Tumsikilize Mange Kimambi pamoja na Edo wa WASAFI

Tumsikilize Mange Kimambi pamoja na Edo wa WASAFI

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,813
Reaction score
10,867
Wakuu tumsikilize Miss Mange Kimambi kwa nini reform ni muhimu.

Pia Tumsikilize one of the Big Brain pale WASAFI . Wananchi hawafurahishwa na namna polisi wanavo behave kwenye minor issue.
-
Mwisho na kwa maoni yangu mimi kama Dr Megalodon Ndesaruo Mushi: Ukifanya a Simple survey; , asilimia 90 ya watanzania hawafurahishwi na uwepo wa Samia kama Rais. Hata wale lay persons kabisa …. watasema same thing.

Hawafurahishwi kwa sababu kuu zifuatazo;

1. Nchi imekosa Utulivu, amani na upendo,
2. Kuna mpasuko mkubwa sana wa kidini, ni Kama kuna vita ya chini kwa chini kati ya muslim na Christianity .

3. Financial management ya nchi imekuwa ni ya hovyo kuwahi kutokea. Rushwa imeongezeka maradufu. Rais alishawahi kutoa kauli yake kuwa watu wale kwa kamba yao ila sasa wasizidishe, wasifanye kufuru.

4. Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa Misaada na kukopa. Malawi would be rich by far . In Tanzania , Deni la Taifa limekuwa kubwa sana na fedha hazijulikan zilipo…Rais alishakiri fedha zinaenda mifukoni mwa watu. Miradi mingi haikamiliki kwa kuwa hela hazionekani:

watu wanatoa tozo, donors wanatoa misaada, nchi inakopa… and still miradi ipo slow .kwa mfano mabarabara yanayojengwa hapo mjini ni mwaka wa 4 sasa yapo yapo tu …. The president doesn’t know what else to do … the most scariest thing

5. Nepotism ndani ya nchi imekuwa kubwa sana . Familia moja yote inamilikishwa Ofisi za Umma, the most scariest thing !

The president has lost a control … we must speak out sisi ndio WAAJIRI wake , analipwa zaidi ya 150M kwa mwezi kutoka kwenye kodi za wananchi

Dr Megalodon Mushi
Canada

 
Kuna Mwananchi anayekataa Reforms ?!!!!

Hakuna issue ni uwakilishaji unakuwepo in such a way ya kuweza kuingiliwa na kupigiwa Propaganda na mambo mengi yamekuwa politicize hivyo raisi sana kwa watawala na wanufaika kutumia divide and rule...

Ifike wakati mambo muhimu ya nchi na wananchi yabebwe kama ni ya kitaifa na ya wananchi na sio ya watu fulani (ukishasema hili ni la kwetu au kulivika sura ya ni la kwenu) mwisho wa siku mtalipambania wenyewe wakati linagusa wengi
 
Kuna Mwananchi anayekataa Reforms ?!!!!

Hakuna issue ni uwakilishaji unakuwepo in such a way ya kuweza kuingiliwa na kupigiwa Propaganda na mambo mengi yamekuwa politicize hivyo raisi sana kwa watawala na wanufaika kutumia divide and rule...

Ifike wakati mambo muhimu ya nchi na wananchi yabebwe kama ni ya kitaifa na ya wananchi na sio ya watu fulani (ukishasema hili ni la kwetu au kulivika sura ya ni la kwenu) mwisho wa siku mtalipambania wenyewe wakati linagusa wengi
Sahihi. Divide and rule ndicho ninachokiona
 
Wakuu tumsikilize Miss Mange Kimambi kwa nini reform ni muhimu.

Pia Tumsikilize one of the Big Brain pale WASAFI . Wananchi hawafurahishwa na namna polisi wanavo behave kwenye minor issue.
-
Mwisho na kwa maoni yangu mimi kama Dr Megalodon Ndesaruo Mushi: Ukifanya a Simple survey; , asilimia 90 ya watanzania hawafurahishwi na uwepo wa Samia kama Rais. Hata wale lay persons kabisa …. watasema same thing.

Hawafurahishwi kwa sababu kuu zifuatazo;

1. Nchi imekosa Utulivu, amani na upendo,
2. Kuna mpasuko mkubwa sana wa kidini, ni Kama kuna vita ya chini kwa chini kati ya muslim na Christianity .

3. Financial management ya nchi imekuwa ni ya hovyo kuwahi kutokea. Rushwa imeongezeka maradufu. Rais alishawahi kutoa kauli yake kuwa watu wale kwa kamba yao ila sasa wasizidishe, wasifanye kufuru.

4. Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa Misaada na kukopa. Malawi would be rich by far . In Tanzania , Deni la Taifa limekuwa kubwa sana na fedha hazijulikan zilipo…Rais alishakiri fedha zinaenda mifukoni mwa watu. Miradi mingi haikamiliki kwa kuwa hela hazionekani:

watu wanatoa tozo, donors wanatoa misaada, nchi inakopa… and still miradi ipo slow .kwa mfano mabarabara yanayojengwa hapo mjini ni mwaka wa 4 sasa yapo yapo tu …. The president doesn’t know what else to do … the most scariest thing

5. Nepotism ndani ya nchi imekuwa kubwa sana . Familia moja yote inamilikishwa Ofisi za Umma, the most scariest thing !

The president has lost a control … we must speak out sisi ndio WAAJIRI wake , analipwa zaidi ya 150M kwa mwezi kutoka kwenye kodi za wananchi

Dr Megalodon Mushi
Canada
Leo Mange ndio model wako?

Anyways alichoongea leo ndio inatakiwa kuwa lengo kuu la watanzania

Na siyo kujificha kwenye chaka la chakandumuz au ccm
 
Ingawa sio shabiki wake ila yupo sahihi kwa kiasi,viongozi hawapo kwa ajili yetu ila sisi tumekuwa daraja kwao kila baada ya miaka mitano kufanikisha malengo yao na cycle zao.

Wanatuburuza watakavyo,wanaiba wanamuita CAG kusoma rubbish mubashara halafu business as usual,sijui wanatuchukuliaje? Hatuna mtetezi si jeshi, idara ya usalama,mahakama wala polisi,wote wanaishi kwa kubebwa.

Hii nchi ni ya kwetu sote si ya watu fulani,watuhubiria amani,amani itakujaje kama keki ya taifa inaliwa na kikundi cha wachache?
 
Wakuu tumsikilize Miss Mange Kimambi kwa nini reform ni muhimu.

Pia Tumsikilize one of the Big Brain pale WASAFI . Wananchi hawafurahishwa na namna polisi wanavo behave kwenye minor issue.
-
Mwisho na kwa maoni yangu mimi kama Dr Megalodon Ndesaruo Mushi: Ukifanya a Simple survey; , asilimia 90 ya watanzania hawafurahishwi na uwepo wa Samia kama Rais. Hata wale lay persons kabisa …. watasema same thing.

Hawafurahishwi kwa sababu kuu zifuatazo;

1. Nchi imekosa Utulivu, amani na upendo,
2. Kuna mpasuko mkubwa sana wa kidini, ni Kama kuna vita ya chini kwa chini kati ya muslim na Christianity .

3. Financial management ya nchi imekuwa ni ya hovyo kuwahi kutokea. Rushwa imeongezeka maradufu. Rais alishawahi kutoa kauli yake kuwa watu wale kwa kamba yao ila sasa wasizidishe, wasifanye kufuru.

4. Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa Misaada na kukopa. Malawi would be rich by far . In Tanzania , Deni la Taifa limekuwa kubwa sana na fedha hazijulikan zilipo…Rais alishakiri fedha zinaenda mifukoni mwa watu. Miradi mingi haikamiliki kwa kuwa hela hazionekani:

watu wanatoa tozo, donors wanatoa misaada, nchi inakopa… and still miradi ipo slow .kwa mfano mabarabara yanayojengwa hapo mjini ni mwaka wa 4 sasa yapo yapo tu …. The president doesn’t know what else to do … the most scariest thing

5. Nepotism ndani ya nchi imekuwa kubwa sana . Familia moja yote inamilikishwa Ofisi za Umma, the most scariest thing !

The president has lost a control … we must speak out sisi ndio WAAJIRI wake , analipwa zaidi ya 150M kwa mwezi kutoka kwenye kodi za wananchi

Dr Megalodon Mushi
Canada
Kati ya hoja zako 5, nakubaliana na wewe kwenye hoja 4! Hoja namba 2 naipinga! Kwa sababu ukija huku mtaani, haipo!
Kwangu mimi nadhani kuna chokochoko tu za hapa na pale zinazofanywa na baadhi ya Msheikh wa Bakwata, kwa kutaka kutuletea huo mpasuko wa kidini kupitia matamko yao mbalimbali.


Hoja namba 2 ilitakiwa iwe ni ile ya mpasuko uliotokea awamu hii. Na ho mpasuko unahusu baadhi ya watu kuhisi Tanganyika inatawaliwa na Rais mwenye asili ya nchi nyingine. Hii kitu imechangia sana watu hao kumuunga mkono TAL.
 
SIasa za instqgram hazijawahi shinda siasa za nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa

Kupitia hizi keybords Nasubiri Chadema waandamane wakifunga mitaa yote ya nchi hii

Nasubiri wanachadema wajazane mahakamani

Nasubiri wanachadema washike dola
Siasa za karne hii hazijawahi kumnufaisha mlalahoi siasa zimekuwa platforms za kupata Kura ili uende Kula...; Kama mlipa kodi hii inasikitisha sana...



 

Similar Discussions

Back
Top Bottom