kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,885
Miito hutokana na sauti ya Mungu sasa wengine hushindwa kuitambua kama Samweli soma 1Samwel 3:1-9. Hapa asingepata ufafanuzi wa anayejua sauti ya Mungu kama kuhani Eli angepotea. Tuache kuchangia mada kwa kubomoa.
Lengo hapa huyu asiende upadri akaharibu waumini kama mmoja alivyochangia.
Mimi sijatunga,it is the reality.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
nena Bwana maana mtumishi wako anasikia.