Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,417
Kwahiyo ndo unaenda kumuona kwa mara ya kwanza? Nakushauri nenda sehemu ilojificha huwezi jua utakutana na nini
Daah mbinu yangu hii! Haijawahi kuniangusha
Kwahiyo ndo unaenda kumuona kwa mara ya kwanza? Nakushauri nenda sehemu ilojificha huwezi jua utakutana na nini
Kwa wakazi wa mkoa wa Daresalama, Ni sehemu gani tulivu naweza kumpeleka huyu mtoto mzuri ambaye nina ndoto za kuja kumuoa awe mama watoto wangu nyumbani. Kesho tumepanga kuonana nae RASMI kwa ajili ya mazungumzo ya awali kabisa ya urafiki wetu, sasa najifikiria nimpeleke sehemu gani ambayo ni nzuri kwa mazingira na utulivu mkubwa ambapo tutaweza kuwa huru kuzungumza mambo yetu safi kabisa na kupata chakula na vinywaji kwa bei ya kawaida tu. Ninakumbushia tu kwamba iwe sehemu nzuri ya kuvutia na gharama za mkutano wetu ziwe za kawaida.
Nawasilisha wadau..
Daah mbinu yangu hii! Haijawahi kuniangusha
Teh Teh......Mi kwakweli hii hapana nshawahi kukutana na mtu kidogo nikimbie no please ni zaidi ya kibwengo
Mkuu hawa nandoz wapo maeneo gani hapa dar
hupawezi. Soda elf10, juice elf5. Kiingilio elf50. Minimum andaa lak2.
Hahahaaaa! Naanzaje kumfuata bila tija? Mie nipo tu huku namtumbo nimejichachiaaa hata vocha ya bando sina, mchango tafadhali muokoe jahazi, hebu niitie my kaka mito maana hali ni tete, hapa natumia simu ya mwenyekiti wa kijiji.
Sitaki kuamini my kaka!! Kweli tumefikia huko!!
Kwa mama muuza mihogo ndo mpango...unamuomba mkeka mnatulia nyuma ya nyumba...mnakaa kwenye mkeka, mto tofali....burudaaaaaaaani kabisa!!
Kwa wakazi wa mkoa wa Daresalama, Ni sehemu gani tulivu naweza kumpeleka huyu mtoto mzuri ambaye nina ndoto za kuja kumuoa awe mama watoto wangu nyumbani. Kesho tumepanga kuonana nae RASMI kwa ajili ya mazungumzo ya awali kabisa ya urafiki wetu, sasa najifikiria nimpeleke sehemu gani ambayo ni nzuri kwa mazingira na utulivu mkubwa ambapo tutaweza kuwa huru kuzungumza mambo yetu safi kabisa na kupata chakula na vinywaji kwa bei ya kawaida tu. Ninakumbushia tu kwamba iwe sehemu nzuri ya kuvutia na gharama za mkutano wetu ziwe za kawaida.
Nawasilisha wadau..
Nirushie namba yako ya tigo dada yangu, nikutoe fasta
Why uangaike na mimi nipo sista?
Hapo nilikosea tu kuandika hivyo sista, ni typing error nisamehe bure
Khaaaah hii typing error yako kiboko, kweli nimeinyooshea kidole.
Kwa wakazi wa mkoa wa Daresalama, Ni sehemu gani tulivu naweza kumpeleka huyu mtoto mzuri ambaye nina ndoto za kuja kumuoa awe mama watoto wangu nyumbani. Kesho tumepanga kuonana nae RASMI kwa ajili ya mazungumzo ya awali kabisa ya urafiki wetu, sasa najifikiria nimpeleke sehemu gani ambayo ni nzuri kwa mazingira na utulivu mkubwa ambapo tutaweza kuwa huru kuzungumza mambo yetu safi kabisa na kupata chakula na vinywaji kwa bei ya kawaida tu. Ninakumbushia tu kwamba iwe sehemu nzuri ya kuvutia na gharama za mkutano wetu ziwe za kawaida.
Nawasilisha wadau..
Nitawasalimia hadi mkome(if ikitokea) ila hela sahauni kabisaaa, na posho ikiondolewa basi siongei chochote bungeni nitakuwa nasubiri mshahara tu, full kupiga mbonji.