TumeishaCHATI sana, Kesho Tunakutana LIVE

TumeishaCHATI sana, Kesho Tunakutana LIVE

Hahaa kama kawaida yako

Hujambo lakini swahiba? mmepotea na atoto hadi nikahisi wenzangu mko Dom tayari kuapishwa viti maalum nini
Afu my kaka nilitaka nikwambie unitafute boss wangu atoto. Japo tunagombana sana lakini nimemmiss kweli
 
Last edited by a moderator:
Afu my kaka nilitaka nikwambie unitafute boss wangu atoto. Japo tunagombana sana lakini nimemmiss kweli

Nilikua nae tokea Juzi sema Ameondoka leo Kuelekea mkoani anapofanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
Nina hamu ya kukufahamu tu Heaven Sent, unaishi mkoa gani?
 
Afu my kaka nilitaka nikwambie unitafute boss wangu atoto. Japo tunagombana sana lakini nimemmiss kweli

Mi mwenyewe nimemmiss japo ananishushuaga

Ila nahisi atoto atakuwa dodoma, kama si kuapishwa basi kula vichwa vya waheshimiwa teh teh
 
Last edited by a moderator:
kama mchumba analipa njoo huku kwetu tbt segerea kwetu pazuri bar utulie na toto
Na kama ni wakawaida usijichoshe malizen biashara zenu huko huko bugurun tusiwaone huku kwa kina sisi walabata
 
Mi mwenyewe nimemmiss japo ananishushuaga

Ila nahisi atoto atakuwa dodoma, kama si kuapishwa basi kula vichwa vya waheshimiwa teh teh

Hahaha dada ako kwa mashushu tu hajambo. Atakuwa anaapishwa tu Mheshimiwa atoto. Yule kumfata baby dom ni kazi unless baby awe ameshamtumia mkwanja kwenye account yake before safari kuanza
 
Last edited by a moderator:
Hahaha dada ako kwa mashushu tu hajambo. Atakuwa anaapishwa tu Mheshimiwa atoto. Yule kumfata baby dom ni kazi unless baby awe ameshamtumia mkwanja kwenye account yake before safari kuanza

Usikute karushiwa kwanza advance tigopesa before safari, ahaaaa!!!

Hata hivyo tumtakie heri kama kapata shavu la viti maalum, huenda akatukumbuka. Ila kwa anavyopenda hela, tingatinga akifyeka posho zao nahisi atatutia aibu atakavyolalama huko bungeni, loh!
 
Ok ahsante kwa somo Heaven Sent ila bado nasisitiza ningependa kukufahamu
 
Last edited by a moderator:
mpeleke Lamada hotel pale mkuu alafu mkielewana chumba elfu 30 tu unakula mzigo...ila kabla ujalipia chumba make sure hayupo kwenye siku zake maana watoto wa mjini ni wajanja mno

karibu Dar
 
JosephNyaga sijui mnaishi Dar sehemu gani, ila maeneo tulivu kwa first meeting kwa jiji hili mtashindwa nyie tu..tuambie mnaishi wapi tuwape ramani ya karibu isiyo mbali sana na yenye utulivu gharama nafuu kabisa mkipata soft drinks zenu.
Ila my favourite place for da first meeting ni Sea Cliff Kalambezi Cafe, andaa 20,000/= tu ya juice makini ya ukweli kwa couple nyie..ukileta mbwembwe za msosi utashangaa unaacha 100,000/= ila kwa ujumla pako poa sana utahisi upo Durban SA.
 
Last edited by a moderator:
Usikute karushiwa kwanza advance tigopesa before safari, ahaaaa!!!

Hata hivyo tumtakie heri kama kapata shavu la viti maalum, huenda akatukumbuka. Ila kwa anavyopenda hela, tingatinga akifyeka posho zao nahisi atatutia aibu atakavyolalama huko bungeni, loh!

Mmh hana kupokea advance yule, Shurti utume fungu zima

Hahahah yule posho ikikatwa tu ataandamana Peke ake tena kwa kichura chura kwa jinsi alivyo na ugwadu wa hela. Kutukumbuka atatukumbuka kwa salamu tu, hana kumkumbuka mtu kwa hela yule teh
 
Aisee manzese darajani aka kwa watoto wa mbwa ndo mpango mzima
 
Back
Top Bottom