mnyawusi
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 169
- 254
Wadau wa JF, nawasalimuni nyote.
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikipitia website ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kupata takwimu za masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020.
Kwa bahati mbaya sehemu yenye kuonesha takwimu za wapiga kura, takwimu hizo hazipo badala yake imeandikwa 'kazi inaendelea'
Nadhani ulikuwa ni wakati muhimu wa kuweka takwimu hizo kwa mfano tunajua waliojiandikisha ni milioni 29 na kidogo lakini ingewekwa kwenye website ikachambuliwa mpaka mgawanyo wa wapiga kura kwa mikoa au majimbo na masuala ya jinsia ingependeza zaidi.
Ni ushauri wangu kwenu NEC.
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikipitia website ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kupata takwimu za masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020.
Kwa bahati mbaya sehemu yenye kuonesha takwimu za wapiga kura, takwimu hizo hazipo badala yake imeandikwa 'kazi inaendelea'
Nadhani ulikuwa ni wakati muhimu wa kuweka takwimu hizo kwa mfano tunajua waliojiandikisha ni milioni 29 na kidogo lakini ingewekwa kwenye website ikachambuliwa mpaka mgawanyo wa wapiga kura kwa mikoa au majimbo na masuala ya jinsia ingependeza zaidi.
Ni ushauri wangu kwenu NEC.