na miradi mikubwa ya Umeme kama kama ule wa Stiglers Gorge, alihifadhi madini yetu akiamini vijana watasoma na kuyachimba kwa faida ya watanzania wote, alihifadhi mazingira na aliamini mtu anaeharibu mazingira anaharibu urithi bora wa kizazi kinachofwata baada Yake, kifupi alizilinda Rasilimali za taifa letu akiamini ni za kwa manufaa ya wote.

Imani yake hiyo na Falsafa za Baba wa taifa zinaishi na kutekelezwa kwa kiwango kikubwa Na Raisi wetu wa sasa Mh. John Pombe Joseph Magufuri ametimiza ndoto za Muasisi wa Taifa Letu, Mradi wa Stiglers Gorge ameutekeleza, Dodoma Kua Makuu Ya nchii Ametekeleza, ndoto ya Mwalimu kuona Madini yanawanufaisha Watanzania wote Mh. JPM Ametekeleza kwa kiwango kikubwa.

Tunapomuenzi MWALIMU siku ya Leo Tumuenzi Mwalimu nyerere kwa Kumpa kura John Pombe Magufuri Tarehe 28.10. Pamoja na na wabunge na madiwani watokanao na Chama chake Chama cha Mapinduzi ili Aendelee kutimiza Ndoto za Muasisi wa Taifa Letu.


IMG_20201014_130149_460.jpg

 
Tunapomuenzi MWALIMU siku ya Leo Tumuenzi Mwalimu nyerere kwa Kumpa kura John Pombe Magufuri Tarehe 28.10. Pamoja na na wabunge na madiwani watokanao na Chama chake Chama cha Mapinduzi ili Aendelee kutimiza Ndoto za Muasisi wa Taifa
Mwalimu Nyerere hakufanya:
>Utekaji
>Utesaji
>Mauaji
>Ubambikiziaji kesi zisizo na dhamana kwa wananchi wasio na hatia
>Ubaguzi na upendeleo kwa misingi ya chama, itikadi, kabila..
>Ufisadi Kama huu wa kununua wapinzani kwa mabilioni ya fedha za umma wa walipa kodi
>Wizi wa kura

Kwa hiyo, tutamuenzi Nyerere kwa kumchagua kwa kishindo T. A. LISSU
 
Mimi kweli napenda maendeleo.
Lakini hata Kama siku hiyo nitampigia Magufuli kwa sababu zangu mwenyewe, hizi unazosema kwamba ni ili kumuenzi baba wataifa, ukitolea mfano ya serikali ilichokifanya Miaka hii au iliyopita. Kuna sehemu utakua unapwaya.

Maana falsafa ya baba wataifa juu ya maendeleo Ni tofauti na experience hasa ya uongozi huu wa Miaka hii mitano.

Kwa Mwl. Nyerere maendeleo Ni lazima yawe people's centered.
Ni lazima yaakisi Maisha na ubora wa Maisha wa watu. Sio Miradi tu na miundombinu mizuri na ya kiwango Kama bado Kuna gap kubwa kwenye kuakisi Maisha ya mwananchi mtanzania.

Hiyo ndio ilikua falsafa ya Ml. Nyerere juu ya maendeleo.

Sikiliza speech hizi akiwahutubia hao wa South wako na tafsiri yake ya maendeleo

 
Naunga mkono hojaView attachment 1600299

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Uzuru wa Ml. Alikua mwenye kuuelewa mabadiliko. Hapo kwenye video yako alikua akiongea na Wana CCM ilikuwaasa wamteue mgombea ambaye atakua kiongozi atakayefaa. Kwa kuwateka kwa maneno matamu ili waikilize ushauri ( maneno matamu>> kiongozi safi atatoka CCM).

Maana wanachi huwa hatujali vyama Sana Kama tuna(me)pata kiongozi mzuri na tuna mkubali. Hivyo aliwaambia Kama wao CCM wakikosea (au kiongozi wamchaguaye akikosea), wasitarajie wananchi kuwakubali CCM Tena.

Sikiliza hii uone alichomalizia.


 
Mimi kweli napenda maendeleo.
Lakini hata Kama siku hiyo nitampigia Magufuli kwa sababu zangu mwenyewe, hizi unazosema kwamba ni ili kumuenzi baba wataifa, ukitolea mfano ya serikali ilichokifanya Miaka hii au iliyopita. Kuna sehemu utakua unapwaya.

Maana falsafa ya baba wataifa juu ya maendeleo Ni tofauti na experience hasa ya uongozi huu wa Miaka hii mitano.

Kwa Mwl. Nyerere maendeleo Ni lazima yawe people's centered.
Ni lazima yaakisi Maisha na ubora wa Maisha wa watu. Sio Miradi tu na miundombinu mizuri na ya kiwango Kama bado Kuna gap kubwa kwenye kuakisi Maisha ya mwananchi mtanzania.

Hiyo ndio ilikua falsafa ya Ml. Nyerere juu ya maendeleo.

Sikiliza speech hizi akiwahutubia hao wa South wako na tafsiri yake ya maendeleo
View attachment 1600301
View attachment 1600303
Bila kujali hoja ya mtoa mada naomba nikosoe hoja yako kuhusu dhana ya maendeleo katika fikra za Mwalimu kwa wakati huo wa miaka ya 70, kwanza mwalimu alijikita katika Azimio la Arusha (Sina haja ya kulielezea naamini unafahamu kwanini lilianzishwa) wakati huo idadi ya watanzania ilikuwa kati ya 13-15milioni na waliishi mjini ilikuwa kati ya asilimia 7.5-11, kwa sasa tunakadiriwa kuwa 59-60.5milioni na wanaoishi mjini ni 22-25asilimia. Hii ni kwa mujibu wa worldometer.

Hii ina maana gani, in 70's namba ya waliokuwa wanaishi mjini ilikuwa ndogo sana, teknolojia ilikuwa hafifu, utegemezi wa kiuchumi pia kwa walioishi vijijini haukuwa na maana kama sasa. Mfano kwa sasa mkulima anaweza kutoka kijijini leo asubuhi umbali wa zaidi ya kilometa 400 na jioni akawa amerejea kijijini ilihali kwa miaka ya 70 ilikuwa ni safari ya siku nne au zaidi. Sababu ni miundombinu hafifu.

Kwa kifupi sana maendeleo ya vitu (infrastructure) kwa wakati huo hayakuwa na tija kama sasa, so hatuwezi kung'ang'ania fikra hiyo muda wote eti kusiwe na miundo mbinu kwa sababu huna fedha mfukoni!! Uzuri wa miundombinu ni physical built ina limited capacity ukishajenga ghorofa umejenga kujenga jingine unless ulibomoe au libomoke in any means. Lakini akili yako ni unlimited so ukiiweka kwenye kutafuta suluhu ya matatizo (furusa) haina ukomo. Mfano unadhani ukiwa na kiasi gani cha fedha utatosheka! Na kusema kwa kiasi hiki sina haja ya kuendelea kusaka nyingine?!!.

Haya mambo ya infrastructures ni human being development supporters ukiwa navyo vinarahisisha katika utatuzi wa changamoto zako za kimaendeleo.
 
Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini.

Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo ya kumuondoa Kaburu na sera zake za ubaguzi wa Rangi ili waweze kujitawala.

Vijana hao walifika kuona na kujifunza Historia ya wapigania Uhuru wa Taifa lao na kuziona nyayo walizopitia, Historia inatukumbusha tulipotoka ili Tujue Tulipo na Wapi Tunakwenda. vijana hao walitaka kujua yaliopita.

Katika Mazungumzo yetu walionekana Kutoridhishwa na hatua za Maendeleo tulizofikia Kama taifa, Katika fikra zao picha ya jiji waliokua nayo kichwani Mwao ilikua ni jiji la aina Capetown, Johannesburg au Pretoria waliyayozoea kwao.

Hivyo walipotua dar na kuona jijini hakuna flyover,hakuna barabara sita sita zinazopishana, hakuna train za umeme , hakuna Mataa barababarani, na maudambwiudambwi Mengi waliyoyaona ni ishara za maendeleo katika jiji kutokuwepo jiji la Dar es Salaam walionekana kushanga.

Wakaanza kunihoji kwa utani ambao kwangu niliuchukulia kama dharau kwa taifa langu, mbona hamna hiki mbona hatujaona hiki mbona hakuna kile. Muda mwingi nilijibu hicho tunatarajia kujenga muda sio mrefu , hicho bado kabisa, hilo lipo kwenye Mchakato.

Baada ya kuona maswali yamekua Mengi niliamua kufipisha maswali yote kwa jibu Moja Fupi.

Sikilizeni Tungeweza Kua na vyote hivyo mnavyoulizia lakini fedha ambayo tungejengea miradi yote hiyo mnayoulizia Mlikula nyie wakati tunawasaidia mpate uhuru . Tuliwapa fedha zetu na nguvu kazi yetu kubwa, kuja kumwaga damu zetu kwa ajili yenu. Ukimya ukatawala Nidhamu ikarudi. Nikasema Dozi imeingia moyoni nikatabasamu.

Leo Tunaadhimisha Miaka kadhaa Tangu Baba wa taifa letu afariki lakini kiuhalisia Baba wa taifa hajafa bado anaishi nasi katika matendo mema na fikra zake njema ambazo zinadumu mpaka kesho.

Zipo namna zaidi ya milioni ambavyo Mtu anaweza kumuelezea na kumsimulia mwalimu, Mwalimu hakinai wala hachoshi Kumuelezea kwa namna yoyote ile.

Binafsi leo Namkumbuka kwa Falsafa yake ya "sisi Tanzania hatupo huru kama nchi jirani wenzetu hawapo huru"
Kauli hii iliamsha harakati za ukombozi kusini mwa Jangwa la sahara ambapo sera zetu za nje ilikua ni kuhakikisha nchi za kiafrica zinapata uhuru.

Kupitia sera hiyo Taifa letu lilipoteza fedha nyingi na damu nyingi za askari wetu kuhakikisha majirani wanakua huru. Uhuru ambao sasa wote tunafrahia.

Zipo ndoto zake kadhaa wa kadhaa ambazo Alitamani kuzitimiza lakini hakuzitimiza Alitamani kuona taifa letu likiwa na miradi mikubwa ya Umeme kama kama ule wa Stiglers Gorge, alihifadhi madini yetu akiamini vijana watasoma na kuyachimba kwa faida ya watanzania wote, alihifadhi mazingira na aliamini mtu anaeharibu mazingira anaharibu urithi bora wa kizazi kinachofwata baada Yake, kifupi alizilinda Rasilimali za taifa letu akiamini ni za kwa manufaa ya wote.

Imani yake hiyo na Falsafa za Baba wa taifa zinaishi na kutekelezwa kwa kiwango kikubwa Na Raisi wetu wa sasa Mh. John Pombe Joseph Magufuri ametimiza ndoto za Muasisi wa Taifa Letu, Mradi wa Stiglers Gorge ameutekeleza, Dodoma Kua Makuu Ya nchii Ametekeleza, ndoto ya Mwalimu kuona Madini yanawanufaisha Watanzania wote Mh. JPM Ametekeleza kwa kiwango kikubwa.

Tunapomuenzi MWALIMU siku ya Leo Tumuenzi Mwalimu nyerere kwa Kumpa kura John Pombe Magufuri Tarehe 28.10. Pamoja na na wabunge na madiwani watokanao na Chama chake Chama cha Mapinduzi ili Aendelee kutimiza Ndoto za Muasisi wa Taifa Letu.


Wewe ni asshole kweli kweli. Nyerere ana uhusiano gani na Magufuli??
 
Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini.

Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo ya kumuondoa Kaburu na sera zake za ubaguzi wa Rangi ili waweze kujitawala.

Vijana hao walifika kuona na kujifunza Historia ya wapigania Uhuru wa Taifa lao na kuziona nyayo walizopitia, Historia inatukumbusha tulipotoka ili Tujue Tulipo na Wapi Tunakwenda. vijana hao walitaka kujua yaliopita.

Katika Mazungumzo yetu walionekana Kutoridhishwa na hatua za Maendeleo tulizofikia Kama taifa, Katika fikra zao picha ya jiji waliokua nayo kichwani Mwao ilikua ni jiji la aina Capetown, Johannesburg au Pretoria waliyayozoea kwao.

Hivyo walipotua dar na kuona jijini hakuna flyover,hakuna barabara sita sita zinazopishana, hakuna train za umeme , hakuna Mataa barababarani, na maudambwiudambwi Mengi waliyoyaona ni ishara za maendeleo katika jiji kutokuwepo jiji la Dar es Salaam walionekana kushanga.

Wakaanza kunihoji kwa utani ambao kwangu niliuchukulia kama dharau kwa taifa langu, mbona hamna hiki mbona hatujaona hiki mbona hakuna kile. Muda mwingi nilijibu hicho tunatarajia kujenga muda sio mrefu , hicho bado kabisa, hilo lipo kwenye Mchakato.

Baada ya kuona maswali yamekua Mengi niliamua kufipisha maswali yote kwa jibu Moja Fupi.

Sikilizeni Tungeweza Kua na vyote hivyo mnavyoulizia lakini fedha ambayo tungejengea miradi yote hiyo mnayoulizia Mlikula nyie wakati tunawasaidia mpate uhuru . Tuliwapa fedha zetu na nguvu kazi yetu kubwa, kuja kumwaga damu zetu kwa ajili yenu. Ukimya ukatawala Nidhamu ikarudi. Nikasema Dozi imeingia moyoni nikatabasamu.

Leo Tunaadhimisha Miaka kadhaa Tangu Baba wa taifa letu afariki lakini kiuhalisia Baba wa taifa hajafa bado anaishi nasi katika matendo mema na fikra zake njema ambazo zinadumu mpaka kesho.

Zipo namna zaidi ya milioni ambavyo Mtu anaweza kumuelezea na kumsimulia mwalimu, Mwalimu hakinai wala hachoshi Kumuelezea kwa namna yoyote ile.

Binafsi leo Namkumbuka kwa Falsafa yake ya "sisi Tanzania hatupo huru kama nchi jirani wenzetu hawapo huru"
Kauli hii iliamsha harakati za ukombozi kusini mwa Jangwa la sahara ambapo sera zetu za nje ilikua ni kuhakikisha nchi za kiafrica zinapata uhuru.

Kupitia sera hiyo Taifa letu lilipoteza fedha nyingi na damu nyingi za askari wetu kuhakikisha majirani wanakua huru. Uhuru ambao sasa wote tunafrahia.

Zipo ndoto zake kadhaa wa kadhaa ambazo Alitamani kuzitimiza lakini hakuzitimiza Alitamani kuona taifa letu likiwa na miradi mikubwa ya Umeme kama kama ule wa Stiglers Gorge, alihifadhi madini yetu akiamini vijana watasoma na kuyachimba kwa faida ya watanzania wote, alihifadhi mazingira na aliamini mtu anaeharibu mazingira anaharibu urithi bora wa kizazi kinachofwata baada Yake, kifupi alizilinda Rasilimali za taifa letu akiamini ni za kwa manufaa ya wote.

Imani yake hiyo na Falsafa za Baba wa taifa zinaishi na kutekelezwa kwa kiwango kikubwa Na Raisi wetu wa sasa Mh. John Pombe Joseph Magufuri ametimiza ndoto za Muasisi wa Taifa Letu, Mradi wa Stiglers Gorge ameutekeleza, Dodoma Kua Makuu Ya nchii Ametekeleza, ndoto ya Mwalimu kuona Madini yanawanufaisha Watanzania wote Mh. JPM Ametekeleza kwa kiwango kikubwa.

Tunapomuenzi MWALIMU siku ya Leo Tumuenzi Mwalimu nyerere kwa Kumpa kura John Pombe Magufuri Tarehe 28.10. Pamoja na na wabunge na madiwani watokanao na Chama chake Chama cha Mapinduzi ili Aendelee kutimiza Ndoto za Muasisi wa Taifa Letu.


Hata nyumbani kwa baba wa Taifa hakukaribishwa
 
Back
Top Bottom