sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
Leo nimeenda ofisi ya loan board ya chuo kikuu kwenda kudai statement. Nimekuta wanufaika kibao wanalalamika huduma mbovu loan board. Mtu unaenda kudai statement unaambiwa subiri ndani ya siku 7.
Sasa nimekuta watu wanalalamika wamekuja kila wiki hawapewi statement na huduma hawapati. Na wanalalamika wametokea mbali sana na nikagundua deni la kwenye mtandao walishamaliza wanasubiria clearance letter ya loan board.
Nilichogundua Loan board wanaandaa mazingira ya kupiga hela kuwaficha watu ukweli. Hivi kweli statement usubirie wiki 1 na nimekuta hamna watu wengi loan board.
Kingine ukiingia online kuulizia statement hawakupi wanakupa provisional loan amount. Leo nimeenda loan board wanasema kiasi cha mtandao online nichakukadiria. Kwahiyo it means kupata statement lazima uende kwao ofisini. Haya mtu anatoka mbali mno anaambiwa subiri ndani ya wiki 1.
Bodi ya mikopo wamesahau kauli ya mwenge nchi kuendeshwa kitehama. Mie naona bodi yote ya loan board ifumiliwe wanaandaa mazingira upigaji hela. Yaani statement ichukue wiki 1 aise hawa majamaa majambazi.
Sasa nimekuta watu wanalalamika wamekuja kila wiki hawapewi statement na huduma hawapati. Na wanalalamika wametokea mbali sana na nikagundua deni la kwenye mtandao walishamaliza wanasubiria clearance letter ya loan board.
Nilichogundua Loan board wanaandaa mazingira ya kupiga hela kuwaficha watu ukweli. Hivi kweli statement usubirie wiki 1 na nimekuta hamna watu wengi loan board.
Kingine ukiingia online kuulizia statement hawakupi wanakupa provisional loan amount. Leo nimeenda loan board wanasema kiasi cha mtandao online nichakukadiria. Kwahiyo it means kupata statement lazima uende kwao ofisini. Haya mtu anatoka mbali mno anaambiwa subiri ndani ya wiki 1.
Bodi ya mikopo wamesahau kauli ya mwenge nchi kuendeshwa kitehama. Mie naona bodi yote ya loan board ifumiliwe wanaandaa mazingira upigaji hela. Yaani statement ichukue wiki 1 aise hawa majamaa majambazi.