Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Kama ni hivi chadema haishindi igunga,...
i suggest wange msimamisha yule diwani wao wa igunga mjini agombee ubunge (katiba inaruhusu)
na sio kutoa mtu kisesa kwenda kugombea huko,huko kwao kisesa apilewa akajaza tumbo lake igunga ndo ataweza?
Damn,kumbe watu waroho hivi eh
i suggest wange msimamisha yule diwani wao wa igunga mjini agombee ubunge (katiba inaruhusu)
na sio kutoa mtu kisesa kwenda kugombea huko,huko kwao kisesa apilewa akajaza tumbo lake igunga ndo ataweza?
Damn,kumbe watu waroho hivi eh