min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,595
Nipe faida tano ambazo nitapata nikifunga ndoa na huyu mke wangu niliye nae kwa sasa.Kazini vikwazo vipo lakini hatujawahi kuacha Kaz nakama umeacha bas ni kama ndoa kuvumilia au kusepa
Nipe faida tano ambazo nitapata nikifunga ndoa na huyu mke wangu niliye nae kwa sasa.Kazini vikwazo vipo lakini hatujawahi kuacha Kaz nakama umeacha bas ni kama ndoa kuvumilia au kusepa
Onhoo,kumbe ndoa ya kanisani au msikitini....mi naona kumwoa tu inatoshaNipe faida tano ambazo nitapata nikifunga ndoa na huyu mke wangu niliye nae kwa sasa.
🤣🤣🤣Kama hamtaki kuoa acheni kutafuna wake za watu. Tutaendelea kuwalawiti mpaka mjua thamani ya mke wa mtu
🤣🤣Msimendee wake zetu sasa..
Na wewe kwa nini ulawitiwe na mwanaume uliyemtafunia mkewe? 😁😁Kwa nini mke wako wa ndoa atafunwe?
Kumbe una akili mingi kuoa tu inatosha ila kufunga ndoa kataa kbsa ,ewe kijana to yeye amesema kataa ndoa , ndoa ni utapeli ndoa ni wizi wa wazi wazi.Onhoo,kumbe ndoa ya kanisani au msikitini....mi naona kumwoa tu inatosha
Mmeshindwa kwenye zile kura za Kataa ndoa na Kubali ndoa. Mmepasuka vibaya Sana Maguys.safi sana
Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Kataa Ndoa
Mkuu haitakaa itokee na ikitokea haitakua story kwa sababu nitajiua mara moja ,kulinda ukidume wangu .Na wewe kwa nini ulawitiwe na mwanaume uliyemtafunia mkewe? [emoji16][emoji16]
Acha kukimbia kimbia. Jibu swali.Tuliza mihemko , ewe wakala wa ndoa .
Kabla hujajiua utakuwa umeliwa hahahaaanitajiua mara moja ,kulinda ukidume wangu .
Muafaka
Wanahitaji ndoa Muoe au muendelee na kuishi na wake zenu.
Tusiohitaji ndoa,mtuache Tubaki na Maisha tuliyochagua.
Nyuzi za kutushawishi kuingia kwa moto wenu wa ndoa jf zimekuwa nyingi.
Niseme Dunia imebadilika sana,hatuko na muda wa kumpa nafasi huyo anayeolewa awe na kisauti cha juu over.
Ukiona nimepotezea ujue nimetambua nia yako , ivi unafamu ukimya pia unaweza kuwa jibu.Acha kukimbia kimbia. Jibu swali.
Mbona umefuta uzi wako mama?
Wamefuta mkuu😭😭😭Mbona umefuta uzi wako mama?
Nimekuuliza mtaani kwako ndo wanakusumbua na mahubiri ya ndoa? Haya unayoyafanya ni kuruka ruka. Ungesema ndio ningekwambia badili marafiki kaa na wasio na wake kama wewe.Ukiona nimepotezea ujue nimetambua nia yako , ivi unafamu ukimya pia unaweza kuwa jibu.
Daah kazi unayo fungua tena🤣🤣🤣Wamefuta mkuu😭😭😭