kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Poleni sana mkuu.
Mungu atawavusha salama.
Mungu atawavusha salama.
Wewe nae licha ya kuwa na kichwa kikubwa akili ni tatizo, mwenzako anataka ulinzi kutokana na kuwepo genge la watekaji wewe unazungumzia mvua .Watanzania kwa kulalamika!
Unataka msaada wa mvua kunyamazishwa ili upiite haraka au unataka msaada wa kulindwa ukiwa porini?
good observationKabla hujapost ha JF je umewapigia wahusika wa masuala ya usalama kuwajulisha dharura mliyonayo? Maana isije ikawa unasema tu hampati msaada wakati kutoa taarifa hujatoa.
tunashukuru tulipata msaada walikuja askari wenye silaha kama kumi kuimarisha usalamafalcon mombasa uliwahi kutoa angalizo kuhusu hatari ya kusafiri usiku, vipi tena wewe mwenyewe unasafiri usiku?
hongera kwa uzoefu ulionaoIkiendelea hivi itabidi muanze kua mkisafiri usiku mnatembea na vikopo vya babycare/vilainishi tayari kwa lolote litakalowatokea from watu wasiojilikana.
Polen sana mkuu.
Mkuu ukiwa na siraha unatekwa tuu kinachozingatiwa hapo ni timing hasa...Majambazi yanateka kituo chenye siraha na Askari wapo sembuse bara barani...mnabastola mnatekwaje,?
kwanini usiende kutoa msaada kwa waliotekwa ilihali unachokitendea kazi?
Hujaona kuna paragraph kaandika kuna watu wametekwa?Wewe una shida watu wamekwama kutokana mvua kubwa inayonyesha
Ikiendelea hivi itabidi muanze kua mkisafiri usiku mnatembea na vikopo vya babycare/vilainishi tayari kwa lolote litakalowatokea from watu wasiojilikana.
Polen sana mkuu.
Aliemwambia asafiri usiku wa manane nani?Wewe nae licha ya kuwa na kichwa kikubwa akili ni tatizo, mwenzako anataka ulinzi kutokana na kuwepo genge la watekaji wewe unazungumzia mvua .
Si uwaambie wewe mwenye mamlakaWaambieni hao wahalifu waache kuwasumbua nyie wapiga kura wangu.
Mtataja tu,enhe bange saa ngapi inasafirishwawewe ndo hujui mirungi inasafirishwaga asubui kabisa maana ikilala huwa hainaga ladha kwahio asubui inachukuliwa na kusafirishwa jioni inaliwa kama kawa
mbona hujazungumza kisomi kabisa, jaribu kushirikisha ubongo wako japo kiduchu tu