Tulipigwa chenga kali sanaBudget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.
Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.
Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.
Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?
Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.
Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
Huo ujinga wa watanzania Ndio umeanza Sasa? Mbona kipindi cha Samwel Sitta na Anna Makinda watu walikuwa wanafuatilia sana bunge kabla ya dhalimu kuiingia madarakani, na kuanza kunajisi chaguzi na kufanya Mihimili kibogoyo? Ama ulianza kufuatilia siasa kipindi dhalimu ameingia madarakani?
Mjadala wa Bajeti wa kazi gani wakati Bunge lenyewe limejazwa wachumia tumbo
Usinitafutie banMdude hujambo?
Bakicha bado unapata burudani ya anaupiga mwingi. Mi thelasini tena kwa mamaBurdani inaongeza hata siku za kuishi hayo mastress ya Bajeti hata tukilalamika hakuna kitakachobadilika
Kwa hiyo kumbe hata suala la Katiba hamna haja ya kulalamika. Hakuna kitakachobadilika?Burdani inaongeza hata siku za kuishi hayo mastress ya Bajeti hata tukilalamika hakuna kitakachobadilika
Naam!Rinse and repeatBaada ya hizi tozo ,
TRA wataanza Tena kutangaza walichokusanya.