Tumsaidie huyu kimawazo

Tumsaidie huyu kimawazo

Yeah kweli alijitolea sasa anang'ang'ania nini?

By the way Mama wa Binti yeye yuko Upande gani maana ameshuhudia namna Baba wa Kambo alivyo Hustle
Mama wa binti amekubali mawazo ya binti mahari apokee baba mzazi
 
Binti hana shukrani, akifanikiwa mahali iende kwa baba aliyemkimbia akiwa na miaka mitatu, hiyo ndoa itamsumbua huko mbeleni na Kuna jambo litamkuta. Malipo huwa ni hapahapa duniani, hakuna swala gumu kama kumlea na kumsomesha mtoto wa mwanaume mwingine mpaka chuo tena unayejua baba yake yupo anatomba tomba tu huko. Halafu afanikiwe ajifanye kujisogeza kwa sperm donor mmoja hivi. Kwa mnaolea watoto humu mtakuwa mnanielewa vizu

Binti aliachwa na baba yake akiwa na miaka 3.

Baba wa kambo akalea akasomesha mpaka akafika chuo kikuu na sasa ni tabibu.

Amepata mchumba sasa anataka kumuoa binti akasema mahari apewe baba yake mzazi.

Yule wa kambo amegoma kata kata mzigo uje kwake yeye ndie aliemtunza kuanzia mdogo mpaka alipo sasa nadhan atakuwa humu na kusoma mawazo yenu;

Nimeikuta mahali

UBUNTU - BOTHO
Huyo Binti hana akili hata kidogo, yaani umetelekezwa tangu ukiwa kachanga na huyo mpuuzi wako halafu umelelewa na mwingine mpaka unajua mema na mabaya halafu eti mahari apewe baba jinga .

Kumbuka pia kuzaa siyo kazi kazi ni kulea ,aliye kulea ndo mzazi wako wa ukweli.

Ndo matatizo ya kuoa single mothers.
 
Huyo Binti hana akili hata kidogo, yaani umetelekezwa tangu ukiwa kachanga na huyo mpuuzi wako halafu umelelewa na mwingine mpaka unajua mema na mabaya halafu eti mahari apewe baba jina .

Kumbuka pia kuzaa siyo kazi kazi ni kulea ,aliye kulea ndo mzazi wako wa ukweli.

Ndo matatizo ya kuoa single mothers.
Hawa ndo wanasababisha single mothers waogopwe kama ukoma. Pengine na mama yake anahusika kimya kimya baada ya kukosa shukrani.
 
Binti aliachwa na baba yake akiwa na miaka 3.

Baba wa kambo akalea akasomesha mpaka akafika chuo kikuu na sasa ni tabibu.

Amepata mchumba sasa anataka kumuoa binti akasema mahari apewe baba yake mzazi.

Yule wa kambo amegoma kata kata mzigo uje kwake yeye ndie aliemtunza kuanzia mdogo mpaka alipo sasa nadhan atakuwa humu na kusoma mawazo yenu;

Nimeikuta mahali

UBUNTU - BOTHO
Huyo binti ni mjinga,huyo baba wa kambo kapata hasara!
 
Back
Top Bottom