Tume yaundwa kuchunguza bodi ya Pius msekwa, shame on you gov

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Hii ni aibu kweli kweli nasoma gazeti la mtanzania hapa watu wenye akili zao
wamekaa na akufikiria jinsi ya kutafuna hela wameamua kutengeneza tume yao
ya kuchunguza bodi ya pius msekwa..hivi kwa msekwa unachunguza nini wakati
makaratasi yako mezani huu ni uhuni jamani jamani hizi pesa za tume mnachunguza
kwa nini msipeleke kwuasaidia wale watoto wanaokufa pale mwananyamala kwa kukosa
msaada wakati wa kuzaliwa jamani???

Haya tumeanza na tume ya jairo..tukafwata na tume ya kuchunguz abei za mafuta
saasa mnafwata tume ya pius msekwa na katika zote akuna matokeo mnayosema wamefungwa
ama wameshtakiwa kwa nini mnakuwa wahuni kama mnaunda tume ya ulaji acheni dhambi
jamani jamani embu muwe na hofu ya mungu huyo babu katoa go ahead ya maadnishi unamchunguza nini
zaidi ya kukutana nae mahakamani...

Nafikiri swala la tume sasa imefika wakati tukome mh pindas na serikali yako ya wahuni
tumechoka kuundiwa tume zisizo na tija hata kidogo shame on you pinda na wenzako
mnakaa kufikiria kuokoa wahuni kwa njia ya tume...leo mnatangaza amsafirishi wanyama walio
hai nje mlikuwa wapi mpaka mshtukiwe kwamba mmeiba wanayma haki ya watanzania ndio
mnakaa mnaona aibu na kusema wanyama awapelekwi nje tena shame on you
 
Hii ni aibu kweli kweli nasoma gazeti la mtanzania hapa watu wenye akili zao
wamekaa na akufikiria jinsi ya kutafuna hela wameamua kutengeneza tume yao
ya kuchunguza bodi ya pius msekwa..hivi kwa msekwa unachunguza nini wakati
makaratasi yako mezani huu ni uhuni jamani jamani hizi pesa za tume mnachunguza
kwa nini msipeleke kwuasaidia wale watoto wanaokufa pale mwananyamala kwa kukosa
msaada wakati wa kuzaliwa jamani???

Haya tumeanza na tume ya jairo..tukafwata na tume ya kuchunguz abei za mafuta
saasa mnafwata tume ya pius msekwa na katika zote akuna matokeo mnayosema wamefungwa
ama wameshtakiwa kwa nini mnakuwa wahuni kama mnaunda tume ya ulaji acheni dhambi
jamani jamani embu muwe na hofu ya mungu huyo babu katoa go ahead ya maadnishi unamchunguza nini
zaidi ya kukutana nae mahakamani...

Nafikiri swala la tume sasa imefika wakati tukome mh pindas na serikali yako ya wahuni
tumechoka kuundiwa tume zisizo na tija hata kidogo shame on you pinda na wenzako
mnakaa kufikiria kuokoa wahuni kwa njia ya tume...leo mnatangaza amsafirishi wanyama walio
hai nje mlikuwa wapi mpaka mshtukiwe kwamba mmeiba wanayma haki ya watanzania ndio
mnakaa mnaona aibu na kusema wanyama awapelekwi nje tena shame on you
Hujui Serikari ya maghamba's inaendeshwa kwa mtindo wa tume?????? Kupoteza muda ilimsahau au kutafuta namna ya kupotezea, wanafikiri watu wote ni wajinga!!!
 
Back
Top Bottom