Dhibitisha au itakuwa uzushi usio na mashiko. Kwa mtu anayejali kupangilia muda wake wa uzalishaji, kusafiri usiku ndo muda bora zaidi wa kusafiri ili akifika anakoenda aanza kufanya shughuli zake mara moja. Napenda kuihimiza serikali iruhusu magari kusafiri usiku ili kuokoa nguvukazi inayopotea kwa watu kusafiri mchana, kutilia maanani udhibiti wa spidi ya mabasi uliopo sasa hivi. Piga hesabu idadi ya mabasi yanayosafiri safari kwa siku Tanzania nzima, zidisha na abiria kwa kila basi. Kuweka sheria ya kusafiri mchana tu ni kukubali kushindwa na majambazi wachache wanaoteka magari, na ni aibu kwa nchi.Aliemwambia asafiri usiku wa manane nani?
Unapoamua kusafiri usiku wa manane lazima uwe na tahadhari,halafu asilimia 80 ya wanaopenda kusafiri usiku ni wafanya biashara ya magendo na mihadharati kwa kua wakti huo polisi sio wengi
Alafu hao sio wahalifu ni wananchi tu wametaka kuusimamisha msafara wenu na kuwapongeza.Si uwaambie wewe mwenye mamlaka
Mkuu, nikumbushe ni lini hili tangazo la "kusafiri usiku ni hatari" lilitoka lini!?Ila watanzania kwa kulalamika hatujambo. Mshaambiwa usafiri wa usiku ni hatari bado mnalazimisha kusafiri kisingizio mbona kenya wanasafiri usiku. Hizo mamlaka husika nao ni binadamu,kama bara bara haipitiki watapita wapi kuja kuwapa msaada?
Kwa ufupi ni kwamba halipo tamko la namna hiyo, wewe tu na mawazo yako ndio unataka kua TAMKO ambalo halikuwahi kutolewa.Nikukumbushe wewe kama nani. Jiongeze
Kwa ufupi ni kwamba halipo tamko la namna hiyo, wewe tu na mawazo yako ndio unataka kua TAMKO ambalo halikuwahi kutolewa.
Kujilinda ni jukumu la kila raiaHabari za usiku
Wanajf wenye mamlaka husika ya barabara ya kuanzia korogwe hadi arusha usiku huu mvua ni kubwa barabara sehem nyingi hazipitiki mimi nimekwama hapa karibia na hedaru tumeambiwa mbele barabara imeziba shauri ya maji kupita juu lakini mbaya zaidi tunaambiwa hapo mbele yetu maeneo ya mgagao gari nyingi zimetekwa huku mvua kubwa inaendelea kupiga eneo hili hadi sasa saa 9 kamili usiku huu hapa porini. la kusikitisha kuliko yote hadi sasa a hatujaona mamlaka yoyote inayohusika na dharula hizi ikipita kutoa msaada wa aina yeyote raia tumebaki kama vifaranga japokuwa ziko gari zaidi ya 160. tumeamua kujilinda na bastola zetu tunazozimiliki kihalali kama mkombozi pekee aliyebakia View attachment 734778
Ukisoma uzi huo hasa hiyo barua ya huyo mkuu wa police anazungumzia zaidi mabasi na sio private cars and again issue ya hilo katazo sio suala la security, ni suala la uvunjaji wa sharia wa madereva hasa speed kwenye maeneo yanayo katazwa; mleta uzi kazungumzia usafiri wake but again, huonagi malori hiyo mida ya usiku ndio mida yao!? Makampuni baadhi yameweka utaratibu wao wa kusafiri mida ya mchana tu, wao wameenda mbali zaidi kwamba mida ya jua kuzama tu, then park lori lao hapo hapo (eneo ambalo walau ni makazi ya watu ) na dereva alale hapo, again issue sio security, issue ni safety but again kwao sio kwasababu ya katazo la kisheria buli ni utaratibu wao kama ownersTamko la mleta mada mwenyewe
Ninaposemaga Tanzania bara si salama kusafiri usiku huwa mnanipinga, sasa mmeamini
Katazo la mkoa wa shinyanga
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limetangaza kuzuia mabasi ya abiria kutofanya safari baada ya saa 5 usiku
Mwenye akili lazima ajiongeze