Tumechoka sasa! Hawa wanawake wanaosingizia watu mimba pia nao washtakiwe

Arudi mahakamani akafungue kesi ya madai dhidi ya serikali na Kisha huyo mbambikaji! Adai pesa ya maana! Huyo mbambikaji atamtaja aliyemtuma tu kwa hakika na Kama ni sabaya mshitaki aombe aunganishwe kwenye kesi ili kumtia adabu!
 
Tena itungwe sheria kali juu ya hilo, kwa sababu imekua ni kama tabia sasa na unawaumiza na kuwaonea wanaume
Io itakuwa poa sn !!!

Yaan mm huwa hata sielewag yaan mtu anakubambikizia kesi kubwa km io miaka 30 kifungpn afu unashinda keai kisha mahakama inamuachia tu aende eti kisha ni mwanamke na ana mtoto
 
Io itakuwa poa sn !!!

Yaan mm huwa hata sielewag yaan mtu anakubambikizia kesi kubwa km io miaka 30 kifungpn afu unashinda keai kisha mahakama inamuachia tu aende eti kisha ni mwanamke na ana mtoto
Ni kwa sababu hakuna sheria inayombana, ikiwekwa sheria kesi za namna hii zitapungua
 
Habari wadau,

Nimepokea kwa masikiriko taarifa za diwani wa chadema pale Hai kuachiwa huru baada ya kubambikiwa kesi amebaka na amempa mimba msichana sasa toto limezaliwa DNA sio zake jamaa kashinda kesi kilaini kabisa; sasa najiuliza upande wa pili wa shiling kwanini wanawake watumike kisiasa namba hii.

Mimi ushauri wangu huyo msichana na genge lake lilioshiriki kuyengeneza io kesi washatakiwe na walipe fidia ili ipunguze haya matukio

Wanaume haki zetu zinabinywa tuamke shwain.
Ashtakiwe!!
 
Hivi humu Jfm hakuna viongozi ambao wapo serikalin ambao wabaona nyuzi za malalamiko kuilalamikia mambo mbali mbali.
Wapo tena wapo weng ila tatizo lao moja wapo busy kulinda brand zao kuliko kufuatilia social issues
 
Back
Top Bottom