Tume ya ajira Utumishi yashindwa kusaili waomba kazi

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,009
2,171
Haya ndo matokeo ya kuhodhi kila nafasi ya kazi ipitie tume ya ajira utumishi. Ni kuanzia mhudumu hadi profesa!

Hivi karibuni baada ya utumishi kutangaza nafasi za kazi za aina hii, wengi tulitegemea watakusanya maombi na kuzipa taasisi husika kuendesha zoezi la usaili. Hali imekuwa kinyume na sasa hivi Utumishi wanajiandaa kuendesha usaili huo.

Taarifa niliyoipata toka chuo kikuu (UD), wamepelekewa barua toka utumishi eti chuo kitunge maswali na majibu kwa ajili ya nafasi walizoomba kuajili. Yaonekana hawana uwezo wa kusaili ngazi hizo za elimu sasa wanaifanya tume ya utumishi kama baraza la mitihani.

Ukisha shindwa kujua nini uulize muomba kazi, maoni yangu ni kwamba umeshindwa kumusaili muomba kazi. Na kwa hali tuliyo nayo lazima washindwe. Siamini kama mwalimu anayefaa atapatikana kwa maswali ya kuandikiwa halafu atumwe kwenda kufundisha chuoni baada ya kupitishwa kwa mtindo huo.

Kwa kuwa wanaendesha usaili kwa maswali na majibu yaliyotungwa hakika sasa tutakuwa na wallimu wabovu vyuoni na hata sekta zingine za serikali. Hatutaweza kukwepa uvujaji wa maswali (au mitihani) hayo.

Hata hivyo, lengo la utumishi kuhodhi mamulaka ya kuajiri ni nini? Nini wanakiondoa? Nini wanakiweka? Au ni haya mambo tunayoyasikia mitaani? Yaani ku-balance dini, kabila, ukanda, n.k.
 
Haya ndo matokeo ya kuhodhi kila nafasi ya kazi ipitie tume ya ajira utumishi. Ni kuanzia mhudumu hadi profesa!

Hivi karibuni baada ya utumishi kutangaza nafasi za kazi za aina hii, wengi tulitegemea watakusanya maombi na kuzipa taasisi husika kuendesha zoezi la usaili. Hali imekuwa kinyume na sasa hivi Utumishi wanajiandaa kuendesha usaili huo.

Taarifa niliyoipata toka chuo kikuu (UD), wamepelekewa barua toka utumishi eti chuo kitunge maswali na majibu kwa ajili ya nafasi walizoomba kuajili. Yaonekana hawana uwezo wa kusaili ngazi hizo za elimu sasa wanaifanya tume ya utumishi kama baraza la mitihani.

Ukisha shindwa kujua nini uulize muomba kazi, maoni yangu ni kwamba umeshindwa kumusaili muomba kazi. Na kwa hali tuliyo nayo lazima washindwe. Siamini kama mwalimu anayefaa atapatikana kwa maswali ya kuandikiwa halafu atumwe kwenda kufundisha chuoni baada ya kupitishwa kwa mtindo huo.

Kwa kuwa wanaendesha usaili kwa maswali na majibu yaliyotungwa hakika sasa tutakuwa na wallimu wabovu vyuoni na hata sekta zingine za serikali. Hatutaweza kukwepa uvujaji wa maswali (au mitihani) hayo.

Hata hivyo, lengo la utumishi kuhodhi mamulaka ya kuajiri ni nini? Nini wanakiondoa? Nini wanakiweka? Au ni haya mambo tunayoyasikia mitaani? Yaani ku-balance dini, kabila, ukanda, n.k.

Utaratibu wa siku mingi
 
Hii ni nchi ya majaribio.

Ukishindwa kuongoza nchi hii, huwezi kuongoza nchi yeyote duniani.

Embu tazama mitaala ya elimu ienzi za Kapuya mpaka leo ilivyochakachuliwa!!
Huyu akija anasema hakuna michezo, huyou mara history ichanganywe huku,,pyuu!!
 
Mimi nashangaa sana kuhusiana na hawa watu wanaojiita wa utumishi, inakuwaje wanatangaza kazi hadi zinazohitaji maprofessor, kwani kwenye tume hiyo kuna maprofessor wangapi na waajiliwa wengine wenye PhD? Yaani huwa nafikilia sana na naona katika Tanzania sehemu iliyosheheni wasomi itakuwa ni kwenye hiyo tume ya ajira la sivo kitakuwa kiinimacho.

Inakuweje waweze kuwafanyia interview watu wa kada zote wao wana wafanyakazi waliosomea mambo yote hayo.Naamini kabisa kuna taasisi za serikali zinapoelekewa wafanyakazi wa ajabu kwa sababu ya huu ukiritimba wa kutumia tume ya ajira. What is the point ya kila idaya na wizara ya serikali kuwa na HR Officers ambae hawezi kuajili au kufanyisha interview? Tukiendelea kutegemea hii tume eti iwe mwajiri mkuu tumeliwa
 
Haya ndo matokeo ya kuhodhi kila nafasi ya kazi ipitie tume ya ajira utumishi. Ni kuanzia mhudumu hadi profesa!

