Tumsaidie Rais Samia kuijenga nchi hii

Tumsaidie Rais Samia kuijenga nchi hii

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Mabibi na mabwana, Mama Samia anahitaji uungwaji mkono katika kuijenga nchi hii. Mama ni muungwana na anayo nia ya dhati ya kuiendesha nchi kwa mujibu wa katiba.

Pamoja na yote anayosema na nia yake njema ya kufanana na JPM, mama ameonyesha kwa vitendo kuwa si katika dhuluma wala katika kuvunja katiba au sheria.

Mwenye macho haambiwi tazama:

1. Leo uamsho wako huru
2. Mdude yuko huru
3. Kesi bambikizi 147 Takukuru zimefutwa
4. Watu hawapotei tena
5. Watu wasiojulikana hawapo tena
6. Nk

Hayati Magufuli alihitaji kupewa muda kuinyorosha nchi. Mama anaomba muda kusimamisha uchumi. Lakini kwani katiba ya nchi inasemaje? Katiba ya nchi itatamalaki. Na hili si hisani. Panga pangua katiba ni lazima kutamamalaki. Na hili ndilo eneo tunalopaswa kumsaidia sana mama katika ujenzi wa nchi hii.

Tusichoke kumsaidia mama katika kuijenga nchi hii kwa kuzingatia matakwa kamili ya katiba iliyopo, tunapojiandaa kwa mwendelezo wa kudai katiba mpya iliyoboreshwa.

Yaliyotutokea kipindi kile hayapaswi kurejelewa.

Ninawasilisha.
 
Hiyo katiba msubiri mpaka uchumi wetu uwe kama marekani. Halafu bavicha mshaambiwa mapema hakuna mikutano ya hadhara, msije baadae kutaka kuleta ujinga wenu
 
Samia= Magufuli

Nyumbu wataelewa tu

Samia = Magufuli

1. Sabaya yuko kisongo
2. Polepole CCM ni nobody
3. Bashiru CCM ni nobody
4. Uamsho wako huru
5. Mdude yuko huru
6. Corona tunaongelea chanjo
7. Nk

True, Samia = JPM lakini si kwenye dhuluma yoyote au uvunjaji katiba.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Hiyo katiba msubiri mpaka uchumi wetu uwe Kama marekani.
Alafu bavicha mshaambiwa mapema hakuna mikutano ya hadhara, msije baadae kutaka kuleta ujinga wenu

Mama = JPM, lakini si katika dhuluma wala uvunjaji katiba.

Tutakuwa na mama kuhakikisha kuwa haturudi Misri.

No wonder tunampa sana moyo wa kuyafanyia kazi haya mavitu:

IMG_20210610_103030_594.jpg


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Yote aliyosema mama leo yalitegemewa. Halipo jipya.

La maana tu ambalo ni vyema kila mtu ajue, safari hii tumedhamiria kweli kuilinda katiba na kupigania nyingine iliyo bora zaidi.

Hatuna mpango wa kurejea tena Misri kwani tulishatoka na nyoka.

Kwa hiari au kwa marumbano wachaguzi hatuwezi kuwa sisi.

Au nasema uongo mkuu BAK?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Uko sawa kabisa Mkuu mimi zaidi ya mwezi sasa nilimuona huyo maza ANADEMKA tu na nikaandika humu kwamba nimepoteza imani naye. Wapo walioniambia tumpe muda lakini sasa ukweli umedhihirika. Maza hana jipya zaidi ya kudemka na kufuata nyayo za mwendazake.

Yote aliyosema mama leo yalitegemewa. Halipo jipya.

La maana tu ambalo ni vyema kila mtu ajue, safari hii tumedhamiria kweli kuilinda katiba na kupigania nyingine iliyo bora zaidi.

Hatuna mpango wa kurejea tena Misri kwani tulishatoka na nyoka.

Kwa hiari au kwa marumbano wachaguzi hatuwezi kuwa sisi.

Au nasema uongo mkuu BAK?
 
Mama tunaye........

Nchi bora ya Tanzania ina Rais bora madarakani.........

Tumuunge mkono mh.Rais SSH kwa kuongeza nguvu ya kufanya kazi maradufu.......

#KaziInaendelea
 
Uko sawa kabisa Mkuu mimi zaidi ya mwezi sasa nilimuona huyo maza ANADEMKA tu na nikaandika humu kwamba nimepoteza imani naye. Wapo walioniambia tumpe muda lakini sasa ukweli umedhihirika. Maza hana jipya zaidi ya kudemka na kufuata nyayo za mwendazake.

Pamoja na yote binafsi sijaona taabu yoyote naye. Maneno matupu hayajawahi kuvunja mfupa.

Hadi pale atakapotaka kulazimisha kuvunja katiba bado nadhani tumpe muda.

Kwani July 1 iko mbali? Kukusanyika si ni haki yetu madhali tahadhari ya Corona tumechukua?

Tusiandikie mate.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Dunia ina changamoto za Corona.....athari yake haiondoki leo....

Hao wanaotaka KATIBA MPYA hebu watueleze ni nchi gani Sasa inapigania KATIBA MPYA ?!!!

Je ni Tanzania peke yake ndiyo yenye uhitaji mkubwa wa katiba mpya kuliko nyingine kipindi hichi Cha mtanziko wa CORONA?!!!!!

Wanasiasa ni kundi dogo sana nchini.....hebu watuache tulio wengi TULIJENGE TAIFA KIUCHUMI.....

#KatibaMpyaSiMahitajiYaWatanzaniaWote
#NchiKwanza
#SerikaliMbiliDaima
 
Pamoja na yote binafsi sijaona taabu yoyote naye. Maneno matupu hayajawahi kuvunja mfupa.

Hadi pale atakapotaka kulazimisha kuvunja katiba bado nadhani tumpe muda.

Kwani July 1 iko mbali?
July 1 kuna nini kwa watanzania milioni 60 ?!!!

#KaziIendelee
 

Mabibi na mabwana, Mama Samia anahitaji uungwaji mkono katika kuijenga nchi hii.


Mama ni muungwana na anayo nia ya dhati ya kuiendesha nchi kwa mujibu wa katiba.

Pamoja na yote anayosema na nia yake njema ya kufanana na JPM, mama ameonyesha kwa vitendo kuwa si katika dhuluma wala katika kuvunja katiba au sheria.

Mwenye macho haambiwi tazama:

View attachment 1833936

1. Leo uamsho wako huru
2. Mdude yuko huru
3. Kesi bambikizi 147 Takukuru zimefutwa
4. Watu hawapotei tena
5. Watu wasiojulikana hawapo tena
6. Nk

Hayati Magufuli alihitaji kupewa muda kuinyorosha nchi. Mama anaomba muda kusimamisha uchumi.

Lakini kwani katiba ya nchi inasemaje? Katiba ya nchi itatamalaki. Na hili si hisani.

Panga pangua katiba ni lazima kutamamalaki. Na hili ndilo eneo tunalopaswa kumsaidia sana mama katika ujenzi wa nchi hii.

Tusichoke kumsaidia mama katika kuijenga nchi hii kwa kuzingatia matakwa kamili ya katiba iliyopo, tunapojiandaa kwa mwendelezo wa kudai katiba mpya iliyoboreshwa.

Yaliyotutokea kipindi kile hayapaswi kurejelewa.

Ninawasilisha.
 
Hii ni ahadi ya kilaghai na iliyo kinyume na katiba. Mama ni dikteta uchwara pia.

Mtawala yeyote anayevunja katiba ni dikteta.

Mama alishasema Samia = JPM

In the case which is worse?

Hata alivyosema hivyo alifanya nini?

Nimwonavyo mama, anazungukwa na wahafidhina ambao kwa maneno anatoka kauli hizi. Kwa vitendo mama ana hofu ya mola.

Hataki dhuluma wala si mvunja katiba.

Tumsaidie kuilinda na kuitetea katiba.
 
CCM inakubalika na watanzania wengi wa hali ya chini.....

CCM ni chama cha KIJAMAA....siasa za kiliberali sio zetu.....

KATIBA MPYA SI LENGO LETU.....
WANACHAMA WENGI WA CCM HATUITAKI HIYO KATIBA MPYA....

Museveni huwa anawaambia waingie PORINI......

MUNGU MWENYEZI amrehemu hayati Mama Asha Bakari Aaamin.....alisema ya kwamba ,nchi hii HATUKUIPATA NA KUIONGOZA KWA MAKARATASI ......

CCM si waliberali.....

Nchi hii haiendi KILIBERALI......

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 


Mkuu yote yanajulikana haya. Labda kama tulimtegemea mama kuwa mpigania katiba badala yetu.

Tambua labda hata kama ungekuwa wewe, bila mashinikizo tokea kwa wananchi ungekuwa na sababu za kuchelewesha mchakato wa katiba itakayo kupunguzia madaraka na hata kukuwekea mazingira ya wazi zaidi kukutoa madarakani ikibidi.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom