1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,329
- 12,693
- Thread starter
- #81
Mkuu nlisikia ivo kutoka kwa mzee anayehusika na kuuza hizi shabu,, mm nlinunua kwa matumizi ya kusafisha maji,, kwa pembeni kuna mmamaa alikuwa anahoji hizo ndo nn,, ndo yule babu akamchana kwa kumtania si huwa mnaweka ktk K ili ibane? Yule mama akasema eeeeh naskia wenzangu huweka kwenye naniliu mm nikawaacha wakiendelea na hizo story za kuweka ktk K,Ivi ni ya kweli au uzushi tuu mkuu?