Tumeshinda vita ya awali

Tumeshinda vita ya awali

Uchumi wa kati upi ambao unashindwa kuongeza mishahara kwa miaka sita unashindwa kuongeza ajira nchini na badala yake wanawaambia graduates wajiajiri? Hebu acha kuandika ujinga!!!
Kwani takwimu kuwa asilimia 100 ya watumishi wa umma waliofanya Taifa hili lifike uchumi wa kati kabla ya muda Prof. ASSAD alitoa wapi?
 
Magufuli alishakufa.
Wafuasi wake wamebakia kuvutana tu. Wapo walioamua kuachana na akili za marehemu ili waishi kwa akili zao (hawa ni wanafiki) na wapo wengine waliosema wataishi kwa akili za marehemu tu(hawa ni misukule)
Ni vita ya Wanafiki vs Misukule.

Muda utatoa picha nzuri.
Wewe jamaa wewe....natilia mkazo tu ulichoandika hapa....
 
Ni ukichaa kumtafutia ushindi marehemu, ni kupoteza muda .... na.ni upumbavu mana bora ujinga....Ivi ni kwamba hatosahaulika??

Mnajitangazia ushindi for what??? Unampinga na kumuandama for what?? HAYUPO tena na kashakufa.

Binadamu ni mavumbumbi....
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
Nina hasira nao hao mafisi zero brain kabisa nape, wenzake wote ila milango ya kaburi inawaita Mungu yupo na wao watazika mwenzao no late ngoja hii 40 ipite
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
Well said. Kila nilipokuwa naangalia wajumbe wa UN kutoka maeneo yote duniani wakitoa salaamu kwa TZ leo kuhusu msiba wa Rais Magufuli, nimeelewa kuwa marehemu ametuachia legacy itakayodumu daima
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
 
Watu ni wale wale wanao lazimisha magufuli apendwe , nyimbo zao ni zile zile kila uchwa ukiwachunguza utabaini hawa ni wakabila tena ni wasukuma na wafuasi wa usukuma wanao amini katika utawqla wa kitemi , ni wafuasi wa mtu na sio uzalendo katika nchi,ni wanufaika wa waliye muamini na aliye waaminisha kuwa sasa ni muda wao kula mema ya nchi na atakuwa mungu wao hapa tanzania lakini sasa wana haha maana izraeli hakupenda matendo ya huyo mtu wenu kinara wa ukabila na ubabe pamoja na dhulma na akamtwaa haraka tena kizembe kabisa,

Sasa waliachwa yaani watoto yatima wamebaki kyichukia serikali iliyopp kihalali kwa sababu ya kiwewe na hofu kwani wanajua aliyo yatenda mungu mtu wao wakishirikiana hayakuwa na mema na hawaijui kesho yao .
Umechanganyikiwa watu wale wale wapi? Unamaanisha UN.Magu alijibu hoja za wapingaji mapemaaaa kama vile alijua. Ndiyo maana wabarajatu wake mnapambana naye akiwa amelala usingizi wa milele. Chezea Jiwe weyeee
 
Yule kima Mwendazake hajaacha legacy yeyote zaidi ya kuharibu nchi yetu nzuri kiuchumi na mahusiano ya kimataifa. Legacy haigombewi, huonekana kweupe tu.

Tutamkumbuka kama murderer, dictator, mbaguzi wa kikabila na kidini, mwongo na mwizi
Kunya Pilton upunguze maumivu maana leo dunia imesimama kuomboleza. Huyo ndiyo JPM na bado mengi yanakuja subiri Vatican wanakuja na nyingine fungal kazi.Yaani mtateseka were Eee.
 
