Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,035
- 12,805
Mkuu hayo madhara umeyafanyia tafiti kwa HAO WALIOCHANJWA?!!!Mkuu hiyo ingekuwa haina agenda nyingine na inakinga kweli hata mie ningeifuata nje! Hii ya sasa si kitu kihivyo! Na inamadhara sana!
Research yako ina SAMPLE SIZE kiasi gani ?!!!
Ama unaongelea tu "conspiracy theories" kwa maneno ya "kusikia" na "kuambiwa " tu ?!!!!