Tunataniana tu mkuu wala hakuna baya!😁😁Kupitia mambo ya watu unaweza kujifunza. Huna adabu😡
Ukienda nchi Kama Canada hususani mji wa Toronto ukawasimulia Ile sayansi ya kuhamisha mazao shambani kichawi Hawata kuelewa 😊😊😊No. Uchawi upo na unafanya kazi.