Tumemwagana lakini amegeuka kero

Tumemwagana lakini amegeuka kero

Anakuenda ndio maana anakuwa hivo. Kama hupendi ugonvi, mblock tu maana hana maana yeyote kwako. Utajikuta siku moja unapata hasira ufanye kitu cha ajabu...achana nae
 
"anyone with a v.g.n and brain can rule the world"

kiufupi huna ubavu kwa huyo dada yaan ka ishi kadogo kiivo unakaleta hapa kwa ushauri???
 
wazoee hao viumbe wanaokwenda chooni kwa kuchuchumaa

Stay calm yana mwisho hayo

Mblock kila mahala kuanzia kwenye simu hadi akilini

Kumbe huwa unapupu umesimama mweh kama ng'ombe!!! Aibu naona hadi....
 
Kuna dada mmoja nilikuwa na mahusiano naye siku za nyuma,
Kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikaona mwenzangu tabia inabadilika,
Nikimuhoji anakuwa mkali kuliko kawaida, yaani kama mwanaume mpole unaweza kufyata.
Nikaona isiwe tabu, nikawa mpole tuu na hamsini zangu, sitaki kuzama kwenye penzi ambalo litakuja kunitesa.
Sasa ikafika hatua ya kuvunja rasmi uhusiano wetu, daah alikuwa ananirushia mipasho isiyo ya kawaida.
Sikutaka majibizano, katika kumi naweza kujibu moja tu, tena kwa maneno mefupi yenye hekima.

Sasa kila baada ya muda fulani lazima atupie sms au kwenye whatsapp mipasho kama ya pwani aisee,
Maneno ya mafumbo, ya kejeli mpaka basi. Sasa hebu nishaurini nifanyeje ili asinisumbue tena?
Au bado hajaridhika kuachana na mimi? Au anatafuta gia ya kurudi? Bahati mbaya sijafundishwa kudeka kwa mwanamke.

Mblock haraka sana kila mahali..whatsap ,call,facebook ..social network zako
 
Nawe kwa nn unapoteza muda kusoma maujumbe yake. Msg ikiingia futa usiisome hivyo hutajua ameandika nn
 
Binafsi I don't see the reason kuandikiana mipasho after mmeachana huko ni kukosa Wisdom na kukosa kazi ya kufanya.. Kama ni kweli anakutumia hiyo mipasho kwa what's app na Text messages why una entertaining block her every where .. Ila there are some men wanaboa kivipi? Huwa wanajistukia mwanammke akiweka status yake kwa simu yake basi huhisi kaekewa yeye.. Sitaki kwenda far but nimeyaona haya recently .. But simtetei huyo anayekutumia kwa simu yako direct ,huyo ana u childish ndani yake and she has nothing to do.. Block her everywhere uone kama hataumia yeye.. Never entertaining stupid things and childishness.. Thanks..
 
Kuna dada mmoja nilikuwa na mahusiano naye siku za nyuma,
Kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikaona mwenzangu tabia inabadilika,
Nikimuhoji anakuwa mkali kuliko kawaida, yaani kama mwanaume mpole unaweza kufyata.
Nikaona isiwe tabu, nikawa mpole tuu na hamsini zangu, sitaki kuzama kwenye penzi ambalo litakuja kunitesa.
Sasa ikafika hatua ya kuvunja rasmi uhusiano wetu, daah alikuwa ananirushia mipasho isiyo ya kawaida.
Sikutaka majibizano, katika kumi naweza kujibu moja tu, tena kwa maneno mefupi yenye hekima.

Sasa kila baada ya muda fulani lazima atupie sms au kwenye whatsapp mipasho kama ya pwani aisee,
Maneno ya mafumbo, ya kejeli mpaka basi. Sasa hebu nishaurini nifanyeje ili asinisumbue tena?
Au bado hajaridhika kuachana na mimi? Au anatafuta gia ya kurudi? Bahati mbaya sijafundishwa kudeka kwa mwanamke.

sio lynnfrida huyo?
 
mwanamke akipanda juu, we shuka chini mwisho wa siku atajishtukia kuwa anajidhalilisha.
 
Mkuu SIPIYU30, binadamu tunatofautiana kitabia. Kuna watu ambao wakiachana na wapenzi wao hupenda kutoa mipasho, wengine kejeli, wengine matusi wengine hudiriki hata kulipiza kisasi na kudiriki kuwadhuru wale ambao walikuwa wanawapenda.

