Tumekuwa na kasumba ya kuteua Mchumi kuwa Waziri wa Fedha wakati tunao Wabobezi wa Finance kibao akina Prof Assad nk!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,116
Siyo kila Mchumi anaweza kuwa Waziri wa Fedha na kiukweli katika Dunia ya sasa Wachumi hawapaswi kuwa Mawaziri wa Fedha

Moja ya Kazi za Waziri wa Fedha ni kusimamia Sera za kitaaluma Ili kuzuia Wizi wa Fedha za kodi ya Wananchi na zile za mikopo na michango ya wahisani

Hili jukumu Wachumi limewashinda ndio mbunge Mmoja akasema Wizi wa Fedha serikalini haujapungua ila Wezi wamebadili mbinu za Wizi na inashindikana kuwakamata

Kwa vile sasa Taifa lina Wabobezi wa Sayansi ya Fedha wa kutosha na hata bungeni wamo basi
tusisite kuwatumia

Ni hilo tu

Mpira ni burudani 😂😂
 
Mwigule anakuuliza
 

Attachments

  • IMG-20231105-WA0008.jpg
    IMG-20231105-WA0008.jpg
    24.5 KB · Views: 1
Mkuu ,

Kama nchi haipaswi kutegemea eti mtu asome sijui nini awe waziri ndio atafanya kazi vizuri. Kinachotakiwa ni kuwa na Mifumo bora na thabit ya kuendesha nchi na wizara mbalimbali. Nchi ikiwa na Mifumo mizuri inayojisimamia yenyewe kwa uwazi kabisa. Basi unaweza kumuweka mtu yoyote tu akawa kiongozi na mambo yakaenda.

Sasa sisi tunakaa tunategemea maajabu yaletwe na mtu mmoja , Hivi tupo serious kweli?? Binafai huwa naona wanaomuandama waziri wa fedha ni kama Mnamuonea tu au labda mnamuonea wivu au mna maslahi yenu binafsi. Ila mimi siwezi kumlaumu hata siku moja , bali mimi ni muumini wa kuwa na mifumo imara
 
Prof Asssad amechoka we need a new blood ingawaje ninakubaliana ns wanaoshabikia uwepo wa mifumo mipya. Mkapa na Magifuri walicheza na mifumo sana tulishuhudia TRA,Cash Budget, Strateic Plan, Control Numbers,Pos etc. teknolojia inabadilika haraka sana na wezi wanabuni mbinu mpya. Tuboreshe mifumo kila mwaka iemdane na vhangamoto za sasa
 
Siyo kila Mchumi anaweza kuwa Waziri wa Fedha na kiukweli katika Dunia ya sasa Wachumi hawapaswi kuwa Mawaziri wa Fedha

Moja ya Kazi za Waziri wa Fedha ni kusimamia Sera za kitaaluma Ili kuzuia Wizi wa Fedha za kodi ya Wananchi na zile za mikopo na michango ya wahisani

Hili jukumu Wachumi limewashinda ndio mbunge Mmoja akasema Wizi wa Fedha serikalini haujapungua ila Wezi wamebadili mbinu za Wizi na inashindikana kuwakamata

Kwa vile sasa Taifa lina Wabobezi wa Sayansi ya Fedha wa kutosha na hata bungeni wamo basi
tusisite kuwatumia

Ni hilo tu

Mpira ni burudani 😂😂
Wabobezi wa uchumi kama akina Prof. Lipumba tunashindwa kuwatumia.
 
Bahati mbaya Assad sheria hairuhusu tena kurudi huko ulipo shauri, labda ibadilishwe kwa hati ya dharura.

Mnapinga wapinzani, lakn wangekuwepo bungeni madudu mengi yangeanikwa, pengine na hatua zingeshachukuliwa.

Mumlinde Mpina tu, maana hamkawii kumwita mpinzani
Wewe unnamuona Assad tu,wapo zaidi ya huyo wa IMANI yako
 
Wewe unnamuona Assad tu,wapo zaidi ya huyo wa IMANI yako

Assad amenyooka kama rula ispokuwa kwny ishu ya bandari tu, ndio sikumwelewa, maana wadau walikuwa wanapinga contents za mkataba ila yy akatetea kwa kusema Ubora wa ubinafsishwaji ambo still ulikuwa ukituliwa shaka.

Kwann unasema wa dini yangu?
Awe wa dini yangu au siyo imani yake mm hainifutii dhambi zangu
 
Wizara ya fedha ndio wizara ambayo imeongozwa na wataalam wa taaluma hizi ni either economics, finance, statistics, accounting, au bussines admini.
°Prof Malima Economics
°Jakaya kikwete Economics
°Omary Yusuf Mzee (alikuwa naibu waziri fedha kutoka z'bar)- Statistics ambayo kimsingi ni economics tu.
°- Saada mikuya -bussinnes administration.
°Juma Ngasongwa huyu alikuwa waziri wa mipango uchumi na uwezeshaji, ni Mchumi
°Mustafa Mkulo Alikuwa waziri wa fedha, huyu ni CPA T, na ACCA
 
Siyo kila Mchumi anaweza kuwa Waziri wa Fedha na kiukweli katika Dunia ya sasa Wachumi hawapaswi kuwa Mawaziri wa Fedha

Moja ya Kazi za Waziri wa Fedha ni kusimamia Sera za kitaaluma Ili kuzuia Wizi wa Fedha za kodi ya Wananchi na zile za mikopo na michango ya wahisani

Hili jukumu Wachumi limewashinda ndio mbunge Mmoja akasema Wizi wa Fedha serikalini haujapungua ila Wezi wamebadili mbinu za Wizi na inashindikana kuwakamata

Kwa vile sasa Taifa lina Wabobezi wa Sayansi ya Fedha wa kutosha na hata bungeni wamo basi
tusisite kuwatumia

Ni hilo tu

Mpira ni burudani
Kuna mtu wewe unampigia debe siyo bure. Waziri anazungukwa na wataam wengi wabobezi. Je, Ummy Mwalimu ameshidwa kutekeleza majukumu yake kama waziri wa afya kwasababu yeye siyo daktari? Ni mchumi yupi asiyejua sera za kifedha na uchumi? Ungeshauri huyo Prof. Asad awe katibu mkuu wa wizara kama ni swala la taalum ningekuelewa, au kama ungeliongelea uadilifu sawa, lakini kama ni mambo ya taaluma, Mwigulu taaluma yake inatosha kabisa, na kama ameshidwa asisingizie taaluma yake ya uchumi.

Kuwa kiongozi hasa wa kisiasa mara nyingi hakuitaji taalum ya sector husika, Ni bahati mbaya tu hizi title za Dr, Prof nk kushika madaraka ya juu kisiasa badala ya nafasi za utendaji ilipamba mto kipindi cha jpm. Je, kuna tija yoyote iliongezeka kuliko awali? Jibu ni hapana.
 
Bahati mbaya Assad sheria hairuhusu tena kurudi huko ulipo shauri, labda ibadilishwe kwa hati ya dharura.

Mnapinga wapinzani, lakn wangekuwepo bungeni madudu mengi yangeanikwa, pengine na hatua zingeshachukuliwa.

Mumlinde Mpina tu, maana hamkawii kumwita mpinzani
Sheria haziruhusu awe mbunge na hatimaye Waziri?
 
Back
Top Bottom