Tume ya taifa ya uchaguzi watoa majina!!!

Tume ya taifa ya uchaguzi watoa majina!!!

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
Habari zenu waungwana,

Kwawale ambao walioomba tempo tume ya taifa ya uchaguzi ya kuandaa daftari la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR majina yametoka na jumaatatu mnatakiwa kuripoti bohari kuu asubuhi.Majina yamebandikwa makao makuu opposite na wizara ya mambo ya ndani ya nchi.

Kwa yeyote mwenye tetesi jinsi watakavyolipa tunaomba atujuze.

Asanteni
 
Habari zenu waungwana,

Kwawale ambao walioomba tempo tume ya taifa ya uchaguzi ya kuandaa daftari la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR majina yametoka na jumaatatu mnatakiwa kuripoti bohari kuu asubuhi.Majina yamebandikwa makao makuu opposite na wizara ya mambo ya ndani ya nchi.

Kwa yeyote mwenye tetesi jinsi watakavyolipa tunaomba atujuze.

Asanteni


mkoa gani?
 
Back
Top Bottom