Uchaguzi 2020 Tumekwisha kuona rangi zake. Je, anastahili miaka mitano mingine tena?

Upinzani ulisha kufa tangu 2015, Hatuna mpango wa kuifanya nchi shamba la bibi Kama ilivyokua fedha za Ruzuku za wabunge wa Chadema.
Upinzani bado upo tena imara sana kwa kila mwaka uchaguzi. Pia angalia kila mwaka wa uchaguzi wabunge wa upinzani wanaongezeka pamoja na nguvu kubwa serikali inayofanya kwa kuleta hila za uchaguzi.

Lakini kwa mwaka huu imetosha,upinzani(CHADEMA) lazima watashinda kwa upande wa bara na upande wa visiwani lazima CCM ikabidhi kwa Seif.
 
Hafai kabisa kiongozi gani unatawala watu wanalia inamaana utawala wako ni mateso na mzigo mzito kwao KIUKWELI hafai kabisa
 
Kw
Kiukweli tukimpa hii mingine tutakuwa tumepotea. Atazidi kuwa dictator zaidi, pia wale wote tunaompinga na kumkosoa tutakula ban ama kupotezwa. Kama ilivyo tokea kwa ben saanane na wengine.

Mungu ibariki Tanzania na Watanzania ili tarehe 28/10 wasirudie makosa.
Kwanza atakwenda kubadilisha katiba, kama watu hawaamini wampe tena Jpm Huo urais,
 
Kabla ya kuwapa nchi Chadema ili kujaribu,turejee kwanza ndani ya Chama chao,ofisi ya makao makuu ya chama chao yapoje,wao wenyewe viongozi wanatamaa ya kiasi gani mpaka wananunulika kirahisi,michango ya pesa za wabunge na ruzuku ya chama Mbowe kazisimamiaje n.k.
 
Kabla ya kuwapa nchi Chadema ili kujaribu,turejee kwanza ndani ya Chama chao,ofisi ya makao makuu ya chama chao yapoje,wao wenyewe viongozi wanatamaa ya kiasi gani mpaka wananunulika kirahisi,michango ya pesa za wabunge na ruzuku ya chama Mbowe kazisimamiaje n.k.
Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko.

Tundu Lissu anaendelea KUSEMA Watanzania wamepoteza maisha yao na kazi zao:kutokana na rais ambaye hasemeleki hataki kukosolewa, analaumu wengine, anakataa ushirikiano na mpenda chuki.
 
Kabla ya kuwapa nchi Chadema ili kujaribu,turejee kwanza ndani ya Chama chao,ofisi ya makao makuu ya chama chao yapoje,wao wenyewe viongozi wanatamaa ya kiasi gani mpaka wananunulika kirahisi,michango ya pesa za wabunge na ruzuku ya chama Mbowe kazisimamiaje n.k.
Hizi ni porojo tu,unataka pesa za ruzuku zitumike kujenga majengo bada ya kutoa elimu kwa watu kama wewe. Mbona mmekazania pesa ya ruzuku kama vile hakuna hoja za maana kwa masilai ya taifa.
Kwani ccm inapokea ruzuku kiasi gani na je,imefanya nini zaidi ya kutumia hizo ruzuku kuwahada wananchi!
 
Binafsi kwangu inamtosha, tuwape wengine tuone. Sisi sote ni wamoja tuwape CHADEMA nao tuone.


Kuna watu wachache wanasema uongozi haujaribiwi! Miaka yote uwa tunawateuwa viongozi wetu kwa kuwa jaribu katika nafasi zao wanazotuomba tuwape kura.

Ndani ya vipindi vyao vya uongozi ndipo tunakuja kugundua ya kuwa awafit. Mfano mzuri kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa mtukufu wetu.
Yeye ameshindwa kuongoza kwa kushindwa kutambua na kutofautisha kati ya uongozi na utendaji.
Uongozi Umekuwa kama udereva lazima wakutest kisha upatiwe leseni ya kuweza kuendesha abiri.
Dicteta uchwara
 
Hizi ni porojo tu,unataka pesa za ruzuku zitumike kujenga majengo bada ya kutoa elimu kwa watu kama wewe. Mbona mmekazania pesa ya ruzuku kama vile hakuna hoja za maana kwa masilai ya taifa.
Kwani ccm inapokea ruzuku kiasi gani na je,imefanya nini zaidi ya kutumia hizo ruzuku kuwahada wananchi!
Kwahiyo kuwakukumbusha Chadema chama kinachotaka kuchukua serikali wawe na ofisi makao makuu ya kueleweka ni porojo?
Kuhoji jinsi Mbowe anavyofuja fedha za Chadema ni porojo?
Kuhoji kwanini viongozi wa Chadema kama Mnyika na wengine ni wepesi kununulika na wanalala Chadema wanakula CCM ni kosa?
 
Binafsi kwangu inamtosha, tuwape wengine tuone. Sisi sote ni wamoja tuwape CHADEMA nao tuone.


Kuna watu wachache wanasema uongozi haujaribiwi! Miaka yote uwa tunawateuwa viongozi wetu kwa kuwa jaribu katika nafasi zao wanazotuomba tuwape kura.

Ndani ya vipindi vyao vya uongozi ndipo tunakuja kugundua ya kuwa awafit. Mfano mzuri kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa mtukufu wetu.
Yeye ameshindwa kuongoza kwa kushindwa kutambua na kutofautisha kati ya uongozi na utendaji.
Uongozi Umekuwa kama udereva lazima wakutest kisha upatiwe leseni ya kuweza kuendesha abiri.
Yaani shillingi uicheze chooni kwa kuwapa saccos??
 
Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko.

Tundu Lissu anaendelea KUSEMA Watanzania wamepoteza maisha yao na kazi zao:kutokana na rais ambaye hasemeleki hataki kukosolewa, analaumu wengine, anakataa ushirikiano na mpenda chuki.
Kama unavyeti feki uachwe tu kazini,eti kwasababu ukitumbuliwa Lissu ataongea kwa huzuni?
 
Binafsi kwangu inamtosha, tuwape wengine tuone. Sisi sote ni wamoja tuwape CHADEMA nao tuone.


Kuna watu wachache wanasema uongozi haujaribiwi! Miaka yote uwa tunawateuwa viongozi wetu kwa kuwa jaribu katika nafasi zao wanazotuomba tuwape kura.

Ndani ya vipindi vyao vya uongozi ndipo tunakuja kugundua ya kuwa awafit. Mfano mzuri kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa mtukufu wetu.
Yeye ameshindwa kuongoza kwa kushindwa kutambua na kutofautisha kati ya uongozi na utendaji.
Uongozi Umekuwa kama udereva lazima wakutest kisha upatiwe leseni ya kuweza kuendesha abiri.
Ni mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya konddooo. Watanzania tusiingie kwenye mkenge tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom