Tumjibu Mtatiro

Crucifix

JF-Expert Member
Feb 20, 2011
1,651
588
“Sisi tuliunga mkono kupitishwa kwa muswada huo bungeni siyo kwa sababu ulikuwa hauna upungufu, hapana, tuliamini na tunaamini kuna fursa ya kuufanyia marekebisho mara baada ya kuwa sheria, tukisema tuendeleze malumbano Katiba Mpya haitaandikwa, ”alisema Mtatiro. (source : Mwananchi newspaper)

Bw. Mtatiro! Hiyo fursa itatoka wapi? Ama itatolewa na nani? Lini? Na kwa namna gani?
Kuunga mkono mapungufu yaliyokusudiwa na mwenye nguvu na kutegemea mwenye nguvu huyo huyo kuyafanyia marekebisho ni upumbavu. Ni bora kuendelea na katiba ya sasa kuliko kuleta katiba mbovu zaidi.
 
kakuna haja ya kumjibu ***** na kibaraka kama huyu!
Mtatiro,mliunga hoja kwa kudumisha ndoa kwani kiapo cha ndoa ni 'ntakupenda kwenye shida na raha'na ndivyo mricho kifanya kumsapoti mmewenu.kwa kawaida mme akiamua jambo mwanamke lazima ufate,mi nasena mlikua sahihi kuupitisha mswada,anaye walaumu labda asijue kama nyie tayari ni mke wa mtu(CCM)na mnatakiwa kumsikiliza na kumfata mme wenu
 
"Sisi tuliunga mkono kupitishwa kwa muswada huo bungeni siyo kwa sababu ulikuwa hauna upungufu, hapana, tuliamini na tunaamini kuna fursa ya kuufanyia marekebisho mara baada ya kuwa sheria, tukisema tuendeleze malumbano Katiba Mpya haitaandikwa, "alisema Mtatiro. (source : Mwananchi newspaper)

Bw. Mtatiro! Hiyo fursa itatoka wapi? Ama itatolewa na nani? Lini? Na kwa namna gani?
Kuunga mkono mapungufu yaliyokusudiwa na mwenye nguvu na kutegemea mwenye nguvu huyo huyo kuyafanyia marekebisho ni upumbavu. Ni bora kuendelea na katiba ya sasa kuliko kuleta katiba mbovu zaidi.
sikuwaza kuwaza mtatiro ana pumba kiasi hiki
 
Mtatiro anaona bora katiba iandikwe haraka bila kujalisha mapungufu yaliyopo!duh huyu jamaa kweli kapagawishwa na mmewe magamba!haraka bila mwafaka ni hakuna kitu,ni bora kila kundi lihusishwe.
 
Nalifikiri Mtatiro ni mtu makini, kumbe loo, hiyo haijakaa vizuri ndugu Mtatiro kafikiri upya tena.
 
Inasikitisha sana kama tunafikia miaka 50 ya uhuru wa tanganyika na watu wanaoongozwa na mtu kama mtatiro.
 
Tusije kujidanganya kwamba CUF ni chama cha upinzani la hasha,CUF ni taasisi ya CCM ambayo kazi yake kubwa ni kuisaidia CCM na kubariki matakwa yake kwa hali zaidi,nguvu zaidi na kasi zaidi.
 
...hapa CUF wanataka kutuambia watantanyika kwamba,mtu unaweza kula uchafu kiasi unacho taka alfu baadae ukiingiza kidole kinywani utatapika uchafu wote na usipate matatizo yoyote kiafya!...ama kweli hiyo ndo CUF...kwa wale wenzangu na mimi(hasa watanganyika) mnao jinasibu kuwa ni wapenzi na wafuasi wa hiki chama mna kilasababu ya kufikiria mara mbili uamuzi wenu huo,la sivyo kuna-siku mtakuja lia kilio cha mbwa mdomo juu...."TAFAKARI"
 
Sijui Mtatiro amesomea chuo gani!

Watanzania tuna muda wa kujadili na kufanya marekebisho kabla ya Mswada kusainiwa na kuwa sheria. Nashangaa sana kuona msomi kama yeye anavyotaka kuwa hadaa watanzania kuwa hata ukishasainiwa na kuwa sheria unaweza kufanyiwa marekebisho.

Mtatiro anashindwa hata na baba yangu kule Qatesh kwa upeo wa kufikiri! japo anafuga ng'ombe na ndoto zake kila siku anaota ng'ombe lakini kwa mswada huu amemwona JK ni duwanzi la kutupwa!
 
Who is mtatiro? Is he politician? Is he well educated? Ooh my God, i love you Tanzania.
 
Mtatiro kasomea udsm mkuu,ila amepoteza sana umakini recently nadhani kufungamana kwa cuf na ccm nae kaamua "ajoin them" so pity!
 
Kwa hapo sikuungi mkono

mtatiro.jpg
 
haya ni matokeo ya ndoa takatifu ya CCM na CUF.....hamna jipya
 
Njaa mbaya sana,baada ya kuona maisha hayaendi akakimbilia CUF,na ukitaka kujua angalia kwenye paji lake la uso
 
Back
Top Bottom