Tumeamua Tumekubaliana Hatutaki ndoa,Msitushauri

Tumeamua Tumekubaliana Hatutaki ndoa,Msitushauri

Muafaka

Wanahitaji ndoa Muoe au muendelee na kuishi na wake zenu.

Tusiohitaji ndoa,mtuache Tubaki na Maisha tuliyochagua.

Nyuzi za kutushawishi kuingia kwa moto wenu wa ndoa jf zimekuwa nyingi.

Niseme Dunia imebadilika sana,hatuko na muda wa kumpa nafasi huyo anayeolewa awe na kisauti cha juu over.
Ndoa ni gereza kwa mwanaume...
 
Hii vita naona imekuwa kali sn,na mimi naona ni mkuu wa kikosi cha anga upande wa wasiotaka kuoa
 
Yes sjasema nimefika najua bado tuna safari ndefu kama Mungu akiendelea kutupatia uzima
Unaonekana ni mke mwema mno mtii mumeo kwa kila hali ila usitushawishi kufunga ndoa huku nje kuna mbwa mwitu wengi kulko kondoo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom