TumeishaCHATI sana, Kesho Tunakutana LIVE

TumeishaCHATI sana, Kesho Tunakutana LIVE

JosephNyaga

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
291
Reaction score
232
Kwa wakazi wa mkoa wa Daresalama, Ni sehemu gani tulivu naweza kumpeleka huyu mtoto mzuri ambaye nina ndoto za kuja kumuoa awe mama watoto wangu nyumbani. Kesho tumepanga kuonana nae RASMI kwa ajili ya mazungumzo ya awali kabisa ya urafiki wetu, sasa najifikiria nimpeleke sehemu gani ambayo ni nzuri kwa mazingira na utulivu mkubwa ambapo tutaweza kuwa huru kuzungumza mambo yetu safi kabisa na kupata chakula na vinywaji kwa bei ya kawaida tu. Ninakumbushia tu kwamba iwe sehemu nzuri ya kuvutia na gharama za mkutano wetu ziwe za kawaida.

Nawasilisha wadau..
 
Kwa mama muuza mihogo ndo mpango...unamuomba mkeka mnatulia nyuma ya nyumba...mnakaa kwenye mkeka, mto tofali....burudaaaaaaaani kabisa!!
 
Demu wa kuoa sio wa kupeleka sehemu nzr sn za garama atazoea na kukusumua badaye, mpeleke Magwepande panatosha.. Lkn kama huna mpango naye mpeleke Serena hotel...
 
Kwa wakazi wa mkoa wa Daresalama, Ni sehemu gani tulivu naweza kumpeleka huyu mtoto mzuri ambaye nina ndoto za kuja kumuoa awe mama watoto wangu nyumbani. Kesho tumepanga kuonana nae RASMI kwa ajili ya mazungumzo ya awali kabisa ya urafiki wetu, sasa najifikiria nimpeleke sehemu gani ambayo ni nzuri kwa mazingira na utulivu mkubwa ambapo tutaweza kuwa huru kuzungumza mambo yetu safi kabisa na kupata chakula na vinywaji kwa bei ya kawaida tu. Ninakumbushia tu kwamba iwe sehemu nzuri ya kuvutia na gharama za mkutano wetu ziwe za kawaida.

Nawasilisha wadau..
Mlete tu wallet hapa tabata..au meeda, meeda pazuri..hasa pale juu, alafu kuna lodge nzuri ya meeda..akinogewa na story unakula mzigo mzee
 
Mwananyamala

Hahaa kama kawaida yako

Hujambo lakini swahiba? mmepotea na atoto hadi nikahisi wenzangu mko Dom tayari kuapishwa viti maalum nini
 
Last edited by a moderator:
Kwa mama muuza mihogo ndo mpango...unamuomba mkeka mnatulia nyuma ya nyumba...mnakaa kwenye mkeka, mto tofali....burudaaaaaaaani kabisa!!

Kweli kabisa mkuu. Wasilete uzungu hapa
 
Back
Top Bottom