Watu ni wale wale wanao lazimisha magufuli apendwe , nyimbo zao ni zile zile kila uchwa ukiwachunguza utabaini hawa ni wakabila tena ni wasukuma na wafuasi wa usukuma wanao amini katika utawqla wa kitemi , ni wafuasi wa mtu na sio uzalendo katika nchi,ni wanufaika wa waliye muamini na aliye waaminisha kuwa sasa ni muda wao kula mema ya nchi na atakuwa mungu wao hapa tanzania lakini sasa wana haha maana izraeli hakupenda matendo ya huyo mtu wenu kinara wa ukabila na ubabe pamoja na dhulma na akamtwaa haraka tena kizembe kabisa,

Sasa waliachwa yaani watoto yatima wamebaki kyichukia serikali iliyopp kihalali kwa sababu ya kiwewe na hofu kwani wanajua aliyo yatenda mungu mtu wao wakishirikiana hayakuwa na mema na hawaijui kesho yao .
Wewe lazima utakuwa umepimwa covid19 kwa kipimo cha kichina
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
Sisi tumeshambulia kwa sana tu wakati bado yupo mzima
Na sasa ameshakuwa mfu, nawaunga mkono wale waliokuwa ndani ya serikali au nje, sababu yule mfu alikuwa ni coward anayetumia nguvu ya dola kuwatesa na kuwapoteza wanaomkosoa
Mfu alikuwa wa akili ya kike, hawezi kujibu hoja za kukosolewa bali ni kukamata na kuua na kuwatesa wakosoaji kwa kutumia vyombo vya dola.
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
Hana legasi yoyote. Mnapoteza muda na mapovu yenu. Msilazimishe legasi
 
Well, Rais wetu Mpendwa aliyetangulia peponi ameshambuliwa sana na wale jamaa...akiwa hai na hata ktk umauti wake kaburini, tofauti ni kwamba akiwa hai walimshambulia na kumfitini behind closed doors, alipofariki wakajitokeza Hadharani, shameless!

A thing ni kwamba walijua watafuta Legacy yake hata kabla ya 40 yake. Bad luck to them, wakakwamishwa Nguvu ya Umma wa Magufulists ambao Hawa ni karibu asilimia 90 ya Raia wote wa Taifa hili.

Magufulism,Magufulication, Magufulists, iwe jua,iwe mvua, always there.

Nguvu ya Umma wa Magufulism imeshinda hila za Shetani juu ya Watu wema.

Sasa leo jamaa wanahaha mmoja baada ya mwingine kujaribu kutumia platfom mbalimbali ikiwemo hata Bunge kujiosha baada ya kushtuka kuwa zoezi la kumchafua Magufuli Duniani ni gumu vibaya mno sawa tu na kuusubiria Mguu wa bandia uote vinyweleo.

It's too late, Mioyo yetu tayari inavuja damu ya uzalendo,Hasira za Magufulism zimemea, Baada ya kumpoteza Shujaa huyu hatuna cha kupoteza tena,nkwa Mtu Ambaye yupo inferior na hatia ya dhihaka na unafiki juu ya Shujaa wa Taifa hili JPM nadhani ikimpendeza nafasi za kwenda kwenye kaburi Chato kujitakasa na Dhambi ya usaliti na unafiki ipo wazi.

Baba Pumzika kwa Amani.
Mtahangaika sana lakini amekufa na hatumkumbuki.
 
Yule kima Mwendazake hajaacha legacy yeyote zaidi ya kuharibu nchi yetu nzuri kiuchumi na mahusiano ya kimataifa. Legacy haigombewi, huonekana kweupe tu.

Tutamkumbuka kama murderer, dictator, mbaguzi wa kikabila na kidini, mwongo na mwizi
Mkuu umeshapata chanjo ya corona?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wa kati upi ambao unashindwa kuongeza mishahara kwa miaka sita unashindwa kuongeza ajira nchini na badala yake wanawaambia graduates wajiajiri? Hebu acha kuandika ujinga!!!
Tena uchumi
Wa deficit budget
Pia hesabu za chanya na hasi haelewi?
Deni limepanda anasifia
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Un Ni mabeberu
Sasa kwa Nini wasifiwe
Tena wadhihakiwe?
Likipanda kuna tatizo gani kama linaenda kuongeza uchumi?
Je katika EAC sisi deni letu kwakulinganisha la nani ni kubwa? Msipotoshe umama wa watanzania...
 
Back
Top Bottom