utasikika tena kwa ufasaha
Nafarijika kama wakuda kama were mmesikia busara hizi na kumpelekea CHIEF NANGA!!
utasikika tena kwa ufasaha
Matusi hayo. Haina haja ya lugha za maudhi kwenye mambo muhimu yanayotugusa wote.Nafarijika kama wakuda kama were mmesikia busara hizi na kumpelekea CHIEF NANGA!!
chi+zi= chizi,hata biashara ukileta urafiki kwenye biashara ujue umaskini ndio swahiba yako
25-27
Kinyume cha ustaarabu ni ushenzi.
Boss wake nani?Unakubali kuwa boss wake sio mstaarabu kwahiyo unaamini ni MSHENZI sio?
Mwanasiasa muda wote anataka aongelewe yeye,ndio maana kina Zitto, Lema,yule mbunge wangu wa Tarime wanashinda TwitterWanasiasa wana namna nyingi sana ya kuhakikisha wanakuwa machoni na masikioni kwa wananchi wao.
Asipoweka maneno ya faraja basi vitimbwi au maudhi lengo aguse hisia za wananchi ili waanze kumjadili.....
Politic technics.