Hivi karibuni baada ya utumishi kutangaza nafasi za kazi za aina hii, wengi tulitegemea watakusanya maombi na kuzipa taasisi husika kuendesha zoezi la usaili. Hali imekuwa kinyume na sasa hivi Utumishi wanajiandaa kuendesha usaili huo.

Taarifa niliyoipata toka chuo kikuu (UD), wamepelekewa barua toka utumishi eti chuo kitunge maswali na majibu kwa ajili ya nafasi walizoomba kuajili. Yaonekana hawana uwezo wa kusaili ngazi hizo za elimu sasa wanaifanya tume ya utumishi kama baraza la mitihani.

Ukisha shindwa kujua nini uulize muomba kazi, maoni yangu ni kwamba umeshindwa kumusaili muomba kazi. Na kwa hali tuliyo nayo lazima washindwe. Siamini kama mwalimu anayefaa atapatikana kwa maswali ya kuandikiwa halafu atumwe kwenda kufundisha chuoni baada ya kupitishwa kwa mtindo huo.

Kwa kuwa wanaendesha usaili kwa maswali na majibu yaliyotungwa hakika sasa tutakuwa na wallimu wabovu vyuoni na hata sekta zingine za serikali. Hatutaweza kukwepa uvujaji wa maswali (au mitihani) hayo.

Hata hivyo, lengo la utumishi kuhodhi mamulaka ya kuajiri ni nini? Nini wanakiondoa? Nini wanakiweka? Au ni haya mambo tunayoyasikia mitaani? Yaani ku-balance dini, kabila, ukanda, n.k.

Wewe unafikiri watawapatia vipi kazi "Ma- Dokta" wao feki. Huu ndio mwendo wa kwenda kuwapa "Uprofesa" hao waliojipa udaktari. Sasa hivi udaktari hauna mashiko, ni uprofesa tu ambao haununuliki. Kwa hiyo kesho Nchimbi akishindwa uchaguzi wanampa ualimu wa Mzumbe, etc,

Kama hujui, vyuo vukuu vya Tanzania sasa vinatekeleza sera kama ile ya UPE. Nafikiri tuiite "Universal University Education" au UUE.
 
Ilibid wao tume waalike mtaalamu toka katika taasisi husika inayohitaji kuajiri ajumuishwe katika hiyo panel yap.
 
wamezidi kubana viallowance, yaani hata kuwaita watendaji kutoka chuo husika wakawa chini ya mtu mmoja wa tume wakawafamnyia usaili watu wao wanaona kazi. hizo allowance zitawatokea puani waacheni na wenzenu wafaidi. mkihodhi kila kitu wenzenu watakula wapi?
 
Haya ndo matokeo ya kuhodhi kila nafasi ya kazi ipitie tume ya ajira utumishi. Ni kuanzia mhudumu hadi profesa!

Hivi karibuni baada ya utumishi kutangaza nafasi za kazi za aina hii, wengi tulitegemea watakusanya maombi na kuzipa taasisi husika kuendesha zoezi la usaili. Hali imekuwa kinyume na sasa hivi Utumishi wanajiandaa kuendesha usaili huo.

Taarifa niliyoipata toka chuo kikuu (UD), wamepelekewa barua toka utumishi eti chuo kitunge maswali na majibu kwa ajili ya nafasi walizoomba kuajili. Yaonekana hawana uwezo wa kusaili ngazi hizo za elimu sasa wanaifanya tume ya utumishi kama baraza la mitihani.

Ukisha shindwa kujua nini uulize muomba kazi, maoni yangu ni kwamba umeshindwa kumusaili muomba kazi. Na kwa hali tuliyo nayo lazima washindwe. Siamini kama mwalimu anayefaa atapatikana kwa maswali ya kuandikiwa halafu atumwe kwenda kufundisha chuoni baada ya kupitishwa kwa mtindo huo.

Kwa kuwa wanaendesha usaili kwa maswali na majibu yaliyotungwa hakika sasa tutakuwa na wallimu wabovu vyuoni na hata sekta zingine za serikali. Hatutaweza kukwepa uvujaji wa maswali (au mitihani) hayo.

Hata hivyo, lengo la utumishi kuhodhi mamulaka ya kuajiri ni nini? Nini wanakiondoa? Nini wanakiweka? Au ni haya mambo tunayoyasikia mitaani? Yaani ku-balance dini, kabila, ukanda, n.k.

Kaka mie nimependa avatar yako tu
 
Hii ni nchi ya majaribio.

Ukishindwa kuongoza nchi hii, huwezi kuongoza nchi yeyote duniani.

Embu tazama mitaala ya elimu ienzi za Kapuya mpaka leo ilivyochakachuliwa!!
Huyu akija anasema hakuna michezo, huyou mara history ichanganywe huku,,pyuu!!

Usinikumbushe hayo mkuu.
Ile mitaala ya Mungai! Nadhani tumefikia hatua ya kujaribia kila kitu. Baadhi wanajaribia kuwa Rais
Mawaziri ni tatizo kubwa kabisa. Ni viongozi wa kisiasa lakini bahati mbaya wanajiingiza kuchukuwa maamuzi ya kiserikali.
 
Back
Top Bottom