mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Mmh hana kupokea advance yule, Shurti utume fungu zima
Hahahah yule posho ikikatwa tu ataandamana Peke ake tena kwa kichura chura kwa jinsi alivyo na ugwadu wa hela. Kutukumbuka atatukumbuka kwa salamu tu, hana kumkumbuka mtu kwa hela yule teh
Hahaaaa kama hawezi kuturushia japo tigopesa ya bando wala hata asitukumbuke kwa hizo salamu zake, salamu kavu kavu huku tunajua kaishatusua hatuzitaki kabisaa aisee
Goodnight sista, naona kope zinakosa ushirikiano sasa