Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Nimemshauri sana ila nguvu na uzuri wa huyu dada Jasmini inaelekea kunizidi nguvu. Huyu rafiki yangu anapenda sana kuwa padri na anadai yuko ktk hatua za kwenda seminari kuu kuanza masomo ya falsafa na kamaliza digrii chuo kimojawapo Moro. Anasema pia anamtaka Jasmini sana maana anautesa moyo wake. Sasa wana JF mnisaidie, tumshaurije?
This is serious,please okoeni jahazi hapa!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
This is serious,please okoeni jahazi hapa!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums