Tumekubali kuishi na mchawi ndani?

Tumekubali kuishi na mchawi ndani?

Kanali_

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2018
Posts
7,504
Reaction score
11,737
Hakuna aliye salama. Kama mzazi wako ni mchawi, usicheke sana unapoona anamaliza majirani. Watakapokwisha ataanza na wewe.
 

Attachments

  • Screenshot_20251008_122113_Instagram.jpg
    Screenshot_20251008_122113_Instagram.jpg
    30.6 KB · Views: 9
Upo sahihi hata polepole sina hakika kama alifikiri kuna siku kisu kitamgeukia.
Kabisa, naamini hata yeye enzi zile ungemwambia kuna siku atanyweshwa kikombe alichokuwa anawanywesha wengine asingekuelewa. Hili liwe somo kwa walio mamlakani hivi sasa, Shetani hana urafiki wa kudumu, wacheze kwa step
 
Nipo na tafakari nzito sana hapa, tangu nimeanza kuwaponda na kuwasagasaga hawa wavaa majani ndoto mbaya za majinamizi hazikati usiku, naona kunakitu tunatafutana siyo bule, wiki ijayo ninasafari kwenda Congo heshima lazima iwepo kwa vyovyote vile.
 
Nipo na tafakari nzito sana hapa, tangu nimeanza kuwaponda na kuwasagasaga hawa wavaa majani ndoto mbaya za majinamizi hazikati usiku, naona kunakitu tunatafutana siyo bule, wiki ijayo ninasafari kwenda Congo heshima lazima iwepo kwa vyovyote vile.
Kila lakheri mkuu hakikisha unasafisha hadi sisimizi kwenye kaya zao
 
Back
Top Bottom