Mama alishasema:
Samia = JPM
Kama hivyo si tungaliishia hapa?
Nani hakujua JPM alitaka nini?
Mbona leo:
1. Sabaya yuko kidogo
2. Uamsho wako huru
3. Mdude yuko nje
4. Shughuli za kisiasa so far hazibughudhiwi?
5. Nk
![]()
Tathmini: Kesho bora ya Tanzania inategemea uwepo wa Katiba Mpya
Mabibi na mabwana ni ukweli usiopingika kuwa kesho yetu iliyo bora zaidi inategemea sana uwepo wa katiba mpya. Kwa hali tuliyofikia kunahitajika zaidi mustakabala mpya wa utangamano. Ni wazi kuwa hayupo mmoja ambaye kwa dhati yake asiyekwazika kabisa kwa lolote na katiba iliyopo labda tu, kwa...www.jamiiforums.com
Tulitaka mama asemeje?
Majibu yetu kwake yanapaswa kuwa wazi. Yaliyokinyume cha katiba hatukubali.
Haipo vita isiyokuwa na casualties.
..hilo neno " vita " limenikwaza.
..tulipata uhuru toka kwa Muingereza kwa njia ya majadiliano.
..lakini chaguzi zetu zimekuwa na umwagaji damu kuliko harakati za kupata uhuru.
..wapinzani kumsihi Mama Samia aruhusu mikutano, jambo ambalo limeruhusiwa kikatiba, ni kumpa heshima kubwa sana. Mama anatakiwa arudishe uungwana ambao vyama vya upinzani vimemuonyesha.