Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,087
Labda kwa sababu mko wengi with varied qualities. Teteteteteteteeeeeee! Si unajua tena mko kama maua, with different colours and odour!
Mkuu Ndyoko naona umegonga ikulu, na wanaume ndio nyuki wenyewe! uliona wapi nyuki akaenda kutafuta asali kwenye ua moja tu... lazima achovye yote ndio ipatikane asali ya ukweli bana....