- Thread starter
- #201
Asante sana mkuuKila la kheri mkuu.
Asante sana mkuuKila la kheri mkuu.
Nilimuuliza kitu hicho akasema huwa anampiga fix wazazi wake kila mara wanamtumia pocket money anakusanyaSasa Mr huyu kijana kapata bint wa 17yrs na yuko chuo. Na ukingalia kwa undani huyu bint n mdogo, yupo chini ya wazaz. Sasa huu uwezo anautoa wapi?
Angekua mwanamke ndo anatakiwa na mwanaume huko ni sawa tyuuh.
Nampenda ndoo maana nawaza niende alipo kumuona ili tuyajengeWewe huyo dem umempenda au sababu ni mzungu tu? Nijibu nijue tunafanyaje
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Mkuu kumbe na wewe huwa ni mkorofi... 😀Mbona bati nyingi mkuu? Unataka kuezeka?
Fanya hivyo mkuu, au niunganishe na shangazi yake afu twende wote likitokea la kutokea tunasaidiana.Hii noma sasa
Biashara ya kuuza viungo vya binadamu haipo huko Malta?
Ha haa,kidogo tuMkuu kumbe na wewe huwa ni mkorofi... 😀
Haya ndo matokeo ya kuweka hadharani privacy zako za mahaba.Mnanitisha jamani
Yaan mie ni full kufurahi tyuuh,Hahah hivi kwa nini wapenda cheka sana?
Aanze kula vyakula vya kusafisha mwili kama vile bamia, majani ya kunde na kadhalika.
Donnor anapaswa kuheshimishwa
Mmmmmh kuwa makini wee kijana, dunia sio sehemu salama saiv.Nilimuuliza kitu hicho akasema huwa anampiga fix wazazi wake kila mara wanamtumia pocket money anakusanya