Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.

Hapo kwenye red ni kauli ya kipumbavu kutumika katika siasa zenye misingi ya kidemokrasia na ushirikishwaji wa umma katika kupanga na kuamua mambo yao.Wewe nani kakupa chama cha siasa kuwa mali yenu au yako?
 
Siku kumi na nne zimefika ama bado hazijafika?
CDM mnajichimbia sehemu ya kujifukia wenyewe.... kutokana na kujichanganya kwenu.
Mlisema Zitto hawababaishi, mbona kila kukicha mwaweweseka hadi kufikia hatua ya kuanza kuipigia chapuo gongo........

kiukweli siku 14 zimekwisha bila ubishi.
Kuhusu hukumu aliyokua anaisubilia amekwisha ipata. Ila bado awajaitangaza waziwazi kwenye vyombo vya habari. Amepewa mwenyewe zito,ndio maana kwenye mikutano yake utamsikia analalama aondoki cdm. Vp umekwisha pata picha cha kinacho endelea.
 
Kuna connection gani kati ya JF na ZZK, analindwa sana hapa sawa na J.k na Tiss

sio tu uzi wa uzushi,personal attack kumhusu yeye utaondolewa hata wenye habari dhahiri na udhaifu wake

kuna wanasiasa wanaanikwa na mambo yao binafsi kuwekwa hapa lakini ya Zitto yataondolewa
 
Hapo kwenye red ni kauli ya kipumbavu kutumika katika siasa zenye misingi ya kidemokrasia na ushirikishwaji wa umma katika kupanga na kuamua mambo yao.Wewe nani kakupa chama cha siasa kuwa mali yenu au yako?

mkuu nilikua namaana kumuomba aondoke. Kutokana na mambo yafuatayo:
1) zito anaona cdm haina democracy.
2) pia cdm ni taasisi inayoongozwa kwa misingi ya udini na ukabila pamoja na ukanda.
3)ukiwa ndani ya cdm uwezi kuwa na uhuru wa kufanya mambo yako ya kimkakati ya kuwatuna na kuwadharau viongozi pamoja na kuanda njama za kufanya mageuzi ndani ya chama pamoja na kuanzisha vikundi na makundi ili kuwadhofisha viongozi.
Sasa kwavile sisi wanachama tunalidhishwa na utawala uliopo madarakani tunamuomba zito aondoke ili tuendele na utaratibu wetu.
Mbona aliweza kumtafutia kafulila chama iweje yeye anashindwa?
 

Mkuu... Kuna wafuasi wa ZZK humu ambao ni MM..
Na wanafanya kazi Usiku na machana kuhakikisha ZZK hachafuki tena kwa Gharama yeyote
 

Kiburi na majivuno hupofusha akili...Sidhani kama anaweza kusikia huyu jamaa...Dawa pekee ni kumfukuzia mbali
 

Hivi Mh Mbowe alikuwa na mbunge gani wa Viti Maalum Dubai?
 
Dah. Shitambala pamoja na mbwembwe zote zile mizigo hawajampa cheo?
 

kiukweli inanikera pia inanikatisha tamaa.
Si mara moja kwa post zangu kufutwa ama kuunganishwa.
Inabidi moderators,paw,invisible na wahusika wengine waliangalie kwa mapana ili kulipa heshma jukwaa letu.
Kwa wingi wetu tunaanza kuamini mamoderators wapo upande flani na mlengo flani.
 
si yeye Zito angekuwa yeye nina hakika angeshaurika. tusubiri atimuliwe watamtumia mwishowe watamtosa kama wengine wengi waliokubali kutumika.
 
Kuna mambo ya msingi lakini KWA upande wetu Huku mchambawima tunaona mnatukata MOto zito mwenyewe sijui anataka kuanzisha. Chama CHAke sasa aseme sio kuponda CDM
 
Kuna mambo ya msingi lakini KWA upande wetu Huku mchambawima tunaona mnatukata MOto zito mwenyewe sijui anataka kuanzisha. Chama CHAke sasa aseme sio kuponda CDM

Mhe. Zitto ni mtu wa kuvuliwa uanachama mara moja.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…