Wanabodi, habari.
Ndugu yangu ni mtumishi Wa Umma. Alikuwa na kesi ya jinai ya kumtukana mtu. Kesi imeenda mahakamani na mahakama imempiga faini. AMELIPA. Mwajiri wake amepelekewa taarifa kuwa, mtumishi wake amekutwa na hatia.
Je, haki yake ni ipi kazini?
Nimeuliza hivyo hasa kwa kuwa, wapo watu wanasema Mtumishi Wa Umma akikutwa na hatia mahakamani, basi utumishi wake unakuwa umekoma na wengine wanasema, hapana. Kama amelipa faini basi anaendelea na kazi yake kama kawaida.
Majibu yakiambatana na sheria na vifungu vyake itafaa zaidi
Ndugu yangu ni mtumishi Wa Umma. Alikuwa na kesi ya jinai ya kumtukana mtu. Kesi imeenda mahakamani na mahakama imempiga faini. AMELIPA. Mwajiri wake amepelekewa taarifa kuwa, mtumishi wake amekutwa na hatia.
Je, haki yake ni ipi kazini?
Nimeuliza hivyo hasa kwa kuwa, wapo watu wanasema Mtumishi Wa Umma akikutwa na hatia mahakamani, basi utumishi wake unakuwa umekoma na wengine wanasema, hapana. Kama amelipa faini basi anaendelea na kazi yake kama kawaida.
Majibu yakiambatana na sheria na vifungu vyake itafaa zaidi