Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi, NEC ilikuwa kimya kwa TLP na UDP kuiunga mkono CCM iwe kimya pia kwa ACT-Wazalendo

Tayari msajili ameshapeleka barua ACT na amejibiwa sasa ana khiari ya kufanya atakavo lakini wasifikiri watu wata nyamaza kimya.

Nchi hii itaingia kwa michafuko mikubwa ikiwa NEC na ZEC hawata rekebisha dhulma walizo fanya.
 
Bavicha kwa kulalamika hamjambo, utafikiri mbumbumbu fulani hivi!
Tume ilishaeleza siku nyingi hatua iliyochukua dhidi ya TLP na UDP kwa makosa hayo. Please kabla hamjaanza kulalamika mitandaoni muwe kwanza mnafuatilia kwa wahusika
Dah! Hiyo sio kazi ya tume bali ni ya msajiri, sasa sijui hapo "mbumbumbu"ni nani
 
Hii NEC ya awamu hii ni ya ................. sijapata kuona endapo hapa mwanzoni imeanza kuyumba namna hii huko mbeleni itakuwaje
 
Chama cha siasa siyo mali ya mtu binafsi ni cha wanachama lazima wanachama waridhie, waache kuendesha vyama ki saccos, tumeona ruzuku ya chadema imetafunwa bila ridhaa ya wanachama. Wafuate sheria walizosaini wenyewe


Hata MGOMBEA wa URAIS, UBUNGE na UDIWANI ana HAKI ya kumuunga MKONO (KUMKUBALI) MGOMBEA yeyote na wa chama chochote ili MRADI anaona anatoshea kwenye NAFASI anayogombea.

MAONI BINAFSI HAYAHITAJI MKATABA.

Je, Wananchi wa Dodoma wakiungana na Wananchi wa Geita kumchagua Mgombea wa ccm wanatakiwa kuwa na MKATABA UNAO FAHAMIKA NA TUME?

NA KINYUME CHAKE PIA.
 
Tayari msajili ameshapeleka barua ACT na amejibiwa sasa ana khiari ya kufanya atakavo lakini wasifikiri watu wata nyamaza kimya.

Nchi hii itaingia kwa michafuko mikubwa ikiwa NEC na ZEC hawata rekebisha dhulma walizo fanya.

Hawa mafisadi na wezi wanaonufaika na CCM na serikali yake kupitia umungu waliompa mtu mmoja ili agawe riziki kwao na kwa familia zao wamejisahau kabisa kuwa wao ni binadam kama binadam wengine.
Wamejipa mamlaka makubwa kama vile wao ndio walioiumba hii nchi. Laana ya Damu ya Habili,Sokoine,Karume,Horace Kolimba, Mtikila, Deo Filikunjombe, Alfonce Mawazo, Gwanda ,Akwilini,Mwangosi, Ben Saanane, Dr. Mvungi, na Wazanzibar wengi waliouawa mwaka 2001 ziww juu yao .Laana za hawa binadam waliouawa kwa sababu ya wivu wa madaraka ziwe juu yao na famila zao zinazonufaika na uovu wao ili kumfurahisha mteuzi wao

Sasa basi
 
Wewe ni muongo wa kujikombakomba, msajili wa vyama kasema kuwa kawalima pia TLP barua kwa kumuunga mkono Magu,
Muongo pia mpuuzi wa kiwango cha juu wewe pia hasara kwa ustawi wa nchi na ukafie mbele.
Hojam mfuu hiyo
TLP walisema mapema sana,tena waliitisha mkutano mkuu,na wakaenda mbali hawakuteua mgombea
Chadema na ACT mlikataa kuungana mkisema kila mtu kivyake,mkateua wagombea na wakapita
Karatasi zimeshachapwa mnaleta janja janja baada ya mambo kuwa magumu?
 
Wananchi wana akili za kutosha, inachotaka kukifanya ACT Wazalendo kwa CHADEMA hakitofautiani sana na walichokifanya UDP na TLP kwa CCM, uwongo kweli? Hatukisikia mkutano mkuu wa UDP ukiliamua lile na wala hatukuisikia tume ikinyanyua kidole juu.

Lakini hata hivyo sio lazima chama cha siasa kupiga kampeni kwenye majimbo yote, ACT Wazalendo inaweza kukaa kimya au kujitoa kwasababu mbalimbali ikiwemo ya ukata ikaiacha chadema tu ikipiga kampeni majimbo yote.

Hata CCM iliposhinda uchaguzi mwaka 2015 bila kutarajia iliwajumuisha kwenye serikali yake baadhi ya wapinzani. Hii ni dalili kuwa vyama vilivyotoa wanachama waliojiunga kwenye kuunda Serikali viliisaidia CCM kwenye uchaguzi kwa aina moja au nyingine kimyakimya, na ndiyo maana hakuna mtu kutoka CHADEMA aliyeteuliwa kuwa hata katibu mtendaji wa kata kwenye serikali ya CCM. Tume yetu haikunyanyua jicho.

Sisi Wapiga kura tuna imani na tume yetu lakini tume yetu pia lazima iwe na imani na wapigakura kuwa tunazo kumbukumbuku na uelewa wa mambo.
NEC ni chombo cha JPM kama lilivyo bunge na mahakama
 
Membe anatejeleza maagizo na kazi aliyotumwa.
Matunda yake ni hii 'red herring' kupotosha wapigakura wasiojielewa
 
Tume inabidi wajifunze mtoto mmoja akifanya makosa ukimwacha na mwingine kesho atafanya kubwa zaidi ,na utashindwa kumwonya. Hicho ndicho kinachotokea hivi sasa. Na lissu anatumia udhaifu wao huo Huo. Ni kama vile na wao tume wameathirika na spana za Lissu
Tume na msajili wana kazi ya kutuonyesha barua zilizoandikiwa CCM, UDP na TLP kuonywa kuhusu kushirikiana kwenye kampeni. CCM haikulalamika Wala kukataa kuungwa mkono na UDP na TLP, na Wala tume na msajili hawakufanya hivyo tukawasikia wote Kama tunavyowasikia kwa ACT na CDM. Hata Kama hutaki kuamini itakulazimu tu uamini kuwa Kuna tatizo kwenye eneo hili la demokrasia.
 
Wananchi wana akili za kutosha, inachotaka kukifanya ACT Wazalendo kwa CHADEMA hakitofautiani sana na walichokifanya UDP na TLP kwa CCM, uwongo kweli? Hatukisikia mkutano mkuu wa UDP ukiliamua lile na wala hatukuisikia tume ikinyanyua kidole juu.

Lakini hata hivyo sio lazima chama cha siasa kupiga kampeni kwenye majimbo yote, ACT Wazalendo inaweza kukaa kimya au kujitoa kwasababu mbalimbali ikiwemo ya ukata ikaiacha chadema tu ikipiga kampeni majimbo yote.

Hata CCM iliposhinda uchaguzi mwaka 2015 bila kutarajia iliwajumuisha kwenye serikali yake baadhi ya wapinzani. Hii ni dalili kuwa vyama vilivyotoa wanachama waliojiunga kwenye kuunda Serikali viliisaidia CCM kwenye uchaguzi kwa aina moja au nyingine kimyakimya, na ndiyo maana hakuna mtu kutoka CHADEMA aliyeteuliwa kuwa hata katibu mtendaji wa kata kwenye serikali ya CCM. Tume yetu haikunyanyua jicho.

Sisi Wapiga kura tuna imani na tume yetu lakini tume yetu pia lazima iwe na imani na wapigakura kuwa tunazo kumbukumbuku na uelewa wa mambo.
Tumeccm hakuna mwenye Akili timamu anaweza kuwa na imani nayo
 
Siku TLP wana tangaza kumuunga mkono Magufuli Pole pole na mwakilishi wa ofisi ya msajili walikuwepo na mwakilishi akasema ni halali kabisa
 
Tume na msajili wana kazi ya kutuonyesha barua zilizoandikiwa CCM, UDP na TLP kuonywa kuhusu kushirikiana kwenye kampeni. CCM haikulalamika Wala kukataa kuungwa mkono na UDP na TLP, na Wala tume na msajili hawakufanya hivyo tukawasikia wote Kama tunavyowasikia kwa ACT na CDM. Hata Kama hutaki kuamini itakulazimu tu uamini kuwa Kuna tatizo kwenye eneo hili la demokrasia.

Kama kuna barua waliyonayo ccm, tlp na udp kutoka Tume ya UCHAGUZI, itakuwa imeandikwa siku moja na iliyotumwa CHADEMA na ACT - WAZALENDO.

Kilichofanyika kwa barua ya ccm, tlp na udp iliandikwa tarehe nyuma (backdated) ili kuhalalisha UDHALIMU.
 
Back
Top Bottom