Dah! Hiyo sio kazi ya tume bali ni ya msajiri, sasa sijui hapo "mbumbumbu"ni naniBavicha kwa kulalamika hamjambo, utafikiri mbumbumbu fulani hivi!
Tume ilishaeleza siku nyingi hatua iliyochukua dhidi ya TLP na UDP kwa makosa hayo. Please kabla hamjaanza kulalamika mitandaoni muwe kwanza mnafuatilia kwa wahusika
Hiyo sheria ni hovyo kabisa, sijui walioitunga walifikiria nini..
Chama cha siasa siyo mali ya mtu binafsi ni cha wanachama lazima wanachama waridhie, waache kuendesha vyama ki saccos, tumeona ruzuku ya chadema imetafunwa bila ridhaa ya wanachama. Wafuate sheria walizosaini wenyewe
Mwaka huu CCM wanakwenda kusambaratishwa tarehe 28 Oktoba, wananchi wameanza kumwelewa Lissu.
Tayari msajili ameshapeleka barua ACT na amejibiwa sasa ana khiari ya kufanya atakavo lakini wasifikiri watu wata nyamaza kimya.
Nchi hii itaingia kwa michafuko mikubwa ikiwa NEC na ZEC hawata rekebisha dhulma walizo fanya.
Hojam mfuu hiyo
TLP walisema mapema sana,tena waliitisha mkutano mkuu,na wakaenda mbali hawakuteua mgombea
Chadema na ACT mlikataa kuungana mkisema kila mtu kivyake,mkateua wagombea na wakapita
Karatasi zimeshachapwa mnaleta janja janja baada ya mambo kuwa magumu?
NEC ni chombo cha JPM kama lilivyo bunge na mahakamaWananchi wana akili za kutosha, inachotaka kukifanya ACT Wazalendo kwa CHADEMA hakitofautiani sana na walichokifanya UDP na TLP kwa CCM, uwongo kweli? Hatukisikia mkutano mkuu wa UDP ukiliamua lile na wala hatukuisikia tume ikinyanyua kidole juu.
Lakini hata hivyo sio lazima chama cha siasa kupiga kampeni kwenye majimbo yote, ACT Wazalendo inaweza kukaa kimya au kujitoa kwasababu mbalimbali ikiwemo ya ukata ikaiacha chadema tu ikipiga kampeni majimbo yote.
Hata CCM iliposhinda uchaguzi mwaka 2015 bila kutarajia iliwajumuisha kwenye serikali yake baadhi ya wapinzani. Hii ni dalili kuwa vyama vilivyotoa wanachama waliojiunga kwenye kuunda Serikali viliisaidia CCM kwenye uchaguzi kwa aina moja au nyingine kimyakimya, na ndiyo maana hakuna mtu kutoka CHADEMA aliyeteuliwa kuwa hata katibu mtendaji wa kata kwenye serikali ya CCM. Tume yetu haikunyanyua jicho.
Sisi Wapiga kura tuna imani na tume yetu lakini tume yetu pia lazima iwe na imani na wapigakura kuwa tunazo kumbukumbuku na uelewa wa mambo.
Tume na msajili wana kazi ya kutuonyesha barua zilizoandikiwa CCM, UDP na TLP kuonywa kuhusu kushirikiana kwenye kampeni. CCM haikulalamika Wala kukataa kuungwa mkono na UDP na TLP, na Wala tume na msajili hawakufanya hivyo tukawasikia wote Kama tunavyowasikia kwa ACT na CDM. Hata Kama hutaki kuamini itakulazimu tu uamini kuwa Kuna tatizo kwenye eneo hili la demokrasia.Tume inabidi wajifunze mtoto mmoja akifanya makosa ukimwacha na mwingine kesho atafanya kubwa zaidi ,na utashindwa kumwonya. Hicho ndicho kinachotokea hivi sasa. Na lissu anatumia udhaifu wao huo Huo. Ni kama vile na wao tume wameathirika na spana za Lissu
Tumeccm hakuna mwenye Akili timamu anaweza kuwa na imani nayoWananchi wana akili za kutosha, inachotaka kukifanya ACT Wazalendo kwa CHADEMA hakitofautiani sana na walichokifanya UDP na TLP kwa CCM, uwongo kweli? Hatukisikia mkutano mkuu wa UDP ukiliamua lile na wala hatukuisikia tume ikinyanyua kidole juu.
Lakini hata hivyo sio lazima chama cha siasa kupiga kampeni kwenye majimbo yote, ACT Wazalendo inaweza kukaa kimya au kujitoa kwasababu mbalimbali ikiwemo ya ukata ikaiacha chadema tu ikipiga kampeni majimbo yote.
Hata CCM iliposhinda uchaguzi mwaka 2015 bila kutarajia iliwajumuisha kwenye serikali yake baadhi ya wapinzani. Hii ni dalili kuwa vyama vilivyotoa wanachama waliojiunga kwenye kuunda Serikali viliisaidia CCM kwenye uchaguzi kwa aina moja au nyingine kimyakimya, na ndiyo maana hakuna mtu kutoka CHADEMA aliyeteuliwa kuwa hata katibu mtendaji wa kata kwenye serikali ya CCM. Tume yetu haikunyanyua jicho.
Sisi Wapiga kura tuna imani na tume yetu lakini tume yetu pia lazima iwe na imani na wapigakura kuwa tunazo kumbukumbuku na uelewa wa mambo.
Tume na msajili wana kazi ya kutuonyesha barua zilizoandikiwa CCM, UDP na TLP kuonywa kuhusu kushirikiana kwenye kampeni. CCM haikulalamika Wala kukataa kuungwa mkono na UDP na TLP, na Wala tume na msajili hawakufanya hivyo tukawasikia wote Kama tunavyowasikia kwa ACT na CDM. Hata Kama hutaki kuamini itakulazimu tu uamini kuwa Kuna tatizo kwenye eneo hili la demokrasia.