Tumsaidie rafiki anataka upadre na ndoa

Tumsaidie rafiki anataka upadre na ndoa

Miito hutokana na sauti ya Mungu sasa wengine hushindwa kuitambua kama Samweli soma 1Samwel 3:1-9. Hapa asingepata ufafanuzi wa anayejua sauti ya Mungu kama kuhani Eli angepotea. Tuache kuchangia mada kwa kubomoa.
Lengo hapa huyu asiende upadri akaharibu waumini kama mmoja alivyochangia.
Mimi sijatunga,it is the reality.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

nena Bwana maana mtumishi wako anasikia.
 
Ninauzoefu na maisha ya seminary na masuala yahusiano na wito wa kuwa padri.
Mtu anaweza akujiunga useminary haka ukiwa tayari umekuwa senior mlei.
Embu soma story ya ukweli kabisa inayomuhusu rafiki yangu na classmet wangu ambaye ni padri anaitwa Selestine Nyaumba .hapo chini na kisha nenda kamshauri rafiki yako vizuri.
Hayo mambo ni hatari sana kuyamix ingawaje siku hizi kuna baadhi ya mapadri wanafanya kwa kujificha, ila mara nyingi mwisho wake si mzuri.

PADRI - Global Publishers
 
Mwanamtoka Pabaya! acha uongo!!!!!!
Mtu aliyemaliza chuo kikuu anaweza kujiunga na seminari kubwa vizuri saaana! ili mradi tu awe alikuwa na mawasiliano kwa muda na kufahamika na viongozi wa kanisa hasa paroko wake, awe amepata sakramenti za awali na awe na nia thabiti ya kuwa Padre.

Mimi mwenyewe nina mifano lukuki ya vijana waliopo maseminarini ambao wamepita vyuo vikuu tena wanahitajika sana maana ni wasomi ambao watasaidia kanisa ktk nyanja mbalimbali hususani sekta ya afya na elimu ili kuisaidia jamii sambamba na kuhubiri neno la Mungu. Please naomba unipe contact za huyo kijana ili nijaribu kupeana nae mwongozo. Kama mtu hujui suala fulani ni bora usichangie maana utapotosha wengi.

Naomba mni- PM ili niweze kumshauri vema huyo kijana anaependa kuja kuungana na kundi la kumtumikia Mungu kama Padre.
 
Asante sana Mnengene,nimeisoma habari na imenisikitisha sana. Ntampa nae asome maana siko mbali nae.
Mlasani naku-PM soon tuokoe jahazi hapa. Mungu awabariki sana mlionipa moyo ili tumtukuze Mungu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wewe sema kamaliza chuo gani kama sio JUCO? Alafu maandalizi ya upadre yanaanza seminari ndogo Kumbe yeye kamaliza degree ya kwanza. Mm kwa uzoefu nilionao kwanza anaweza kufikia upadree amezeeka. Hivyo yeye aoe tu. Kwani hata akienda huko atalazimika kuoa kwa siri kama kawida ya mapadree.

Ndo maana mm niliachana na hilo suala la upadree baada ya kumaliza kidato cha nne ktk Seminari. Nina ushahidi!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom