The Good
Senior Member
- May 26, 2010
- 185
- 119
Wakuu,
Pilikapilika za uchaguzi zipo kwenye kilele. CCM na CHADEMA wanakabana koo huku CUF wakichukua kasi. Kila mmoja ana matumaini ya ushindi kwa chama chake.. Lakini tusisahau ni mmoja tu atashinda (hasa tukizungumzia nafasi ya urais).
Sasa swali, Je kweli watu wamejiandaa kupokea matokeo? Kama tayari Mola ashukuriwe lakini kama bado na hasa ya kushindwa naona tatizo mbele.
Matayarisho ya kisaikolojia ni muhimu na wana JF tunapaswa kuongoza hili. Tujiulize,
Je tupo tayari kupokea matokeo ya kushindwa kwa Wagombea/Mgombea wetu?
Pilikapilika za uchaguzi zipo kwenye kilele. CCM na CHADEMA wanakabana koo huku CUF wakichukua kasi. Kila mmoja ana matumaini ya ushindi kwa chama chake.. Lakini tusisahau ni mmoja tu atashinda (hasa tukizungumzia nafasi ya urais).
Sasa swali, Je kweli watu wamejiandaa kupokea matokeo? Kama tayari Mola ashukuriwe lakini kama bado na hasa ya kushindwa naona tatizo mbele.
Matayarisho ya kisaikolojia ni muhimu na wana JF tunapaswa kuongoza hili. Tujiulize,
Je tupo tayari kupokea matokeo ya kushindwa kwa Wagombea/Mgombea wetu?