Uchaguzi 2020 Tumekwisha kuona rangi zake. Je, anastahili miaka mitano mingine tena?

Sahau kuhusu Tanzania, hayo majaribio fanyianeni huko huko ufipa
Hahahahhah umepanic hahahaha...... Poleni sana mchezo huu hauna asila. Hatakama ni ukweli vumilia ili usemwe kisha chutama kwa kukili umekosea kutuleta mtu huyu.
 
Uongozi haujaribiwi. Kuipa nafasi saccos, ni kujirudisha nyuma miaka 50.
CCM ingekuwa imetoka madarakani mapema tungekuwa mbali sana,kuendelea kuongozwa na CCM tumesimama kimaendeleo ambapo tungetakiwa tuwe miaka 50 mbele huko!Yaani maendeleo tutakayokuwa nayo 2070 ni maendeleo ambayo tulipaswa kuwa nayo leo!CCM ni dimbwi la umasikini kwa watanzania!Wote wezi tu na wanaiba kila mmoja kwa stye yake!
 
Mm kwakweli nimeshangaa tumeambiwa kuwa uongozi haujaribiwi sasa mbona wote tumbua tumbua ilifanyika maana yake nini ?kamawalikuwa wanateuliwa walikuwa nauhakika nao hawakuwa wanajaribu kutumbua kulitoka wapi?
 
Kumchagua tena huyu mtu ni
Kuweka vijana wa kitanzania katika wakati mgumu sana kiuchumi na kimaisha.

Tena anataka kubadili katiba kuwa Rais siiye na kikomo cha utawala.

i.Anaisigina katiba atakavyo
ii. Watu wanapita bila kupingwa.
iii.wapinzani wanakatwa hovyo kwenye chaguzi.
iv. Kununua wapinzani.
V.kuteka kubambkia kesi wapinzani kuwafunga kuwadhurumu mali na vitisho rukuki.

JIWE OUT
EiEdZUPXgAA4cBg.jpg
 
Hata kumi anastahili mitano kitu gani ... wabongo ni mapopoyo wavivu sana wanapenda wakae zao baa ata asubuhi ya j3 wapinge mbege, wacha Pombe awanyooshe watu wavivu wa kufikiri wanaowaza starehe tu.
 
Lugha nzuri yenye kuja hofu,kiukweli mnapenda kuitumia ili kuwatia hofu watanzania. Lakini kwa sasa tunahitaji chama mbadala wa CCM ili kuiondolea ile hali ya umungu mtu ccm na viongozi wake.
Chadema hata kujiongoza wenyewe imekuwa shida
Chama kinapokea ruzuku kila mwezi m 300!
Siyo kujenga ofisi tu, hata mabango ya mgombea wao wa urais wameshindwa!
Lisa, chama hakina pesa
 
Hata kumi anastahili mitano kitu gani ... wabongo ni mapopoyo wavivu sana wanapenda wakae zao baa ata asubuhi ya j3 wapinge mbege, wacha Pombe awanyooshe watu wavivu wa kufikiri wanaowaza starehe tu.
Unakosea,mh amekwisha poteza haki ya kuongoza tena. Ameonesha kupwaya kwenye nafasi aliyopewa. Kunahaja ya kubadilisha mwingine ambaye ni Tundu A. Lissu
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
Ni wakati wa kuipumzisha ccm.
 
Chadema hata kujiongoza wenyewe imekuwa shida
Chama kinapokea ruzuku kila mwezi m 300!
Siyo kujenga ofisi tu, hata mabango ya mgombea wao wa urais wameshindwa!
Lisa, chama hakina pesa
Tena inajitahidi sana,tunapaswa kuwapongeza. Ruzuku wanayopokea ni kiasi kidogo sana tukilinganisha na kazi kubwa ya kuwatoa matongotongo mtu kama wewe,pia ukilinganisha na ujenzi mkubwa wa taasisi yenyewe kuifanya kuwa imara. Hongereni sana CHADEMA kwa kazi kubwa mnayoifanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom