kama mleta uzi ni kichaa mi ni kichaa zaidi yakeKama Kandarasi ni mshenzi mimi ni mshenzi zaidi yake
Mnisamehe, nina frustrations zangu. --OKOKNKOkama mleta uzi ni kichaa mi ni kichaa zaidi yake
Umesahau pia anahitaji kuwa IGP na kiongozi wa malaika mbinguni?Kichaa/mshenzi/ anatamani kuwa mbunge/ anatamani kuwa RPC .....kweli awamu hii tumepatikana!
Kwa maana Mungu ampende zaidi auHii ya kazi ya mwisho huwa ninaomba vetting iende vizuri na offer imfikie
"KAMA MKANDARASI NI MSHENZI MIMI NI MSHENZI ZAIDI YAKE" MIMI SITEGEMEI MANENO KAMA HAYA YANAWEZA KUTAMKWA NA KIONGOZI WA NCHI MWENYE BUSARA. KILA SIKU WATU WANAHUBILI JUU YA MAADILI KWA VIJANA WETU JE KWA MATAMSHI YA RAIS KAMA HAYA ANAWAFUNDISHA TABIA GANI VIJANA WETU? KIONGOZI WA NCHI NDIO KIOO CHA NCHI ANATAKIWA AWE MFANO WA WANANCHI WAKE KUMUIGA.
Alaaaaaaa tumepatikana haswaa. Hivi wastaafu wapo au wameshaaga Dunia.Kichaa/mshenzi/ anatamani kuwa mbunge/ anatamani kuwa RPC .....kweli awamu hii tumepatikana!
Msisahau kumwombeaUmesahau pia anahitaji kuwa IGP na kiongozi wa malaika mbinguni?
Washenzi!!Nani alitoa ruhusa Ikulu aingie mshenzi?
Kasie hongera sana, ukubwa Dawa dada yangu! Huwezi amini zamani nilidhani Sky Eclat ni mtu mzima ila kwa hili sijui! Hivi Makota ya JPM ni yapi hapo? Hii ni misemo tu. Kweli JF shida! Usichoke waelimisheWanasiasa wana namna nyingi sana ya kuhakikisha wanakuwa machoni na masikioni kwa wananchi wao.
Asipoweka maneno ya faraja basi vitimbwi au maudhi lengo aguse hisia za wananchi ili waanze kumjadili.....
Politic technics.