Mimi nakushauri wewe ukae kimya jifanye kama huoni wala husikii atendayo, atahangaika weeeee... atakuchamba weeee... atakusema weeee... lakini kama hutojibu chochote mwisho wa siku atachoka kwa sababu atajiona mjinga na anajisumbua bure lakini ukijaribu kumjibu na utaanzisha vita ambayo hutaweza kuizima ambayo itakugharimu sehemu kubwa ya maisha yako na kukuchafulia jina lako maana mtu anapokuwa na hasira haoni shida hata kutoa siri za ndani ambazo hakupaswa kuzitoa kwa namna yoyote ile na bila shaka unafahamu kuwa mwanaume hawezi kubishana na mwanamke kwa sbabau mwanamke ana uwezo wa kuongea zaidi kuliko mwanaume. So kuwa makini mkuu, dont let your anger take control of your judgement.

Anaitwa nani
 
Last edited by a moderator:
Mimi hiyo hali ndiyo ninayo sasa ila nimenyamaza kimyaaaaaa
Tupo wengi kaka,mbaya zaid kwangu ninaambiwa kwake nilikuwa kama spare tyre mi nakaa kimya wala cmjibu,naitwa ninadharau nk ,, bado nasumbuliwa mpaka basi.
 
Tatizo ni kwamba watu wanajaribu kuachana huku bado wanapendana.

Kwanza simu zinaruhusu kublock mtu ambaye hutaki kuwasiliana naye na pili akizidi kusumbua unaenda polisi.

Hizi nazo ni kesi za kuleta MMU?

Mkuu naomba unelekeze jinsi yakum'block mtu asinipate kwa njia ya SMS na call.Natumia HUAWEI
 
Kuna dada mmoja nilikuwa na mahusiano naye siku za nyuma,
Kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikaona mwenzangu tabia inabadilika,
Nikimuhoji anakuwa mkali kuliko kawaida, yaani kama mwanaume mpole unaweza kufyata.
Nikaona isiwe tabu, nikawa mpole tuu na hamsini zangu, sitaki kuzama kwenye penzi ambalo litakuja kunitesa.
Sasa ikafika hatua ya kuvunja rasmi uhusiano wetu, daah alikuwa ananirushia mipasho isiyo ya kawaida.
Sikutaka majibizano, katika kumi naweza kujibu moja tu, tena kwa maneno mefupi yenye hekima.

Sasa kila baada ya muda fulani lazima atupie sms au kwenye whatsapp mipasho kama ya pwani aisee,
Maneno ya mafumbo, ya kejeli mpaka basi. Sasa hebu nishaurini nifanyeje ili asinisumbue tena?
Au bado hajaridhika kuachana na mimi? Au anatafuta gia ya kurudi? Bahati mbaya sijafundishwa kudeka kwa mwanamke.

block her
 
Mkuu naomba unelekeze jinsi yakum'block mtu asinipate kwa njia ya SMS na call.Natumia HUAWEI

Hebu ongea na vijana wa mitandao. Sina uzoefu na hiyo simu. Ila najua simu nyingi zina hiyo function
 
Kuna dada mmoja nilikuwa na mahusiano naye siku za nyuma,
Kadiri siku zilivyokuwa zinaenda nikaona mwenzangu tabia inabadilika,
Nikimuhoji anakuwa mkali kuliko kawaida, yaani kama mwanaume mpole unaweza kufyata.
Nikaona isiwe tabu, nikawa mpole tuu na hamsini zangu, sitaki kuzama kwenye penzi ambalo litakuja kunitesa.
Sasa ikafika hatua ya kuvunja rasmi uhusiano wetu, daah alikuwa ananirushia mipasho isiyo ya kawaida.
Sikutaka majibizano, katika kumi naweza kujibu moja tu, tena kwa maneno mefupi yenye hekima.

Sasa kila baada ya muda fulani lazima atupie sms au kwenye whatsapp mipasho kama ya pwani aisee,
Maneno ya mafumbo, ya kejeli mpaka basi. Sasa hebu nishaurini nifanyeje ili asinisumbue tena?
Au bado hajaridhika kuachana na mimi? Au anatafuta gia ya kurudi? Bahati mbaya sijafundishwa kudeka kwa mwanamke.
fanya kama humwoni.usimjibu tulia tuliii.utapata majibu.anataka kujirejesha
 
Tatizo ni kwamba watu wanajaribu kuachana huku bado wanapendana.

Kwanza simu zinaruhusu kublock mtu ambaye hutaki kuwasiliana naye na pili akizidi kusumbua unaenda polisi.

Hizi nazo ni kesi za kuleta MMU?

hivi si amesema anajiandikia status whatsup? kwa nini ajishuku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom