Tumeamua Tumekubaliana Hatutaki ndoa,Msitushauri

Tumeamua Tumekubaliana Hatutaki ndoa,Msitushauri

Muafaka

Wanahitaji ndoa Muoe au muendelee na kuishi na wake zenu.

Tusiohitaji ndoa,mtuache Tubaki na Maisha tuliyochagua.

Nyuzi za kutushawishi kuingia kwa moto wenu wa ndoa jf zimekuwa nyingi.

Niseme Dunia imebadilika sana,hatuko na muda wa kumpa nafasi huyo anayeolewa awe na kisauti cha juu over.
Mtaolewa! It's either uoe au uolewe!
 
Hii vita naona imekuwa kali sn,na mimi naona ni mkuu wa kikosi cha anga upande wa wasiotaka kuoa
Mkuu wa kikosi cha anga awapumbaza msione wala kujua wakataa ndoa wameona sheria za ndoa zinamapungufu na nizakitapeli
 
Ukiweza achana nayo kabisa haina maana yoyote tafuta pesa nenda IVF toa mbegu totoa watoto itakupunguzia stress zisizo na ulazima wowote hawa wako kusubiri mgawane mali hawana faraja yoyote
 
Kijana jipange uwe na uhakika wa kipato sio lazima kiwe kikubwa sana lakini uwe na uhakika yaani mwanamke ajue akizungua atakuwa amepoteza kitu kikubwa sana kwenye maisha hake yaani uwe hatma ya maisha yake kifupi aogope kukupoteza vinginevyo jiandae kupigwa matukio ya kutosha sababu mwanamke ameumbwa kwa tamaa anataka kila anapoamka mambo yawe sawa vinginevyo ataanza kutafuta watu wa kukidhi tamaa zake ikiwemo pesa ambapo dhamana yake ni papuchi pekee shida ndio inaanzia hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom